Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,067
- 5,602
Yapata wiki mbili sasa toka kwa Rapa mkali hapa bongo Young Killer atoe albamu yake ya kwanza toka ameanza kuimba muziki. Nyimbo zote zinazopatikana kwenye albamu yake nimezisikiliza, kiukweli jamaa alitulia sana mpaka kufanikisha hiyo ishu. Nyimbo zote ni kali sana, hakuna wimbo nimeruka kwenye hiyo albamu.
Jambo linalonisikitisha ni kwamba sijawahi sikia stesheni yoyote ya redio ikicheza wimbo wowote unaopatikana kwenye hiyo albamu. Hii albamu ya Young Killer ina shida gani kwenye hizi stesheni za radio, ama ni Killer mwenyewe ndiyo ana shida?
Bonge moja la albamu ila ndiyo hivyo haipewi heshima inayostahili.
Jambo linalonisikitisha ni kwamba sijawahi sikia stesheni yoyote ya redio ikicheza wimbo wowote unaopatikana kwenye hiyo albamu. Hii albamu ya Young Killer ina shida gani kwenye hizi stesheni za radio, ama ni Killer mwenyewe ndiyo ana shida?
Bonge moja la albamu ila ndiyo hivyo haipewi heshima inayostahili.