Alichokifanya Rais wakati wa kumsindikiza PM wa Ethiopia ni "aibu" kiitifaki, wahusika msaidieni

Huu ni uzalendo na motisha kwa watu wake. Mfuatilie raisi Trump uone anavyotoa random thoughts out of protocol . Sababu hawa ni watanzania na mhe anajua hali ni ngumu wacha awape motisha
Kwani mleta mada amesema wasipewe motisha?au protocol izingatiwe?soma uielewe post usisome ili mladi umesoma
 
Itifaki ,itifaki, kuhangaika na itifaki ni Upumbavu, Ujinga takataka, Watz tunataka itifaki? Tunataka ajira, tunakata, uchumi wa viwanda, Miundo mbinu bora, Elimu bora, siyo Upumbavu na Ujinga wa mleta post. Eti itikadi haikufutwa, Pumbavu.

Kwa hiyo ukivuruga Itifaki ndio utapata hivyo vitu! Akili zako na za Pombe ni sawa
 
Tatizo napendaga kutokea kwenye kurasa za mbele za magazeti na kuteka habari.. Napendaga makiki..

Nivumilieni!
 
Itifaki ,itifaki, kuhangaika na itifaki ni Upumbavu, Ujinga takataka, Watz tunataka itifaki? Tunataka ajira, tunakata, uchumi wa viwanda, Miundo mbinu bora, Elimu bora, siyo Upumbavu na Ujinga wa mleta post. Eti itikadi haikufutwa, Pumbavu.
Sasa huyu mtu asiyeelewa taratibu ndogo tu za kiitifaki ndo ataweza kujenga uchumi wa viwanda? Acheni ujinga wenu bana!
 
Kwani keshakubali kupangiwa na kushauriwa?

Ila kodi zetu zinatumika hovyohovyo hadi inauma.
 
Ivi hamna kazi nyengine ya kufanya huko chadema kuliko kila siku magufuli na serekali yake?
Kwa ulivyo mpu.mbavu umeshaweka Uchadema na uccm! Sii kila MTU anaekosoa ni mpinzani, na wenye busara hukubali kukosolewa! Barafu ni Expert Member humu, sii kiazi kama wewe, jaribu kumsoma uone km ana mrengo wowote unaoeleweka! Hutoa Yale anayoyafahamu!
 
Itifaki ,itifaki, kuhangaika na itifaki ni Upumbavu, Ujinga takataka, Watz tunataka itifaki? Tunataka ajira, tunakata, uchumi wa viwanda, Miundo mbinu bora, Elimu bora, siyo Upumbavu na Ujinga wa mleta post. Eti itikadi haikufutwa, Pumbavu.

We jamaa mbona unatukana sana leo?
 
MNGEKUWA NA UWEZO WA KUMUANGALIA ANAPO JISAIDIA,PIA MNGETOA KASORO! JAMANI MWACHENI RAIS WETU AFANYE, SUBIRINI UCHAGUZI UJAO KAMA HAMUMTAKI MSIMPE KURA ZENU,
Jiongeze....Acha kuwaza kidogo kidogo
 
Kweli nyie vichwa kidogo ambavyo vina ubongo sawa mbuzi. Jiulze kwanza unafaham nn kuhusu maswala ya kiitifaki!!! Pia mada unayoitoa ina tija gan kwa taifa!!!!
 
Hii tabia ya kila anaemkosoa yule bwana kuzushiwa kuwa Chadema ni kumfanya bwana yule kuwa mjinga na hii inaonyesha huko Lumumba mmefundishwa woga na kutowesha kutoa ushauri isipokuwa kukubali kila kitu huu ni upumbav mkuu ndo maana baadhi ya washika mpini wanakuwa wajinga na wanataka sifa kwa kuwa anajua hatopingwa kumbe hukohuko lumumba wapo wasiopenda utaratibu uliopo, sasa endeleen na hayo mawazo hasi hata mkiwa kwenye vikao vyenu lumumba mmoja wenu aliekula maboga akachanganya na maguguru/ndwadwa akachafua hali ya hewa kwa kuachia gesi najua mtasema upinzan pilen sana
 
Huu ni uzalendo na motisha kwa watu wake. Mfuatilie raisi Trump uone anavyotoa random thoughts out of protocol . Sababu hawa ni watanzania na mhe anajua hali ni ngumu wacha awape motisha
Nani kakwambia kuwa muheshimiwa anajua kuwa hali ni ngumu
 
Kwa mtazamo wangu hakutakiwa kabisa kuwa hapo uwanjani kumsindikiza waziri mkuu, waziri mkuu wetu ndio alipaswa amsindikize mwenzake. Ila pengine kavunja taratibu zote hizo kwa vile alikuwa anakereketwa na jinsi atakavyo tengeneza habari ya kuwapa pesa hao watumbuizaji.
 
Back
Top Bottom