Pre GE2025 Aliyefukuzwa CCM baada ya kupinga Rais Samia kupitishwa mgombea pekee urais agoma kuondoka CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,870
5,047
Kada wa Chama cha Mapinduzi, Mchungaji Godfrey Malisa amesema hatambui uamuzi uliofanywa wa kumfukuza uanachama kwa kile alichodai hakuvunja Katiba ya CCM hivyo maoni aliyoyatoa kuhusu uteuzi wa Rais Samia kuwa mgombea pekee wa Urais yako sahihi.

Soma: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?

Malisa ambaye anajiita kada mwandamizi wa CCM amesema mpango wake wa kwenda Mahakamani upo palepale na atakwenda kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa Urais katika uchaguzi wa Oktoba 2025.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.

Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.


Soma, Pia
 
Kada wa Chama cha Mapinduzi, Mchungaji Godfrey Malisa amesema hatambui uamuzi uliofanywa wa kumfukuza uanachama kwa kile alichodai hakuvunja Katiba ya CCM hivyo maoni aliyoyatoa kuhusu uteuzi wa Rais Samia kuwa mgombea pekee wa Urais yako sahihi.

Malisa ambaye anajiita kada mwandamizi wa CCM amesema mpango wake wa kwenda Mahakamani upo palepale na atakwenda kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa Urais katika uchaguzi wa Oktoba 2025.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.

Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
View attachment 3233702
Washamfurusha bado anang'ang'ania vyama ni vingi aende Chauma akale ubwabwa!
 
Kada wa Chama cha Mapinduzi, Mchungaji Godfrey Malisa amesema hatambui uamuzi uliofanywa wa kumfukuza uanachama kwa kile alichodai hakuvunja Katiba ya CCM hivyo maoni aliyoyatoa kuhusu uteuzi wa Rais Samia kuwa mgombea pekee wa Urais yako sahihi.

Malisa ambaye anajiita kada mwandamizi wa CCM amesema mpango wake wa kwenda Mahakamani upo palepale na atakwenda kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa Urais katika uchaguzi wa Oktoba 2025.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.

Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
View attachment 3233702

Soma, Pia
Hahaha ana matatizo ya afya ya akili. 🤣🤣🤣
 
Huyu mzee ndiye mwanachama halisi kindakindaki wa Chama cha Mapinduzi.

Wapili mwanachama halisi nitasema kweli daima, ni huyu hapa chini

Baada ya Mzee Malisa aliyepaki ni :
KIJANA MZALENDO AIVAA CCM "HIKI NI KITUKO WAMEVUNJA KATIBA CCM KAMA WANAMPENDA SAMIA HARAKA YA NINI"


View: https://m.youtube.com/watch?v=9Vdp5kcgCt4

Mashaka N'kindikwa asema katiba ya chama cha CCM na kanuni zake zimevunjwa.


Kijana maarufu wa UVCCM anayejitambulisha kuwa ni mtanzania mzalendo ndugu Mashaka N'kindikwa asema katiba ya chama cha CCM na kanuni zake zimevunjwa, huku akifanya rejea ya vitabu viwili kimoja cha katiba na cha pili kitabu cha kanuni za CCM


Mashaka N'kindikwa alisema hiki ni kituko cha karne walichofanya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa tarehe 18 January 2025 Dodoma , Tanzania. Na maana yake hakuna uhalali wa uteuzi uliopitishwa kinyume cha katiba na kanuni za chama.

Pia kada huyu wa UVCCM akaongeza tulimuona rais mstaafu Jakaya Kikwete alistuka na kuhoji wajumbe wa mkutano mkuu kama mnajua hiki mnacho shangilia ...

Note :

Wengine wote walionyamaza au kusifia mkutano mkuu wa CCM wa Dodoma 2025 ni machawa ndani ya Chama Dola Kongwe CCM .
 
Aache kusumbua watu, yeye CCK imemshinda anakuja kuleta porojo

CCM ina wenyewe
 
Back
Top Bottom