Albert Chalamila: Kizazi ambacho kimepata divisheni 0 au 4 tunakiweka kwenye kundi lipi? Tunazalisha kizazi ambacho hakina tija kwa taifa

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,724
4,475
Wakuu,

Kama unajua una divisheni 0 au division four una ujumbe wako hapa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila.

====================================


Mkuu wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila akizijengea uwezo hoja zilizotoka kutoka kwa walimu juu ya changamoto zinazoweza kusababisha kushuka kiwango cha ufaulu Sekondari, RC Chalamila amesema:

"Hiki kizazi ambacho kimepata divisheni zero au four ya mwisho mwisho je tunaki train kukiweka kundi lipi? Kinapaswa kuitwa Asset au Liability? Je tunategemea kuwa na human capital ya aina gani?

"Mwisho tunakuja kuzalisha kizazi ambacho hakina tija kwenye Taifa.

chalamila.jpeg

Kwenye philosophia Kila conclusion unayoifikia lazima itokane na premises ulizoziset? Lakini hizo premises ili zikidhi vigezo lazima zijitenge na Fallacy."

"Hoja zote hizo mlizongumza nazikubali lakini mnapaswa kwenda ndani zaidi lakini pia fanyeni majaribio katika hoja hizi. Kwa mfano hizi hoja tumeletewa watoto wenye daraja C, utoro, chakula mashuleni"

"Chukueni shule moja badilisheni kuwa Boarding, wekeni mazingira lazima mtoto ale, lazima mtoto asome, alafu tuone huyo aliyetoka na C shule ya Msingi Je ataendelea kuwa C?"

"Turudi upya kwenye majopo ya utafiti ili tuweze kukubaliana sababu ni zipi katika kuathiri kiwango cha ufaulu.Nini kifanyike ili kuwe na language fluency?

"Lazima tukubaliane tunawekezaje katika lugha ya kiingereza, kwa sasa imekuwa ni disaster. Tuone namna tunayoweza kusaidia watoto kuji unlock kwenye changamoto ya language."

Source: East Africa Radio
 
Sasa kodi zetu zinatumika kwenye mambo ya anasa za kipuuzi kama kuwalea wateule na kusahau kabisa kuwekeza kwenye huduma za elimu na afya lazima shule na vyuo viendelee kuzalisha matutusa na mwishowe wanaishia kuwa chawa na mashoga tu
 

Attachments

  • VID-20250102-WA0004(2).mp4
    9.1 MB
  • 5953736-355df26da71536c868eb3e8eba0fb7d9.mp4
    16.9 MB
  • Screenshot_20241116-162911.jpg
    Screenshot_20241116-162911.jpg
    173 KB · Views: 2
Failing in school doesn’t mean failing in life. School is just one part of the journey, and there are so many different paths to success. Some people might struggle in academic environments but thrive in creative, entrepreneurial, or technical fields. Life is full of opportunities to learn and grow, and failure is often just a stepping stone to something better. It’s all about resilience, adapting, and finding what truly motivates and fulfills you.
 
Failing in school doesn’t mean failing in life. School is just one part of the journey, and there are so many different paths to success. Some people might struggle in academic environments but thrive in creative, entrepreneurial, or technical fields. Life is full of opportunities to learn and grow, and failure is often just a stepping stone to something better. It’s all about resilience, adapting, and finding what truly motivates and fulfills you.
Kutoka chatGPT juu ya maoni yako:

The level of education of the person who wrote this passage is not explicitly clear, but based on the writing style and the depth of thought, it suggests at least a high school or college-level education. The writer demonstrates a good grasp of motivational and philosophical ideas, structured reasoning, and clear communication. However, since the message is based on life experience rather than technical knowledge, even someone without formal higher education could express these ideas if they are well-read and thoughtful.
 
Kutoka chatGPT juu ya maoni yako:

The level of education of the person who wrote this passage is not explicitly clear, but based on the writing style and the depth of thought, it suggests at least a high school or college-level education. The writer demonstrates a good grasp of motivational and philosophical ideas, structured reasoning, and clear communication. However, since the message is based on life experience rather than technical knowledge, even someone without formal higher education could express these ideas if they are well-read and thoughtful.
Hebu iulize hiyo chatgpt kuhusu matamshi ya mkuu wa mkoa itakuambia nini?
 
Wakuu,

Kama unajua una divisheni 0 au division four una ujumbe wako hapa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila.

====================================


Mkuu wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila akizijengea uwezo hoja zilizotoka kutoka kwa walimu juu ya changamoto zinazoweza kusababisha kushuka kiwango cha ufaulu Sekondari, RC Chalamila amesema:

"Hiki kizazi ambacho kimepata divisheni zero au four ya mwisho mwisho je tunaki train kukiweka kundi lipi? Kinapaswa kuitwa Asset au Liability? Je tunategemea kuwa na human capital ya aina gani?

