Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,986
- 15,577
Si unasema umepinda basi kuna mwana huko Ujerumani amenyongoroteka kabisaa
Baada ya miaka 12 ya mahusiano na mpenzi wake ...mwishowe mwanamke akaomba waachane akaenda mahakamani akidai apewe talaka na agawane nusu kwa nusu mali zote wanazomiliki na mumewe....mahakamani ikaamuru hivyo watengane na kila mmoja achukue nusu ya mali
Alichokifanya mwanaume ni kwenda kununua msumeno mzuri kabisa Kisha akanza kuvigawa nusu kwa nusu kila walichokuwa wanamiliki.....akaligawa gari vipande, kitanda, laptop , Hadi simu, hadi mdoli aliugawa nusu
Jamaa kazingua au alikuwa sahihi?
Baada ya miaka 12 ya mahusiano na mpenzi wake ...mwishowe mwanamke akaomba waachane akaenda mahakamani akidai apewe talaka na agawane nusu kwa nusu mali zote wanazomiliki na mumewe....mahakamani ikaamuru hivyo watengane na kila mmoja achukue nusu ya mali
Alichokifanya mwanaume ni kwenda kununua msumeno mzuri kabisa Kisha akanza kuvigawa nusu kwa nusu kila walichokuwa wanamiliki.....akaligawa gari vipande, kitanda, laptop , Hadi simu, hadi mdoli aliugawa nusu
Jamaa kazingua au alikuwa sahihi?