cha unoko majuu
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 131
- 75
Sielewi huyu mkuu wa wilaya ilikua ni ombi au amri. Naomba ufafanuzi. Na kabla sijaupata naomba hizo pesa kama profesa anazo azipeleke kwa wananchi wapate maji. Nisamehe mh. DC
Kabisa bila kusahau hata no FutuhiHao ndio wabunge wanao takiwa kwa sasa nchini mwetu,wananchi kwanza sherehe baadae
Siyo wabunge wa ndiyooooooooooooKabisa bila kusahau hata no Futuhi
Mnyakwetu si ndio kubana matumizi au?Hivi kweli tumeshindwa kabisa kuliweka hilo dudu kwenye makumbusho?mbna linatugharim sana?
nitajie mradi wowote uliozinduliwa na mbio za mwenge uliodumu hata kwa miezi 6.Mwenge kwa kiasi fulani unatokana na pesa za wananchi kuchangia maendeleo yao kwa njia isiyo ya kodi. Kwahiyo ipo miradi isingekuwepo km mwenge ungekufa.
Illumination is very important in sat@nic worldMwenge hauwezi kufutwa....
Huyu kijana namtabiria mambo makubwa sana huko mbele ya safari .Kwa mujibu wa Mbunge wa Jimbo la Mikumi ambaye pia ni rapa, Joseph ‘Prof: Jay’ Haule, amedai alipigiwa simu na mkuu wa wilaya ambayo Mikumi inapatikani kujulishwa kuwa alitumiwa barua kuomba achangie mchango wa shilingi milioni 5 kwa ajili ya mbio za Mwenge.
Akizungumza na wananchi wa Ruaha Mkoani Morogoro, Prof Jay amesema alimjibu mkuu wa Wilaya hiyo kuwa, kuliko kuchangia Mbio za Mwenge ni bora fedha zake aelekeze kwenye maendeleo ya Wananchi.
“Wakati nakuja njiani Mkuu wa Wilaya alinipigia simu, akanambia Mh tumeleta barua ofisini kwako kuomba mchango wako katika mbio za mwenge, nikamwambia daah hizo hela za kuchangia karibu milioni tano, ni bora nipeleke Ruaha maji yatoke tu” Alisema.
Asante kwa kulitambua hilo, pamoja sana mkiongozMkuu huo ni mradi wa CCM kwa akili ya kujikusanyia pesa kutoka kwa wananchi, na mbaya zaidi hawajawahi kitangaza mapato wanayokusanya na matumizi yake
Ndio kazi za MwengeHakika Naichukia CCM kwa matendo yake, hongera Mh Haule
Kwa hiyo wewe unaamini uchawi??????Mwenge ukifutwa tutapata mabalaa sana lile ni jini la tz
Kama kweli alipigiwa na akajibu hivyo ni kheri atimize ahadi hiyo kwa wana Ruaha isijekuwa porojo tu akadhani anashuka mistari ya muziki.Kwa mujibu wa Mbunge wa Jimbo la Mikumi ambaye pia ni rapa, Joseph ‘Prof: Jay’ Haule, amedai alipigiwa simu na mkuu wa wilaya ambayo Mikumi inapatikani kujulishwa kuwa alitumiwa barua kuomba achangie mchango wa shilingi milioni 5 kwa ajili ya mbio za Mwenge.
Akizungumza na wananchi wa Ruaha Mkoani Morogoro, Prof Jay amesema alimjibu mkuu wa Wilaya hiyo kuwa, kuliko kuchangia Mbio za Mwenge ni bora fedha zake aelekeze kwenye maendeleo ya Wananchi.
“Wakati nakuja njiani Mkuu wa Wilaya alinipigia simu, akanambia Mh tumeleta barua ofisini kwako kuomba mchango wako katika mbio za mwenge, nikamwambia daah hizo hela za kuchangia karibu milioni tano, ni bora nipeleke Ruaha maji yatoke tu” Alisema.
Kama mrai gani na ulifanikishwa kwa fedha kutoka wapi?Mwenge kwa kiasi fulani unatokana na pesa za wananchi kuchangia maendeleo yao kwa njia isiyo ya kodi. Kwahiyo ipo miradi isingekuwepo km mwenge ungekufa.
mkuu mwenye kifutia asha r i pMwenge hauwezi kufutwa....
Sababu?Au ndo umeshamaliza hivyo?Mwenge hauwezi kufutwa....