Albert Chalamila: Kizazi ambacho kimepata divisheni 0 au 4 tunakiweka kwenye kundi lipi? Tunazalisha kizazi ambacho hakina tija kwa taifa

Mimi ni miongoni mwa zero ila nmewazidi maarifa watu wengi sana wenye degree.. ajifunze kuchanganua
Elimu iliyopo ni ya hovyo kupata kutokea
Pole kwa division zero unajua umuhimu wa ELIMU ni mkubwa mnoo na hatuwezi kuukataa.

IMG-20250211-WA0013_1.jpg

Dr am 4 real PhD , hayo maneno anamaanisha nifanyevip hapo lugha imenichenga nisaidie kuntafilia tafadhari"

DIVISION ZERO MWENZAKO HUYO KANITUMIA NIMFANYIE UKARIMANI 🏃🏃🏃🏃
 
Hizi Elimu za kikoloni ni za kutafutia vibarua na sio kipimo cha intelligence ya mtu 100%, wengi hawana hizo elimu za kujua miji mikuu lakini wafanyabiasha safi, wametoa ajira na kulipa kodi za mamilioni, tuheshimu mchango wa kila mtu
 
Back
Top Bottom