Akishafanya starehe za kila aina na akachezewa na kuzalishwa ndipo atatulia na kusubiri 'Mr Nice Guy' uje umuoe au umuweke ndani

Teslarati

JF-Expert Member
Nov 21, 2019
1,869
7,284
Wanaume wenzagu tuweni makini sana na hawa viumbe.

Huko kwenye viwanja vya starehe kunatisha, wanawake wanakunywa pombe kali, wanavuta bangi, sigara, shisha nk,

Hapohapo kuna wale wa mitaani ambao wakiwa bado wabichi wanaringa sababu wanataka kuonja onja pesa za wanaume wengi.

Sasa hawa wakishatumika, wakishaparty na wakaja kujua hakuna jipya na muda umekwenda, hapo labda washazalishwa basi watatulia na kusubiri 'Mr Nice Guy' mmoja ajitokeze.

Don't be that 'Mr Nice Guy'. Kama amekuvutia, kula sepa. Mwanamke hata kama sio single mother ila kama ana past mbovu hakufai ww kijana unaejielewa.

Screenshot_20240503_185326_Instagram.jpg
 
Wanaume wenzagu tuweni makini sana na hawa viumbe.

Huko kwenye viwanja vya starehe kunatisha, wanawake wanakunywa pombe kali, wanavuta bangi, sigara, shisha nk,

Hapohapo kuna wale wa mitaani ambao wakiwa bado wabichi wanaringa sababu wanataka kuonja onja pesa za wanaume wengi.

Sasa hawa wakishatumika, wakishaparty na wakaja kujua hakuni jipya na muda umekwenda, hapo labda washazalishwa basi watatulia na kusubiri 'Mr Nice Guy' mmoja ajitokeze.

Don't be that 'Mr Nice Guy'. Kama amekuvutia, kula sepa. Mwanamke hata kama sio single mother ila kama ana past mbovu hakufai ww kijana unaejielewa.
Hii dunia ni tambala bovu
 
Dili ni ww kujitafuta ukizipata furahia maisha na wale wanawake unaowish kua nao ukiona hamna jipya, tafuta mama Moja ya kawaida sana tulia nayo ikutoleee copies zako
 
Back
Top Bottom