Aliyeshauri kulipa mishahara Wanajeshi tu amekosea sana. Bora wasingelipa kabisa

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,801
153,435
Taarifa zilizopo ni kwamba tangu jana asubuhi wanajeshi walishalipwa mishahara yao ya mwezi April huku watumishi wengine mpaka leo bado.

Binafsi nafikiri hili haijakaa vizuri na ni bora wasingelipa kuliko walivyofanya japo inaweza kuwa ni kwa nia njema kabisa

Wanapaswa kutambua wanajeshi tunaishi nao mitaani kwahiyo hakuna siri.

Tunajua Jeshi ni kada muhimu lakini bado sio sahihi kufanya hivi kwani haileti picha nzuri kwa umma.

Washauri muwe msaada kwa viongozi na si vinginenyo.
 
Taarifa zilizopo ni kwamba tangu jana asubuhi wanajeshi walishalipwa mishahara yao ya mwezi April huku watumishi wengine mpaka leo bado.

Binafsi nafikiri hili ni kosa kubwa sana na ni bora wasingelipa kuliko walivyofanya. Japo nia inaweza kuwa ni njema kabisa

Wanapaswa kutambua wanajeshi tunaishi nao mitaani kwahiyo hakuna siri.

Tunajua Jeshi ni kada muhimu lakini bado sio sahihi kufanya hivi kwqni haileti picha nzuri kwa umma.

Washauri muwe msaada kwa viongozi na si vinginenyo.

Hahahaaa usikute wamepewa RESHENI kwanza.
 
CCm wanavo jiwahi na No reform no election
IMG_1226.jpeg
 
Taarifa zilizopo ni kwamba tangu jana asubuhi wanajeshi walishalipwa mishahara yao ya mwezi April huku watumishi wengine mpaka leo bado.

Binafsi nafikiri hili haijakaa vizuri na ni bora wasingelipa kuliko walivyofanya japo nia inaweza kuwa ni njema kabisa

Wanapaswa kutambua wanajeshi tunaishi nao mitaani kwahiyo hakuna siri.

Tunajua Jeshi ni kada muhimu lakini bado sio sahihi kufanya hivi kwqni haileti picha nzuri kwa umma.

Washauri muwe msaada kwa viongozi na si vinginenyo.
Kwako ni wivu ila kwangu ni maumivu maana sidhani hata hela ya bia kesho kama itakuwepo maana zineshaishia kwenye tumikopo na tuvinywaji fulani
 
Taarifa zilizopo ni kwamba tangu jana asubuhi wanajeshi walishalipwa mishahara yao ya mwezi April huku watumishi wengine mpaka leo bado.

Binafsi nafikiri hili haijakaa vizuri na ni bora wasingelipa kuliko walivyofanya japo nia inaweza kuwa ni njema kabisa

Wanapaswa kutambua wanajeshi tunaishi nao mitaani kwahiyo hakuna siri.

Tunajua Jeshi ni kada muhimu lakini bado sio sahihi kufanya hivi kwqni haileti picha nzuri kwa umma.

Washauri muwe msaada kwa viongozi na si vinginenyo.
Wanalipwa kwa sababu wao wanaogopwa na wana maslahi nao
 
Taarifa zilizopo ni kwamba tangu jana asubuhi wanajeshi walishalipwa mishahara yao ya mwezi April huku watumishi wengine mpaka leo bado.

Binafsi nafikiri hili haijakaa vizuri na ni bora wasingelipa kuliko walivyofanya japo nia inaweza kuwa ni njema kabisa

Wanapaswa kutambua wanajeshi tunaishi nao mitaani kwahiyo hakuna siri.

Tunajua Jeshi ni kada muhimu lakini bado sio sahihi kufanya hivi kwqni haileti picha nzuri kwa umma.

Washauri muwe msaada kwa viongozi na si vinginenyo.
Hao wanalipwaga tarehe 15 so mapema tu wana chao mfukoni
 
Taarifa zilizopo ni kwamba tangu jana asubuhi wanajeshi walishalipwa mishahara yao ya mwezi April huku watumishi wengine mpaka leo bado.

Binafsi nafikiri hili haijakaa vizuri na ni bora wasingelipa kuliko walivyofanya japo nia inaweza kuwa ni njema kabisa

Wanapaswa kutambua wanajeshi tunaishi nao mitaani kwahiyo hakuna siri.

Tunajua Jeshi ni kada muhimu lakini bado sio sahihi kufanya hivi kwqni haileti picha nzuri kwa umma.

Washauri muwe msaada kwa viongozi na si vinginenyo.
Na wale ndugu zetu wa geshi je, nao bado?
 
Mbona mwezi haujaisha kiongozi ,Mshahara wa mwisho ulipokea tarehe 22/03 ,leo tarehe 19/04 bado kuwa na subira tu,pia jambo la kushukuru mshahara ukiwahi sana mwezi unakuwa mrefu,wengi mshahara wanautumia kulipa ada baada ya sikukuu usijekuwaponza
Umeelewa mada?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom