Acha hiyo tabia mbaya mara moja...Kwani kakwambia anaogopa gharama? Amekubali kulipa hiyo garama kwa faida ya wote...Wasaliti wahed!Hili sakata litamgarimu magu na taifa kwa ujumla
Acha hiyo tabia mbaya mara moja...Kwani kakwambia anaogopa gharama? Amekubali kulipa hiyo garama kwa faida ya wote...Wasaliti wahed!Hili sakata litamgarimu magu na taifa kwa ujumla
Mkenya au Mrundi wewe??Kamitii ya pili ikijaribu kuja mwelekeo tofauti na mfalme atawatumbua na atawaambia mmepewa rushwa.
Tusibiri muda ni mwalimu mzuri hisa za ACACIA zitaimarika nijinunue zangu
Kwani na hii Tume ya pili inachunguza kile kilichochunguzwa na Tume ya kwanza?
Umesomaa?Tunasubiria kuyajua yote...
Natumaini hawakujaribu kuwaambia waje na yasiyo... JPM atayajua yote.
Salary Skip et. al, 2017 wajibu hili. Teh teh he eee!Kwa hiyo issue ya kuwa wamefungua kesi ilikuwa sio kweli!!?
Kama umeisoma hiyo tipoti kwa makini ungegundua wala haikutulenga sisi bali imelenga kutuliza kihoro cha investors... kwa maana ya public shareholders!!!Sasa Hao wanatoa Vipi updates UK wakati Tatizo liko hapa TZ..
Huo ndio upuuzi wa Wazungu kujiona wao ni mungu watu na kila kitu kinakuwa controlled Ulaya..
Report ya pili haiusiani na uchunguzi wa madini inahusika athari as kiuchumi na kusheria muwe mnaelewaTatizo ni kuwa ripoti ya pili ikija na taarifa tofauti kama ACACIA wanavyotarajia, itaonekana imehongwa, katu haiwezi kuthubutu kufanya hilo, kizungumkuti bado ni kikali sana.
We unadhani hiyo habari wanatuambia Watanzania?! Hiyo ni taarifa kwa wanahisa wao kwahiyo lazima watafute lugha ya kuwapoza kuwaaminisha haya yanayoendelea ni suala la muda na soon yatapatiwa ufumbuzi!!! Hilo kwao ni muhimu kutokana na ukweli kwamba hisa zao zinashuka thamani and the only way kwao hivi sasa ni kujenga shareholders confidence!Hichi kitendo cha ACACIA kusema...'following which we would welcome the opportunity to discuss the findings directly with the Government. We remain hopeful that we will be able to reach a resolution to the current situation with the Government..... yaani eti sasa wanataka wakae chini na serikali yetu tuzungumze...na wanasema 'tunaamini tutafikia mwafaka mzuri...' maana yake ni kwamba ACACIA wametambua kwamba tumejua WANA MAKOSA na ushahidi upo. Mbona mwanzoni walikuwa wanatishia kwenda mahakamani?
Tatizo lenu hampendi kuhangaisha kichwa ndio maana mnafeli hizo shule za kata.Kamitii ya pili ikijaribu kuja mwelekeo tofauti na mfalme atawatumbua na atawaambia mmepewa rushwa.d
Tusibiri muda ni mwalimu mzuri hisa za ACACIA zitaimarika nijinunue zangu
Mbona povu lakutoka wakati babu zako wa cccm walitia wino wao na kula chaoHakuna ku reach settlement. Wezi wakubwa nyie. Mje mchukue ma vijiko yenu mkachimbe dhahabu Uingereza. Mbona mnang'ang'ania hapa kwetu? Kwani dhahabu ni Tanzania pekee? Kwanza hamna faidia kwa uchumi wetu. Kila kitu mnaagiza kutoka nje, hapa mnatuchia mashimo tu, na mrahaba pia mnatunyonya! Go to hell you thieves.
Umesomaa?![]()
![]()
....GreenColor buanaaa!
Au umeona neno ACACIA basi ukacomment! Kwa hivi hata ubalozi hufai![]()
![]()