Anachofanya Kibonde wa Clouds FM ni hatari kwa redio hiyo

bc2636f37b58677e7ee1fea3a61e7605.jpg

Bashite alimusema Gwajima mwisho tumemuona akilia kanisani na Gwajima kasema ni mpaka aombe msamaha ndio ataeleweka

Sasa huyu Kibonde nahisi yeye atajinyea kabsaa Gwajima akimuwashia moto (Gwajima hua hana dogo wala kubwa)

Gwajima sio mtu wa mchezo mchezo, wamuulize Pengo
724b918976e6c65889fb77ad99d94ae0.jpg
 
Bashite alimusema Gwajima mwisho tumemuona akilia kanisani na Gwajima kasema ni mpaka aombe msamaha ndio ataeleweka

Sasa huyu Kibonde nahisi yeye atajinyea kabsaa Gwajima akimuwashia moto (Gwajima hua hana dogo wala kubwa)

Gwajima sio mtu wa mchezo mchezo, wamuulize Pengo
Pengo alifanywaje ndugu?
 
Hii redio aiku hizi imepoteza mvuto..hiki kipindi zamani kilikua kizuri sana ila sasa hivi kimejaa porojo za kinafiki, matangazo kila mara na ushabiki usio na msingi...kipindi cha nyuma kipindi cha jahazi kilikua hakinipiti ila kwa sasa nina zaidi ya miezi 6 sijazikiliza kimebaki tu kipind cha sport ndio nasikiliza
 
Kibonde wa divion 4 ya D 2 leo anaota mabega. TCRA harakisheni kufanya kazi yenu, Radio ndio zilizo leta vita Rwanda na burundi
Kwenye hii Sheria Mpya ya Huduma za Habari na Utangazaji atajiengua mwenyewe! Diploma ndio kiwango cha chini cha elimu kwa wote wanaohusika na mambo ya habari
 
Bashite alimusema Gwajima mwisho tumemuona akilia kanisani na Gwajima kasema ni mpaka aombe msamaha ndio ataeleweka

Sasa huyu Kibonde nahisi yeye atajinyea kabsaa Gwajima akimuwashia moto (Gwajima hua hana dogo wala kubwa)

Gwajima sio mtu wa mchezo mchezo, wamuulize Pengo

Mbona hamna sifa ya maana hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom