Aibu sana kwa mwanaume kushindwa kuihudumia familia yake

Aibu sana kwa mwanaume kuitelekeza familia yake kwakisingizio cha kuachana / kukosa maelewano na mwanamke aliyemzalisha. Sifa kubwa inayo mueleza mwanaume ni wajibu wake kwa familia yake . Mwanaume aliyekamilika hawezi kukubali watu wengine wamlelee watoto wake wakati yeye yupo hai , that is stupidity
Hii kitu niligoma aiseh!!hata kama ke ni wenge hakikisha mtoto ana kwao yaani kwao sio kwa bibi Wala babu!!!

Kumuacha bila msimamo kwao ni wapi atakua mnyonge moyoni maisha yake yote na kujiona duni kabisa!
 
Kunanini nyuma ya hyo familia?je umeoa? una umri gani kwnye ndoa? ndoa yako ni ya kipagani kikristo uislamu au dini gani?
 
Ebu fikiria Mungu naye angetususa baada ya babu Adamu kumwasi tungelikwaje? Lakini baba anasusa familia yake kwa sababu za kijinga tu.Mwanamke mara nyingi ni reflection ya maisha ya mumewe chunguza uone
 
Uwajui wanawake wewe, ngoja yakukute ndo utaelewa somo.Kama unapitia kipindi kigumu mwanamke anakukimbia na watoto wako anawalisha matango pori baba yenu ni mbaya ukijipata anataka aludi kisa mmezaa wote.

Sasa alishindwa kuvumilia wakati unashida akakimbia na watoto akuwai ata kukupigia cm wakati uwo yeye anajiweza kiuchumi ila ukimwambia tusaidizane anakutolea nje mpaka unaona aibu cku umejipata ufahamu ata taarifa anaipata wapi utasikia vizinga mpaka basi.

Sikia kama watoto wakiamua kuja watakuja I have no time to waste for stupid girls like them.
 
sometimes wanawake ni wajinga kupitiliza unakuta unakaa na jitu kisirani utafikiri mdogo ake na shetani,..la nini sasa? Dawa ni kulitelekeza hukooo ili kuepuka siku moja kuliuwa
 
Back
Top Bottom