Hope ukoUna mbwembwee!!! Thank you
kabisaaa !! ndo maana nikaomba niwe pacha wako etiKumbe tuko sawaeee
#teamsingle#
Kwahiyo hutaki au?Mbona ghafla bin vuu hivoo
Kama sio boy friend or girlfriend haina shida tatizo ni mme au mke mfano mmeishi miaka kuanzia labda 5 au 10 si jambo jepesi kuondoka! Kama ni hawala unaumia unakung'uta kisha unaendelea mbeleKisa kizuri chenye mafundisho. Hii kitu ni kweli kabisa, mimi binafsi huwa nashindwa kuelewa unaanzaje kusema huwezi kuachana na mtu? Unamlilia yaani kweli? Sielewi kabisa. Mungu atusaidie na atupe ufahamu, kumlilia mwanadamu eti ameniacha siwezi fanya hiyo kitu. Thamani yangu ni kubwa sana na machozi yangu nu mali sana kuyamwagwa kwa ajili ya mtu aliyeamua kuondoka katika maisha yangu. I cry for God to intervene in my life, to be with me always to forgive me but not human being.
Hongera Diana kwa kuiona mapema thamani yako
Siku ukipenda roho itakuwa nyepesi huta aminiNilivyo na roho ngumu.sijui kama mapenz yatakuja kunifanya nikose amani ya maisha.
Mapeñzi yapo ila ukikutana na anayejua dhamani ya penzi pole utampata wa kweli Jovitha kila mtu anaye wakwakeMimi hayo mateso niliwahi kuyapata Mara moja toka kipindi hich na hisi niharibikiwa kisaikolojia.... Siamini km mapenzi ya dhati yapooo..... Nikija kuchanganya na Yale ya Isaac wa Jf mmmmh siamni hata chembeee....
Nawachukia hawa viumbe sanaaaa kwenye haya maswala ya mapenziii....hata aweje, asemeje sihisi chochote moyoni mwanguuuuu...... So nawaona kawaida sanaaaa
Omba Mungu utampata mkweli, kitu cha ukweli huja bila kutarajiwa na huwa hana papala ila madunga embe ya kiume utayajua tu usikate tamaa fanya kama vile hukuwa nayeUnayosema nikweli lkn sina maana mby kwamba na wao wanavaa sketi LA hasha!! Ila sina nao hisia hata aweje naweza nikalala nae hata mwezi mzima alale utupu nilale utupu lkn siwezi kusisimka hata toneer
Sijui nimekuwajee hata kumpenda mtu kwa dhati mpk nikajijua kweli seheemu flani sijiwezi sijisikii kwahiyo swala LA mapenzi/mahusianoo kwangu naliona la kawaida halina kipaumbele
*Maisha yamekaza hadi unamuuliza mkeo kama ana boyfriend awakopeshe hela? Na stress ni pale anapokujibu kwani ulikuwa unataka kiasi gani nimuulizie?*⚰⚰⚰⚰"
...napita tu...
Halafu nikushauli kitu kamawewe ni mkristo soma Neno kwa sana nenda ibadani kama niya kipentekoste omba sana kipindi cha sifa uwepo pia kuabudu uwepo utapata wepesi ukiona nyani kazeeka kakwepa mishale mingi, hata tuliopo kwenye ndoa unaweza pewa jibu hilo ukitoka hapo unaenda kunywa maji tena ya baridiKesi yangu nzito mkuu! Nahitaji mwanasaikolojia halisi au daktari wa magonjwa ya akili
AkuuKwahiyo hutaki au?
kabisaaa !! ndo maana nikaomba niwe pacha wako eti
Sidhaniii mi naamini pesa ndiyo kila kitu kwanguuu nikiwa na pesa kila kitu safiMapeñzi yapo ila ukikutana na anayejua dhamani ya penzi pole utampata wa kweli Jovitha kila mtu anaye wakwake
Omba Mungu utampata mkweli, kitu cha ukweli huja bila kutarajiwa na huwa hana papala ila madunga embe ya kiume utayajua tu usikate tamaa fanya kama vile hukuwa naye
asante luvkaribu sana saivi tumekuwa watatu na RRONDO
Cc RRONDO
Pesa sio insue sana watu wanatoka family zenye ukwasi lakini anaolewa na kapuku, atakuja tu naishi na majirani zangu hawana wame ni shida akiona mwanaume anazagaa anauliza huyu hajaoa nifanyie promo, mpka mtu unapata wasiwasi mmmm mapenzi hayaSidhaniii mi naamini pesa ndiyo kila kitu kwanguuu nikiwa na pesa kila kitu safi
Muoane basi..Na mtualikee maana Haya ni Mapenzi Mubasharaaa