Alivyoleta dalili za kuniacha nikamwekea (Sanction ) vikwazo kama Marekani,sasa analia

Ila acha ulofa mwanamke hujamuoa unampa namba zako zasiri kila sehem ili iweje ???badilika mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaelewa we ndo lofa ungepitia uzi wa kwanza ungeelewa, akaunt ni yangu lakin nilikuwa natunza hela kwa ajiri ya kufungua biashara yake baada ya kuoana, mwakani, that's y akajua password lakin akaunt zangu za kawaida hagusi
 
Hujaelewa we ndo lofa ungepitia uzi wa kwanza ungeelewa, akaunt ni yangu lakin nilikuwa natunza hela kwa ajiri ya kufungua biashara yake baada ya kuoana, mwakani, that's y akajua password lakin akaunt zangu za kawaida hagusi
Umsema namba zasiri anajua mpaka tigo pese sijui kcb sasa.acha kujichanganya hiyo account ya kcb ulifunguliaje kwajina lake ???acha kutuzingua bwana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
actions speak louder than works mngeanza kubembelezana asinge kuelewa. Kanyagia hapo hapo
 
MKUU HUYO MBWAGE JUMLA ATAKUSUMBUA, HAPO ALITAKA AKUCHUNE HUKO CHUONI AKADATE NA BWANA MWINGNE AU INAWEZEKANA TAYARI ALIKUWA NAYE.

UKIMRUDIA UTARUDI UNALIA HAPA.
 
Wanawake bwana kasema ndugu Zake hawapendi aolewe sasa hivi mpaka amalize degree , nikaona miyeyusho,
Akaanza kuondoka taratibuuu nami nikakunja mkono taratiiibuu, nilichukua hatua zifuatazo
1. Nina biashara, alizoea kufika pale kuchukua chapaaa Na nilimpa ruksa ya kuingia hata kuchukua chochote, nimebadili mbinu kazibwa,

2. Nilipomwekea bill ya kusuka nitakuwa nalipa nako ameenda kakuta msusi kanuna, Na inabidi ajilipie bill iliyopita maana ilikuwa bado haijalipwa,nampaga alipe end of month,

3. Kajichanganya sana simu nikununulie mimi, alafu uitumie kunambia tuachane, kaleta kuchaji kwa dogo kwenye biashara ikapigwa pini ,alafu simu bei Kali mno

4. Password zote nilizokuwa nashare naye zimebadilika mbaya zaid nimeiblock namba yangu ya tigopesa maana Alikuwa nayo yeye, nimewasiliana makao makuu wakaiblock nikarenew nyingine, ATM CARD ya benk ya KCB nimereport imepotea nkapatiwa nyingine ,
Maana ndo kulikuwa Na hela nimemtengea kwa biashara yake,

Sasa Leo nipo kwa hotel napata msosi naona namba mpya,
Naona SMS za uko, nkajibu akajitambulisha Na line nyingine

Eti ooo Johnson unajua mi naona MAMBO ya chuo michosho tu, naona hata diploma inanitosha sana,

Nimecheka sanaaa ikabidi ni download wimbo wa Christian belaa amerudi analiaa heeeee anatia huruumaa,
Nyambafu halegezwi mtu tena hapa, maana nimegundua ndugu sio walomwambia kusoma ilikua anaondoka ni gia tu,

Wanawake nuksiiiii

Nimrudie au ? hahahahaha

hata angekuja kwa magoti usimrudie bro fanya yako wako yupo tu..shenzi type yeye anachezea bahati ..kuna jamaa alikuwa anamgeresha..mimi tangu nimeingia kwenye mahusiano sijawahi hudumiwa na mwanaume yeye amebahatika halafu analeta ujinga..kaka kaza kamba no kulegeza please aone utamu wa kutafuta na yeye...stupid yeye|..usiwe na roho ya huruma hapo bro yaani i wish it could be me..yaan nisimalizie....
 
Wanawake bwana kasema ndugu Zake hawapendi aolewe sasa hivi mpaka amalize degree , nikaona miyeyusho,
Akaanza kuondoka taratibuuu nami nikakunja mkono taratiiibuu, nilichukua hatua zifuatazo
1. Nina biashara, alizoea kufika pale kuchukua chapaaa Na nilimpa ruksa ya kuingia hata kuchukua chochote, nimebadili mbinu kazibwa,

2. Nilipomwekea bill ya kusuka nitakuwa nalipa nako ameenda kakuta msusi kanuna, Na inabidi ajilipie bill iliyopita maana ilikuwa bado haijalipwa,nampaga alipe end of month,

3. Kajichanganya sana simu nikununulie mimi, alafu uitumie kunambia tuachane, kaleta kuchaji kwa dogo kwenye biashara ikapigwa pini ,alafu simu bei Kali mno

4. Password zote nilizokuwa nashare naye zimebadilika mbaya zaid nimeiblock namba yangu ya tigopesa maana Alikuwa nayo yeye, nimewasiliana makao makuu wakaiblock nikarenew nyingine, ATM CARD ya benk ya KCB nimereport imepotea nkapatiwa nyingine ,
Maana ndo kulikuwa Na hela nimemtengea kwa biashara yake,

Sasa Leo nipo kwa hotel napata msosi naona namba mpya,
Naona SMS za uko, nkajibu akajitambulisha Na line nyingine

Eti ooo Johnson unajua mi naona MAMBO ya chuo michosho tu, naona hata diploma inanitosha sana,

Nimecheka sanaaa ikabidi ni download wimbo wa Christian belaa amerudi analiaa heeeee anatia huruumaa,
Nyambafu halegezwi mtu tena hapa, maana nimegundua ndugu sio walomwambia kusoma ilikua anaondoka ni gia tu,

Wanawake nuksiiiii

Nimrudie au ? hahahahaha
Huyo kung'uta mimba alafu mwambie nenda shule, ataacha mwenyewe shule.
 
Back
Top Bottom