William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,397
Hapana wazee wangu, he was very impressed na hasa topic ya bajeti ya Elimu ambayo Mzee Moshi, aliichangia kwa namba, kilichomuuua zaidi ni issue ya Inflation ambako pia Mzee Moshi alikuwa ameweka namba alizozikuta JK, na zilivyo sasa, akasema kwamba yeye katika maisha yake hakujua kabisa kuwa kna kitu kama hiki, yaani forum kwenye internet, akaniomba nimpe forum zote kali, nikampatia na kwamba from now on hatakuwa nyuma tena,
Halafu mjadla wa Mama Salma na ndege ya rais nao ulimuua sana, yes kuna issue nyingi ambazo alinifafanulia ki-undani, lakini baada ya ile issue ya Manji sasa ninahitaji kwanza kuthibitisha kama ni ukweli ndipo ni uweke hapa,
jina kumtaja hapa siwezi kwani hiyo inamaa kuwa next time sitapata tena info!, lakini ni mmoja wa the big three katika siasa za bongo!, ambao sasa hivi ni JK, EL, na JM, hao in my understanding ndio the big three, kwani hakifanyiki kitu sasa hivi bila ya hao watatu kukubaliana kwanza!
Halafu mjadla wa Mama Salma na ndege ya rais nao ulimuua sana, yes kuna issue nyingi ambazo alinifafanulia ki-undani, lakini baada ya ile issue ya Manji sasa ninahitaji kwanza kuthibitisha kama ni ukweli ndipo ni uweke hapa,
jina kumtaja hapa siwezi kwani hiyo inamaa kuwa next time sitapata tena info!, lakini ni mmoja wa the big three katika siasa za bongo!, ambao sasa hivi ni JK, EL, na JM, hao in my understanding ndio the big three, kwani hakifanyiki kitu sasa hivi bila ya hao watatu kukubaliana kwanza!