Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,495
So wanataka kutuambia kua ule mchanga (makapi) ndio ulikua wanautegemea kwa kutafuta faida ya kila siku??
Kama ndivyo je dhahabu inayopatikana nayo wanaifanyia nini??
Wafunge tu waondoke wezi hawa, washatuibia sana
Subiri serikali iandae bajeti ya kwenda kufukia yale mashimo walioyaacha..