Anahitajika mtu mwenye familia kusimamia mifugo (ng'ombe) Iringa, Malangali kijijini

Mkuu ukiajiriwa kuuza duka nawewe utawekamo bidhaa zako mle mle dukani? Au waalimu wana ruhusiwa kuanizasha shule palepale anapofanyia kazi?
Mbona Kama haupendi mwenzako apate, dukani ninaweza nikaleta bidhaa ambazo haziingiliani na za kwako, sie Sasa ndivyo tunavyokuwa, Kuna bamdogo aliuza duka la kaka yake akawa analeta za kwake ambazo haziingiliani na zile , yaani hii chains ndivyo inavyokuwa, mfano wewe una ng'ombe mie naamua kufuga kuku, Bata, Kanga, ama mbuzi wa nyama.
Unakuta ng'ombe wako wananenepa na kuzaliana shida yako Iko wapi, mbona Kuna madereva wa hiace na wao pia wanamiliki hiace wanaajiri mwenzao dereva na boda wanawapa vijana so wewe unapenda mtu adumae na kazi yako akija kutoka hapo hana pa kushika, duu , Sasa utakuwa unamlipa nini ambacho na yeye akija kuzeeka kimsaidie ama unataka kuja kufa kwa njaa. Wewe ni selfish creature ever existed in this planet
 
Mbona Kama haupendi mwenzako apate, dukani ninaweza nikaleta bidhaa ambazo haziingiliani na za kwako, sie Sasa ndivyo tunavyokuwa, Kuna bamdogo aliuza duka la kaka yake akawa analeta za kwake ambazo haziingiliani na zile , yaani hii chains ndivyo inavyokuwa, mfano wewe una ng'ombe mie naamua kufuga kuku, Bata, Kanga, ama mbuzi wa nyama.
Unakuta ng'ombe wako wananenepa na kuzaliana shida yako Iko wapi, mbona Kuna madereva wa hiace na wao pia wanamiliki hiace wanaajiri mwenzao dereva na boda wanawapa vijana so wewe unapenda mtu adumae na kazi yako akija kutoka hapo hana pa kushika, duu , Sasa utakuwa unamlipa nini ambacho na yeye akija kuzeeka kimsaidie ama unataka kuja kufa kwa njaa. Wewe ni selfish creature ever existed in this planet
Hayo ni makubaliano ambayo yanweza kukubaliwa au kukataliwa.Umeajiliwa hospital kwa sababu hospital hiyo uliyo ajiriwa haina vifaa fulani basi wewe una vileta na kuanza kupiga hela pale.Sio sawa hata hiyo mifano uliyosema sio labda mkubalianae tangu mwanzo na ajira hizo hakuna ajira za milele ni mkataba ukiona maslahi hayo yanakutosha basi fanya kazi yako ukimaliza huo mkataba kafuge kuku kwako.

Mimi huwa naajiri wafanyakazi wa shamba kwenye kuelewana huwa hakipo kipengele cha kwamba na wao watakuwa na shamba lao la mazao tofauti na ninayo lima mimi.Bali mimi huwa nikikaa nao hata miezi2-3 nawauliza mungependa mlime zao gani ili mwe mnapata pesa zenu za matumizi?

Wataniambia na mimi kazi yangu nikuleta mbegu wanalima. Hakuna mkataba wa kwenda kufanya biashara kwa mtu na wewe ukaanzisha biashara yako hapohapo sijawahi ona. Huyo ba mdogo wako ni wazi alikuwa ndg yake na mwenye roho nzuri.
 
Mkuu mtu atahama na familia na watoto wa shule nao waje huko kuchunga mbona unatengeneza mazingira magumu aisee..tafuta mtu alie makini na kazi yake tu utampata bila hata hivyo vigezo vyako.
Mkuu nakubaliana vilivyo na hoja yako, ila tuweke kila kitu pembeni tutafakari hili kwa sauti na ukimya; ukiwa kama Baba kwenye ajira ya namna hii, ambayo kiuhalisia hakuna mshahara wa malaki huko au mamilioni, unahisi itakuwa rahisi ujitenge na familia pia? Hiyo moja, pili; ukitoa suala la gharama; unapokuwa baba ni rahisi sana kutuliza akili unapoiona familia yako kila siku. Shule zipo kila sehemu siku hizi ila waadilifu ni kimbembe
 
Kijijini malangali hakuna malisho majani...shida tupuuu.....utamtesa sana mchungaji wako
Kaka huwezi amini mana hata nyumbani wameniuliza nimerukwa na akili au ni vipi, nimetoka huko juzi tarehe 13 leo imejilazimu niombe wanipigie picha sehemu yenye huo ukame na haijaonekana, niambie nimerukwa na akili kaka nilale kwa amani leo tafadhali
 
Mkuu nakubaliana vilivyo na hoja yako, ila tuweke kila kitu pembeni tutafakari hili kwa sauti na ukimya; ukiwa kama Baba kwenye ajira ya namna hii, ambayo kiuhalisia hakuna mshahara wa malaki huko au mamilioni, unahisi itakuwa rahisi ujitenge na familia pia? Hiyo moja, pili; ukitoa suala la gharama; unapokuwa baba ni rahisi sana kutuliza akili unapoiona familia yako kila siku. Shule zipo kila sehemu siku hizi ila waadilifu ni kimbembe
Mkuu wote tunatoa ajira kigezo cha kukaa na familia ndio kwanza nakiona kwako waadilifu wapo inategemeana na unaokutana nao na watu wanaokuunganisha kama sio muadilifu akikaa na familia ndio inakuaje kwani hakuna watu wanaofanya mambo ya hovyo mbele ya familia zao? Tafuta mtu mwenye kiu na kazi na kuheshimu kazi yake hayo ya watoto munchies mwenyewe hizo mambo wanazo wahindi sio Wabantu.
 
Wakuu habari za nyakati hii, nashukuru kwa mliojitokeza kwenye matangazo yangu ya awali ila kwa leo nina uhitaji na mtu wa kusimamia Ng'ombe mkoani Iringa, kijiji cha Malangali, nyumba ya kuishi ipo tayari na chakula kipo pia sharti tu awe ni mtu na familia yake ili wakifika wafanye makazi ya kutulia, anahitajika mtu kutoka Shinyanga au Mwanza, kama unafiti vigezo hivi nicheki kupitia 0653828027
Dah ....familia imeninyima ajira 😒
 
Mkuu wote tunatoa ajira kigezo cha kukaa na familia ndio kwanza nakiona kwako waadilifu wapo inategemeana na unaokutana nao na watu wanaokuunganisha kama sio muadilifu akikaa na familia ndio inakuaje kwani hakuna watu wanaofanya mambo ya hovyo mbele ya familia zao? Tafuta mtu mwenye kiu na kazi na kuheshimu kazi yake hayo ya watoto munchies mwenyewe hizo mambo wanazo wahindi sio Wabantu.
Kaka sitamani kukupinga hata kwa neno moja basi tu najua gharama za unachonishauri
 
😁😁😁 natamani kujua yaliyoubeba ujumbe wako kaka
Ujumbe wangu hauna ujumbe wowote mkuu.
Ni zamani nilikuwa nafanya hizo kazi, kwa sasa sizifanyi tena.

Hakuna ujumbe zaidi ya huo
 
Back
Top Bottom