Rais wa Marekani, Donald Trump, amemwonya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kumaliza "vita vya kipuuzi" nchini Ukraine au akabiliwe na ushuru mkubwa na vikwazo zaidi.
Kupitia jukwaa lake la Truth Social Jumatano, Trump alisema ana uhusiano mzuri na Putin lakini akasisitiza kuwa ni wakati wa...
Trump aliapa atawekeza nguvu kubwa kuleta makubaliano ya kuituliza vita ya Ukraine na Russia, Siku chache baada ya kushinda uraisi, Putin rais wa Urusi alisema yupo tayari kwa majadiliano ya kuimaliza vita.
Hii imewauma sana Democrats, Kwamba Trump anaenda atajizolea points akiimaliza vita...
Mzuka wana JF
Kuna wadau humu wanapenda kuiponda sana marekani totaly (sio kwamba nasema marekani haina maovu )
wanasema russia ndo kila kitu na wengine wanafika hatua ya kuita Russia ni taifa teule. Lakini kila siku wanalilia visa za kwenda Marekani.
Guys twende mbele turudi pembeni, wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.