31 Dec 2022 baada ya Mwamposa kuvunja rekodi zote pale kwa Mkapa mara hii ni Tanganyika Packers Kawe Jijini Dar es Salaam Dec 31, Je Patatosha?

TaiPei

JF-Expert Member
Aug 4, 2022
436
416
IMG-20231228-WA0004.jpg

IMG-20231228-WA0005.jpg

Rekodi nyingine, Tanzania.

Mtumishi wa Mungu Apostle Boniface Mwamposa Kwa neema aliyopewa na Mungu atafanya mkesha mkubwa wa crossover night yaani Vuka na Kila kitu chako Chako kuelekea 2025.

Nimkesha ambao Kila atakayehudhuria na kuamini basi atavuka na Kila kitu chake kuelekea mwaka Mpya wa 2024 na baadae 2025.

Marazote tumekuwa tukivúka mwaka wenyewe bila vitu vyetu huku shetani akibaki ameshikilia hatma zetu na mafanikio yetu,

Marazote baada ya kumaliza mwaka na kuuanza mwingine tunaanza kulalamika kuwa "Huu mwaka ni mwaka mbaya " kumbe umevuka mwenyewe huku vyote vikibaki nyuma.

Sasa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa anasema 2024 tutavuka na Kila kitu chetu,

1. Tutavuka na imani yetu yote kwa Mungu na kwa Yesu kristo aliyemtuma.

2. Tutavuka na hatma zote za watoto wetu ikiwemo Masomo.

3. Tutavuka na Mashamba yetu

4. Tutavuka na Afya zetu zikiwa kamili.

5. Tutavuka na utajiri wetu wote

6. Tutavuka na Mifugo yetu yote

7. Tutavuka na wajakazi wetu

8. Tutavuka na teuzi zetu Kwenye Siasa.

9. Tutavuka na vibali vyetu

10. Tutavuka na furaha yetu

11. Tutavuka bila madeni

12. Tutavuka na wake au waume zetu.

=> Nihakika, Tutavuka na Kila kitu chetu mpaka 2025.

=> It's cross over night ever happened in Tanzania.

=> Ukikosa utakosa mengi kwaajili ya hatma yako na hatma ya familia yako.


View: https://www.instagram.com/reel/C1WRNOdNoM8/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==

NB, ACHA KUJICHELEWESHA POPOTE ULIPO HAKIKISHA UNAFIKA KAWE KWAAJILI YAKO WEWE NA FAIDA YA WEWE MWENYEWE MWAKA 2024.
 
Maswala yenu ya kitapeli haya pelekeni huko jukwaa la vichekesho, huku mtuachie wana siasa pekee
Wewe CHADEMA kama CCM pamoja na Polisi, Jeshi, Tume ya Uchaguzi bado wanashinda Kawe kutafuta kibali cha kukubalika na kushinda Uchaguzi wewe ndio unasema huu ni utapeli,

CHADEMA haina kibali tena na hivyo Haina mvuto tena
 
View attachment 2855368
View attachment 2855394
Rekodi nyingine, Tanzania.

Mtumishi wa Mungu Apostle Boniface Mwamposa Kwa neema aliyopewa na Mungu atafanya mkesha mkubwa wa crossover night yaani Vuka na Kila kitu chako Chako kuelekea 2025.

Nimkesha ambao Kila atakayehudhuria na kuamini basi atavuka na Kila kitu chake kuelekea mwaka Mpya wa 2024 na baadae 2025.

Marazote tumekuwa tukivúka mwaka wenyewe bila vitu vyetu huku shetani akibaki ameshikilia hatma zetu na mafanikio yetu,

Marazote baada ya kumaliza mwaka na kuuanza mwingine tunaanza kulalamika kuwa "Huu mwaka ni mwaka mbaya " kumbe umevuka mwenyewe huku vyote vikibaki nyuma.

