Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,812
- Thread starter
- #41
Hujaelewa we ndo lofa ungepitia uzi wa kwanza ungeelewa, akaunt ni yangu lakin nilikuwa natunza hela kwa ajiri ya kufungua biashara yake baada ya kuoana, mwakani, that's y akajua password lakin akaunt zangu za kawaida hagusiIla acha ulofa mwanamke hujamuoa unampa namba zako zasiri kila sehem ili iweje ???badilika mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app