MATOKEO YA USAILI TRA KUTANGAZWA APRILI 25.2025
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya Usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 kupitia Tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 kupitia tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na mshauri elekezi NBAA Aprili 23, mwaka huu...
Nimesitikishwa sana na yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii hasa wale wale wajinga wajinga waliomtumia Mange Kimangi clips inayoonyesha TRA imewaita watu wasiohusika kwenye interview.
KItendo hicho kimesababisha vijana waongee maneno magumu magumu dhidi ya serikali, TRA waliweka matangazo...
Kwa maoni yangu, usaili ulikuwa wa haki, pepa ilikuwa fair, haikuwa ngumu wala haikuwa rahisi. Halafu ndo nini sasa kutuhesabisha vidole namna ile, wanatoa calculation halafu marufuku kutumia Calculator…..!!!
Toa maoni yako, pepa ilikuwaje kwako…
Nimeiweka Screenshot ya Calculation question kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.