Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,214
Bado mdogo lakini imesha vuruga kichwa yake.Hakuna unachojua kuhusu bange we bado mdogo sana
Watu wanatumia Skanka siku hizi, wanakula hadi biskuti zake acha kabisaa 😂Inashangaza sana kuona hadi leo watanzania wanavuta makapi yaliyoachwa kuvutwa katika ulimwengu wa bangi miaka ya 1970.
Mpaka leo watanzania wanavuta bangi ya msituni inayoachwa ijiotee bila usimamizi, matokeo yake bangi wanazovuta pengine ndio zinasababisha vituko tunavyovisikia.
Wao huenda mbali kuaminishana "Cha Arusha", "Tarime", "Cha malawi", "Cha Mbeya", n.k, kwamba zinafanana na viwango vya bangi za Marekani, jibu fupi ni kwamba wapo bado gizani na hawana elimu ya kilevi wanachotumia,
Kuanzia miaka ya 1970 bangi inayolimwa haina mbegu, ni huku Tanzania na nchi nyingi Africa bado tupo gizani, ukitaka kuniamini hili nenda kwenye kijiwe cha wavuta bangi wtakwambia "huwezi kutuambia chochote kuhusu bangi hakuna bangi isiyo na mbegu"
Kwa elimu ya shule ya msingi tulijifunza kwamba ili mmea utoe mbegu, inabidi mmea wa kike (female blant) unase mbegu za mmea wa kiume (male pant), mbegu hizo huwa katika mfumo wa unga (pollen) na husambaza kwa upepo, kuhamishwa na ndege, n.k.
hivyo ili mmea usizalishe mbegu inabidi mkulima apambane sana shambani kuzuia pollen isifikie mmea wa kike.
Bangi inavyoota ikizuiwa kuzalisha mbegu matokeo yake mmea unaweka nguvu zote kuzalisha kilevi na sio mbegu, hii ndio bangi inayokuwa na viwango na salama kwa afya tofauti na huku kwetu watu wanavuta bangi za msituni zimeachwa tu zijiotee bila uangalizi.
Huku Tanzania bangi inayouzwa ni lazima ukute ina mambegu na ni lazima uichambua lakini bado huwa kuna chembechembe zisizoonekaa zinabaki kwenye msokoto, mbegu hutolewa sababu hazina kilevi, zinafanya kichwa kiume, ukizivuta upo hatarini kuwa hanith ama kupunguza nguvu za kiume, zikivutwa zinapasuka kwa sauti kali zikiangukia nguo zinatoboa, hufanya macho yawe mekundu zaidi kuliko bangi isiyo na mbegu, pia huwa zinaathiri mishipa ya ubongo.
Halafu kuna huu ujinga mwengine unaoonyesha wazi watanzania wanaovuta hawajui chochote, mtu anasifia bangi dume ina ubora zaidi anajionyesha wazi yupo gizani utawasikia "kitu ni dume hiki ni chenyewe", hawana hata elimu ya kujua kinachovutwa huwa ni maua yanayozaliswa na mmea jike, yale mambegu wanayotupa ni sehemu ya mmea dume.
Unaona 🤣🤣Nimekula skanka 🤣🤣🤣
Shyeee! Ero" Unaulisa makofi po**si? mbona mkamatwa na ngozi ndiye mwizi. Hizo stori zinadhihirisha kuwa yeye ni nguli mbobezi katika hilo.Umejuaje?
Nakumbuka siku moja mtu aliniletea zawadi eti biskuti nikashukuru aiseh mweeh nilpokula zote Tatu ndo nilijua sijui siku hiyo 🤣🤣 njia sioni yaani mambo yamevurugika kabisa akili haifanyi kazi,Nimekula skanka 🤣🤣🤣
Hizo ni aina za bangi zote zikiachwa bila uangalizi zinazalisha mambegu, bangi ni mmeaHuko Sawa kabisa Mkuu!
Ziko Aina Tatu..
Kuna Indica,Sativa na Ruderalis ...
So Cannabis Indica, Cannabis sativa na Cannabis Ruderalis..
Inashangaza sana kuona hadi leo watanzania wanavuta makapi yaliyoachwa kuvutwa katika ulimwengu wa bangi miaka ya 1970.
Mpaka leo watanzania wanavuta bangi ya msituni inayoachwa ijiotee bila usimamizi, matokeo yake bangi wanazovuta pengine ndio zinasababisha vituko tunavyovisikia.
