Mkuu bwana sasa ulitegemea kibonde aseme point gani?Aliendelea kusema vyeti haviitajiki ila utendaji wa kazi bila kufikiria kuna watanzania walishafukizwa kazi lwa ajili ya vyeti feki.
Yani nilibadili station kwenda Tbc kumsikilikza Manju wa muziki,Masoud Masoud.
Ni Joshua sio Musa, kweli huyu nae bashite
Ili kuthibitisha kama bangi zinamsumbua basi wekeni vyeti hadharani ili tuone sasaUkweli usemwe
Gwajima bangi zinamsumbua siyo mzima
Pengo alifanywaje ndugu?Bashite alimusema Gwajima mwisho tumemuona akilia kanisani na Gwajima kasema ni mpaka aombe msamaha ndio ataeleweka![]()
![]()
Sasa huyu Kibonde nahisi yeye atajinyea kabsaa Gwajima akimuwashia moto(Gwajima hua hana dogo wala kubwa)
Gwajima sio mtu wa mchezo mchezo, wamuulize Pengo
Kwenye hii Sheria Mpya ya Huduma za Habari na Utangazaji atajiengua mwenyewe! Diploma ndio kiwango cha chini cha elimu kwa wote wanaohusika na mambo ya habariKibonde wa divion 4 ya D 2 leo anaota mabega. TCRA harakisheni kufanya kazi yenu, Radio ndio zilizo leta vita Rwanda na burundi
Aisee hii kaliKwenye hii Sheria Mpya ya Huduma za Habari na Utangazaji atajiengua mwenyewe! Diploma ndio kiwango cha chini cha elimu kwa wote wanaohusika na mambo ya habari
Bashite alimusema Gwajima mwisho tumemuona akilia kanisani na Gwajima kasema ni mpaka aombe msamaha ndio ataeleweka![]()
Sasa huyu Kibonde nahisi yeye atajinyea kabsaa Gwajima akimuwashia moto(Gwajima hua hana dogo wala kubwa)
Gwajima sio mtu wa mchezo mchezo, wamuulize Pengo