"Mwisho tunakuja kuzalisha kizazi ambacho hakina tija kwenye Taifa.


Kwenye philosophia Kila conclusion unayoifikia lazima itokane na premises ulizoziset? Lakini hizo premises ili zikidhi vigezo lazima zijitenge na Fallacy."

"Hoja zote hizo mlizongumza nazikubali lakini mnapaswa kwenda ndani zaidi lakini pia fanyeni majaribio katika hoja hizi. Kwa mfano hizi hoja tumeletewa watoto wenye daraja C, utoro, chakula mashuleni"

"Chukueni shule moja badilisheni kuwa Boarding, wekeni mazingira lazima mtoto ale, lazima mtoto asome, alafu tuone huyo aliyetoka na C shule ya Msingi Je ataendelea kuwa C?"

"Turudi upya kwenye majopo ya utafiti ili tuweze kukubaliana sababu ni zipi katika kuathiri kiwango cha ufaulu.Nini kifanyike ili kuwe na language fluency?

"Lazima tukubaliane tunawekezaje katika lugha ya kiingereza, kwa sasa imekuwa ni disaster. Tuone namna tunayoweza kusaidia watoto kuji unlock kwenye changamoto ya language."

Source: East Africa Radio
Askari Polisi wengi sana Wana Division Four, Je,anasemaje kuhusu suala hili?
 
Wakuu,

Kama unajua una divisheni 0 au division four una ujumbe wako hapa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila.

====================================


Mkuu wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila akizijengea uwezo hoja zilizotoka kutoka kwa walimu juu ya changamoto zinazoweza kusababisha kushuka kiwango cha ufaulu Sekondari, RC Chalamila amesema:

"Hiki kizazi ambacho kimepata divisheni zero au four ya mwisho mwisho je tunaki train kukiweka kundi lipi? Kinapaswa kuitwa Asset au Liability? Je tunategemea kuwa na human capital ya aina gani?

"Mwisho tunakuja kuzalisha kizazi ambacho hakina tija kwenye Taifa.


Kwenye philosophia Kila conclusion unayoifikia lazima itokane na premises ulizoziset? Lakini hizo premises ili zikidhi vigezo lazima zijitenge na Fallacy."

"Hoja zote hizo mlizongumza nazikubali lakini mnapaswa kwenda ndani zaidi lakini pia fanyeni majaribio katika hoja hizi. Kwa mfano hizi hoja tumeletewa watoto wenye daraja C, utoro, chakula mashuleni"

"Chukueni shule moja badilisheni kuwa Boarding, wekeni mazingira lazima mtoto ale, lazima mtoto asome, alafu tuone huyo aliyetoka na C shule ya Msingi Je ataendelea kuwa C?"

"Turudi upya kwenye majopo ya utafiti ili tuweze kukubaliana sababu ni zipi katika kuathiri kiwango cha ufaulu.Nini kifanyike ili kuwe na language fluency?

"Lazima tukubaliane tunawekezaje katika lugha ya kiingereza, kwa sasa imekuwa ni disaster. Tuone namna tunayoweza kusaidia watoto kuji unlock kwenye changamoto ya language."

Source: East Africa Radio
Wewe chalamila huyo aloekuteua unajua alipata ngapi!!?

Au ndio umeamua kumponda Hadi mwenyekiti!!?

Kazi unayo!
 
Huwa mimi nina amini chochote kinachokanyaga ardhi hii ya dunia hakikutokea kwa nasibu.
Kuna namna asingekuwepo yule au mimi au wewe maisha yasingekuwa vile yanapaswa kuwa.

Mtu mwenye viwango vikubwa vya elimu kwa vipimo tunavyo pima , na yule ambae ana kiwango kidogo kabisa cha mwisho cha elimu kwa vipimo vyetu hivyo hivyo kila mmoja ana faida kiasi asingekuwepo mmoja wao maisha yasinge kuwa maisha.

Hivyo kusema kuna kizazi kitakosa tija ni kiwango kikubwa cha ubinafsi kinapelekea mtu kufikia hitimisho hilo.
 
Mimi ni mtu nisiye amini kwamba kipomo cha akili cha mtu ni kufaulu mitihani wa masomo saba au kumi. Huwa naamini akili ya mtu ipo kwe uwezo wake wa kufanya mambo ambayo wengine hawawezi kufanya au wanafanya kwa kiwango kidogo. Ndio maana hata shule kuna watu hawana uwezo wa masomo darasani ila mpira wanaucheza vizuri mno au riadha wanakimbia vizuri sana au mambo ya ufundi wanafayafanya vizuri ila hesabu zake hawajui. Tatizo linakuja mfumo wa elimu wa kusoma kisha kuhamisha ulichosoma siku ukiulizwa.
 
Wewe chalamila huyo aloekuteua unajua alipata ngapi!!?

Au ndio umeamua kumponda Hadi mwenyekiti!!?

