Alivyoleta dalili za kuniacha nikamwekea (Sanction ) vikwazo kama Marekani,sasa analia

Ila acha ulofa mwanamke hujamuoa unampa namba zako zasiri kila sehem ili iweje ???badilika mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaelewa we ndo lofa ungepitia uzi wa kwanza ungeelewa, akaunt ni yangu lakin nilikuwa natunza hela kwa ajiri ya kufungua biashara yake baada ya kuoana, mwakani, that's y akajua password lakin akaunt zangu za kawaida hagusi
 
Hujaelewa we ndo lofa ungepitia uzi wa kwanza ungeelewa, akaunt ni yangu lakin nilikuwa natunza hela kwa ajiri ya kufungua biashara yake baada ya kuoana, mwakani, that's y akajua password lakin akaunt zangu za kawaida hagusi
Umsema namba zasiri anajua mpaka tigo pese sijui kcb sasa.acha kujichanganya hiyo account ya kcb ulifunguliaje kwajina lake ???acha kutuzingua bwana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
actions speak louder than works mngeanza kubembelezana asinge kuelewa. Kanyagia hapo hapo
 
MKUU HUYO MBWAGE JUMLA ATAKUSUMBUA, HAPO ALITAKA AKUCHUNE HUKO CHUONI AKADATE NA BWANA MWINGNE AU INAWEZEKANA TAYARI ALIKUWA NAYE.

UKIMRUDIA UTARUDI UNALIA HAPA.
 

hata angekuja kwa magoti usimrudie bro fanya yako wako yupo tu..shenzi type yeye anachezea bahati ..kuna jamaa alikuwa anamgeresha..mimi tangu nimeingia kwenye mahusiano sijawahi hudumiwa na mwanaume yeye amebahatika halafu analeta ujinga..kaka kaza kamba no kulegeza please aone utamu wa kutafuta na yeye...stupid yeye|..usiwe na roho ya huruma hapo bro yaani i wish it could be me..yaan nisimalizie....
 
Huyo kung'uta mimba alafu mwambie nenda shule, ataacha mwenyewe shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…