Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,898
- 141,319
mtumishi lini unaombea shanga ili kuvunja vunja roho, nimenunua shanga mpya
Hata biblia imewaita mbonaUna uhalali gani wa kuwaita malaya na makahaba waliokubuhu hao uliowaita hivyo?
Nipigie daah nilikumis sn,,,,,,,nimefurah kukusikia upo. Ww njoo PM nikupe namba usizivae kwnzmtumishi lini unaombea shanga ili kuvunja vunja roho, nimenunua shanga mpya
Sijauliza ni ipi iliyowaita...iwe Biblia au quranHata biblia imewaita mbona
sawa nakucheki uziombee chap kesho nna matumizi nazo inabidi nizivaeNipigie daah nilikumis sn,,,,,,,nimefurah kukusikia upo. Ww njoo PM nikupe namba usizivae kwnz
Kesho una mtoko nn????? Angalia isije nikaziombea shanga,,,,alafu kesho nikuombee """ARV""" HiVsawa nakucheki uziombee chap kesho nna matumizi nazo inabidi nizivae
naenda kusasambua kwenye kanga.moko mtumishiKesho una mtoko nn????? Angalia isije nikaziombea shanga,,,,alafu kesho nikuombee """ARV""" HiV![]()
![]()
Ww tubu kabsaa. Ninyi ni mashaidi cjawai kutoka nje ya mada au wasifu wangu.Huyu muhubiri akitoka hapa anaenda kugonga zake nyagi maisha yanasonga. Hawa ndio wahubiri dotcom
Weeeee,,,,,,,,,,,,,weeeeee!! Huko usiende kwan vp Mr leo hayupo nn???naenda kusasambua kwenye kanga.moko mtumishi
ombea shanga banaWeeeee,,,,,,,,,,,,,weeeeee!! Huko usiende kwan vp Mr leo hayupo nn???
Ziweke hapa sasa niziombee.ombea shanga bana
Anachosema mkuu ni KWELI wala hahukumu. Yaani ukimwona binti tena hajaolewa anahangaika na uzazi wa Mpango, jua ya Kuwa Huyo ni mzizi/kahaba maana kwa nini ahangaike juu ya uzazi wa Mpango ikiwa yeye si mzizi. Neno linasema mtawatambua kwa matunda yao. Hivyo, tunda mojawapo la mzizi ni kutafuta namna yoyote itakayofanya asipate ujauzito.Sijauliza ni ipi iliyowaita...iwe Biblia au quran
Wewe umepata wapi mamlaka hayo?
Una uhakika na umalaya na ukahaba wao?