Sasa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa anasema 2024 tutavuka na Kila kitu chetu,

1. Tutavuka na imani yetu yote kwa Mungu na kwa Yesu kristo aliyemtuma.

2. Tutavuka na hatma zote za watoto wetu ikiwemo Masomo.

3. Tutavuka na Mashamba yetu

4. Tutavuka na Afya zetu zikiwa kamili.

5. Tutavuka na utajiri wetu wote

6. Tutavuka na Mifugo yetu yote

7. Tutavuka na wajakazi wetu

8. Tutavuka na teuzi zetu Kwenye Siasa.

9. Tutavuka na vibali vyetu

10. Tutavuka na furaha yetu

11. Tutavuka bila madeni

12. Tutavuka na wake au waume zetu.

=> Nihakika, Tutavuka na Kila kitu chetu mpaka 2025.

=> It's cross over night ever happened in Tanzania.

=> Ukikosa utakosa mengi kwaajili ya hatma yako na hatma ya familia yako.

NB, ACHA KUJICHELEWESHA POPOTE ULIPO HAKIKISHA UNAFIKA KAWE KWAAJILI YAKO WEWE NA FAIDA YA WEWE MWENYEWE MWAKA 2024.
Nilikesha Niliomba Kampuni tayari nimeshaifungua najiandaa kuanza kazi mwaka 2024,haya mambo ni ukweli kabisa ila uwe na imani
 
View attachment 2855368
View attachment 2855394
Rekodi nyingine, Tanzania.

Mtumishi wa Mungu Apostle Boniface Mwamposa Kwa neema aliyopewa na Mungu atafanya mkesha mkubwa wa crossover night yaani Vuka na Kila kitu chako Chako kuelekea 2025.

Nimkesha ambao Kila atakayehudhuria na kuamini basi atavuka na Kila kitu chake kuelekea mwaka Mpya wa 2024 na baadae 2025.

Marazote tumekuwa tukivúka mwaka wenyewe bila vitu vyetu huku shetani akibaki ameshikilia hatma zetu na mafanikio yetu,

Marazote baada ya kumaliza mwaka na kuuanza mwingine tunaanza kulalamika kuwa "Huu mwaka ni mwaka mbaya " kumbe umevuka mwenyewe huku vyote vikibaki nyuma.

Sasa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa anasema 2024 tutavuka na Kila kitu chetu,

1. Tutavuka na imani yetu yote kwa Mungu na kwa Yesu kristo aliyemtuma.

2. Tutavuka na hatma zote za watoto wetu ikiwemo Masomo.

3. Tutavuka na Mashamba yetu

4. Tutavuka na Afya zetu zikiwa kamili.

5. Tutavuka na utajiri wetu wote

6. Tutavuka na Mifugo yetu yote

7. Tutavuka na wajakazi wetu

8. Tutavuka na teuzi zetu Kwenye Siasa.

9. Tutavuka na vibali vyetu

10. Tutavuka na furaha yetu

11. Tutavuka bila madeni

12. Tutavuka na wake au waume zetu.

=> Nihakika, Tutavuka na Kila kitu chetu mpaka 2025.

=> It's cross over night ever happened in Tanzania.

=> Ukikosa utakosa mengi kwaajili ya hatma yako na hatma ya familia yako.

NB, ACHA KUJICHELEWESHA POPOTE ULIPO HAKIKISHA UNAFIKA KAWE KWAAJILI YAKO WEWE NA FAIDA YA WEWE MWENYEWE MWAKA 2024.
Watakuwepo Masikini wakambiwa mwaka 2024 ni mwaka wao, ni mwaka wa kukombolewa, wataimbiwa huu wimbo hadi 2024 Dec na then itakuwa updated wataaambia mwaka 2025 ni mwaka wao sasa.

Hapo jamaaa anatarget sadaka ya wapumbavu ambao ni asilimia kubwa sana
 
Back
Top Bottom