Kazi unayo!
Kwa Chalamila kusema hivyo wala haishangazi mbona yuko vizuri tu kujisemea, Mwanza alisema ya kusema na yakamtemesha, juzi kamwambia mama mjamzito rudi nyumbani mmeo akufanyie operesheni kama huwezi kuchangia gloves, sasa cha kushangaa nini hapo
 
Failing in school doesn’t mean failing in life. School is just one part of the journey, and there are so many different paths to success. Some people might struggle in academic environments but thrive in creative, entrepreneurial, or technical fields. Life is full of opportunities to learn and grow, and failure is often just a stepping stone to something better. It’s all about resilience, adapting, and finding what truly motivates and fulfills you.
If you have failed in attaining the basic skills reading/ communications and mathematics, then succeeding in life becomes an arduous task!!
Hata mnapojiwaza kuwa kushindwa kufaulu shuleni sio mwisho wa mafanikio maishani lakini ni ukweli kwamba ukiwa na elimu/ kufaulu kufanikiwa kimaisha kunaweza kuwa rahisi zaidi!
 
Wakuu,

Kama unajua una divisheni 0 au division four una ujumbe wako hapa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila.

====================================


Mkuu wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila akizijengea uwezo hoja zilizotoka kutoka kwa walimu juu ya changamoto zinazoweza kusababisha kushuka kiwango cha ufaulu Sekondari, RC Chalamila amesema:

"Hiki kizazi ambacho kimepata divisheni zero au four ya mwisho mwisho je tunaki train kukiweka kundi lipi? Kinapaswa kuitwa Asset au Liability? Je tunategemea kuwa na human capital ya aina gani?

"Mwisho tunakuja kuzalisha kizazi ambacho hakina tija kwenye Taifa.


Kwenye philosophia Kila conclusion unayoifikia lazima itokane na premises ulizoziset? Lakini hizo premises ili zikidhi vigezo lazima zijitenge na Fallacy."

"Hoja zote hizo mlizongumza nazikubali lakini mnapaswa kwenda ndani zaidi lakini pia fanyeni majaribio katika hoja hizi. Kwa mfano hizi hoja tumeletewa watoto wenye daraja C, utoro, chakula mashuleni"

"Chukueni shule moja badilisheni kuwa Boarding, wekeni mazingira lazima mtoto ale, lazima mtoto asome, alafu tuone huyo aliyetoka na C shule ya Msingi Je ataendelea kuwa C?"

"Turudi upya kwenye majopo ya utafiti ili tuweze kukubaliana sababu ni zipi katika kuathiri kiwango cha ufaulu.Nini kifanyike ili kuwe na language fluency?

"Lazima tukubaliane tunawekezaje katika lugha ya kiingereza, kwa sasa imekuwa ni disaster. Tuone namna tunayoweza kusaidia watoto kuji unlock kwenye changamoto ya language."

Source: East Africa Radio
Sidhani wala siamini waliopata Div. 0 na 4 kua hawana akili. Wakurugenzi wengi wa sector binafsi Aidha hawajaenda shule kabisa au ni la saba au wameishia kupata sifuri form four. Nchi kama china wanaangalia pia na uwezo wa mtu umelalia kwenye fani gani na anapelekwa huko hata kama ana sifuri. Kila mtu ameletwa duniani kwa kusudi lake. Hatukuletwa duniani wote tuwe Maprofesa. Na wajinga wengui ndiyo wanao wachagua wao kubaki madarakani kwasababu watu wajinga ni waoga ukiwatisha tu kuwa msipochagua CCM hatuleti maendeleo kwenu basi wanafyata mkia mikoa kama Moshi Arusha, Mbeya maendeleo yameletwa na serikali au wananchi wenyewe kama maendeleo yanaletwa na CCM, Mtwara huko siwangekuwa wameendelea sana na tanga. Watu wote waheshimiwe kulingana na uwezo wao Majeshini wengi ni Darasa la saba na Division 4 na ziro na vyeti vya kufoji lakini unakuta mtu anakusetia Mzinga kwa mahesabu ya hali ya juu sana hata msomi wa chuo kikuu hawezi. Mimi bado nasema ni mazingira tu siyo mazuri ndiyo maana kuna Div0 nyingi na four za mwisho mwisho hasa shule za kata wanafunzi ni wengi na mioundo mbinu kama waalimu, vitabu maabara hawana.
 
Sasa kodi zetu zinatumika kwenye mambo ya anasa za kipuuzi kama kuwalea wateule na kusahau kabisa kuwekeza kwenye huduma za elimu na afya lazima shule na vyuo viendelee kuzalisha matutusa na mwishowe wanaishia kuwa chawa na mashoga tu
Hii nchi kuna ufujujaji mkubwa sana wa pesa za umma kwa mambo ya kijinga kabisa halafu mambo ya msingi hawana habari
 
Back
Top Bottom