Wao huenda mbali kuaminishana "Cha Arusha", "Tarime one", "Cha malawi", "Skanka ya Mbeya", n.k, kwamba zinafanana na viwango vya bangi za Marekani, jibu fupi ni kwamba wapo bado gizani na hawana elimu ya kilevi wanachotumia,
Kuanzia miaka ya 1970 bangi inayolimwa haina mbegu, ni huku Tanzania na nchi nyingi Africa bado tupo gizani, ukitaka kuniamini hili nenda kwenye kijiwe cha wavuta bangi wtakwambia "huwezi kutuambia chochote kuhusu bangi hakuna bangi isiyo na mbegu"
Kwa elimu ya shule ya msingi tulijifunza kwamba ili mmea utoe mbegu, inabidi mmea wa kike (female blant) unase mbegu za mmea wa kiume (male pant), mbegu hizo huwa katika mfumo wa unga (pollen) na husambaza kwa upepo, kuhamishwa na ndege, n.k.
hivyo ili mmea usizalishe mbegu inabidi mkulima apambane sana shambani kuzuia pollen isifikie mmea wa kike.
Bangi inavyoota ikizuiwa kuzalisha mbegu matokeo yake mmea unaweka nguvu zote kuzalisha kilevi na sio mbegu, huzalisha maua makubwa zaidi yenye kilevi pure, hii ndio bangi inayokuwa na viwango na salama kwa afya tofauti na huku kwetu watu wanavuta bangi za msituni zimeachwa tu zijiotee bila uangalizi.
Huku Tanzania bangi inayouzwa ni lazima ukute ina mambegu na ni lazima uichambua lakini bado huwa kuna chembechembe zisizoonekaa zinabaki kwenye msokoto, mbegu hutolewa sababu hazina kilevi, zinafanya kichwa kiume, ukizivuta upo hatarini kuwa hanith ama kupunguza nguvu za kiume, zikivutwa zinapasuka kwa sauti kali zikiangukia nguo zinatoboa, hufanya macho yawe mekundu zaidi kuliko bangi isiyo na mbegu, pia huwa zinaathiri mishipa ya ubongo.
Halafu kuna huu ujinga mwengine unaoonyesha wazi watanzania wanaovuta hawajui chochote, mtu anasifia bangi dume ina ubora zaidi anajionyesha wazi yupo gizani utawasikia "kitu ni dume hiki ni chenyewe", hawana hata elimu ya kujua kinachovutwa huwa ni maua yanayozaliswa na mmea jike, yale mambegu wanayotupa ni sehemu ya mmea dume.
Wewe bwege, waambie Wamarekani wanavuta tumbaku tu wala siyo bangi. Achana na sisi tuna kula kitu original toka msituni.Inashangaza sana kuona hadi leo watanzania wanavuta makapi yaliyoachwa kuvutwa katika ulimwengu wa bangi miaka ya 1970.
Mpaka leo watanzania wanavuta bangi ya msituni inayoachwa ijiotee bila usimamizi, matokeo yake bangi wanazovuta pengine ndio zinasababisha vituko tunavyovisikia.
Wao huenda mbali kuaminishana "Cha Arusha", "Tarime one", "Cha malawi", "Skanka ya Mbeya", n.k, kwamba zinafanana na viwango vya bangi za Marekani, jibu fupi ni kwamba wapo bado gizani na hawana elimu ya kilevi wanachotumia,
Kuanzia miaka ya 1970 bangi inayolimwa haina mbegu, ni huku Tanzania na nchi nyingi Africa bado tupo gizani, ukitaka kuniamini hili nenda kwenye kijiwe cha wavuta bangi wtakwambia "huwezi kutuambia chochote kuhusu bangi hakuna bangi isiyo na mbegu"
Kwa elimu ya shule ya msingi tulijifunza kwamba ili mmea utoe mbegu, inabidi mmea wa kike (female blant) unase mbegu za mmea wa kiume (male pant), mbegu hizo huwa katika mfumo wa unga (pollen) na husambaza kwa upepo, kuhamishwa na ndege, n.k.
hivyo ili mmea usizalishe mbegu inabidi mkulima apambane sana shambani kuzuia pollen isifikie mmea wa kike.
Bangi inavyoota ikizuiwa kuzalisha mbegu matokeo yake mmea unaweka nguvu zote kuzalisha kilevi na sio mbegu, huzalisha maua makubwa zaidi yenye kilevi pure, hii ndio bangi inayokuwa na viwango na salama kwa afya tofauti na huku kwetu watu wanavuta bangi za msituni zimeachwa tu zijiotee bila uangalizi.
Huku Tanzania bangi inayouzwa ni lazima ukute ina mambegu na ni lazima uichambua lakini bado huwa kuna chembechembe zisizoonekaa zinabaki kwenye msokoto, mbegu hutolewa sababu hazina kilevi, zinafanya kichwa kiume, ukizivuta upo hatarini kuwa hanith ama kupunguza nguvu za kiume, zikivutwa zinapasuka kwa sauti kali zikiangukia nguo zinatoboa, hufanya macho yawe mekundu zaidi kuliko bangi isiyo na mbegu, pia huwa zinaathiri mishipa ya ubongo.
Halafu kuna huu ujinga mwengine unaoonyesha wazi watanzania wanaovuta hawajui chochote, mtu anasifia bangi dume ina ubora zaidi anajionyesha wazi yupo gizani utawasikia "kitu ni dume hiki ni chenyewe", hawana hata elimu ya kujua kinachovutwa huwa ni maua yanayozaliswa na mmea jike, yale mambegu wanayotupa ni sehemu ya mmea dume.
Navuta picha ya mwandishi anafanana na rip shalo milionea mwenyezi wa s.a.w amrehemuInashangaza sana kuona hadi leo watanzania wanavuta makapi yaliyoachwa kuvutwa katika ulimwengu wa bangi miaka ya 1970.
Mpaka leo watanzania wanavuta bangi ya msituni inayoachwa ijiotee bila usimamizi, matokeo yake bangi wanazovuta pengine ndio zinasababisha vituko tunavyovisikia.
Wao huenda mbali kuaminishana "Cha Arusha", "Tarime one", "Cha malawi", "Skanka ya Mbeya", n.k, kwamba zinafanana na viwango vya bangi za Marekani, jibu fupi ni kwamba wapo bado gizani na hawana elimu ya kilevi wanachotumia,
Kuanzia miaka ya 1970 bangi inayolimwa haina mbegu, ni huku Tanzania na nchi nyingi Africa bado tupo gizani, ukitaka kuniamini hili nenda kwenye kijiwe cha wavuta bangi wtakwambia "huwezi kutuambia chochote kuhusu bangi hakuna bangi isiyo na mbegu"
Kwa elimu ya shule ya msingi tulijifunza kwamba ili mmea utoe mbegu, inabidi mmea wa kike (female blant) unase mbegu za mmea wa kiume (male pant), mbegu hizo huwa katika mfumo wa unga (pollen) na husambaza kwa upepo, kuhamishwa na ndege, n.k.
hivyo ili mmea usizalishe mbegu inabidi mkulima apambane sana shambani kuzuia pollen isifikie mmea wa kike.
Bangi inavyoota ikizuiwa kuzalisha mbegu matokeo yake mmea unaweka nguvu zote kuzalisha kilevi na sio mbegu, huzalisha maua makubwa zaidi yenye kilevi pure, hii ndio bangi inayokuwa na viwango na salama kwa afya tofauti na huku kwetu watu wanavuta bangi za msituni zimeachwa tu zijiotee bila uangalizi.
Huku Tanzania bangi inayouzwa ni lazima ukute ina mambegu na ni lazima uichambua lakini bado huwa kuna chembechembe zisizoonekaa zinabaki kwenye msokoto, mbegu hutolewa sababu hazina kilevi, zinafanya kichwa kiume, ukizivuta upo hatarini kuwa hanith ama kupunguza nguvu za kiume, zikivutwa zinapasuka kwa sauti kali zikiangukia nguo zinatoboa, hufanya macho yawe mekundu zaidi kuliko bangi isiyo na mbegu, pia huwa zinaathiri mishipa ya ubongo.
Halafu kuna huu ujinga mwengine unaoonyesha wazi watanzania wanaovuta hawajui chochote, mtu anasifia bangi dume ina ubora zaidi anajionyesha wazi yupo gizani utawasikia "kitu ni dume hiki ni chenyewe", hawana hata elimu ya kujua kinachovutwa huwa ni maua yanayozaliswa na mmea jike, yale mambegu wanayotupa ni sehemu ya mmea dume.
Ohhh sasa nimekupata Unamaanisha Sinsemilla?Hizo ni aina za bangi zote zikiachwa bila uangalizi zinazalisha mambegu, bangi ni mmea
Huwaa unazivuta mbegu unazozikuta kwenye maua ?Wewe bwege, waambie Wamarekani wanavuta tumbaku tu wala siyo bangi. Achana na sisi tuna kula kitu original toka msituni.
Bangi gani uowekee mbolea, dawa za kuua wadudu halafu mbegu yenyewe imetoka kwenye pakiti.
Mtu unavuta bangi halafu unabaki na akili ya kawaida bado hiyo unaiita Bangi? Acheni dharau kwa Bob Marley na Peter Tosh.
Future uzi huu
Mkuu msabato halafu jina lako unaitwa Wakunyonya 🤣🤣Sisi wasabato hii mada haituhusu.
Umegonga ndipo,Ohhh sasa nimekupata Unamaanisha Sinsemilla?
But Sinsemilla sio aina Ya mmea ni Jinsi ya kuhudumia Mmea wa Marijuana au Bangi ili uproduce high Psychoactive Cannabiod kwa kutoruhusu Mbegu...
Ndo ulikuwa unazungumzia hiyo kitu???