Baadhi ya Mashehe sasa wamekuwa wakijiingiza katika mambo ya aibu ndani ya mitandano na youtube Tvs. kwa kweli kinachoingia mjini na wao utawaona wapo katikati na haswa haya mambo wasanii ,utawaona wapo msitari wa mbele na wao wakitowa fatuwa.
Watu hawa wasanii ni waislamu jina ,na hawana...
video inaonesha Islamic scholar ( mwanazuoni )mkubwa akikataza waislamu kujifunza logic and philosophy maana wakizijua wanauacha uislamu.
shehe anasema uislamu hauna mantiki, tazama video mwenyewe
shehe huyu ndie Imam wa msikiti mkuu Jeddah kwa zaidi ya miaka 20
Kwa sisi tuliokunywa pombe zaidi ya mara moja inatakiwa tupigwe viboko Hadi tufe. "Enyi mlioamini msiingie katika swala mkiwa mmelewa" .. " hakika pombe, na kamari na kupiga ramli ni miongoni mwa amali au matendo ya sheitani..Hizi ni baadhi ya Aya nilizozinukuu kutoka kwenye kitabu kitukufu Cha...
Kama ningekuambia miaka 15 iliyopita kwamba simu janja na Wi-Fi vitachangia kudhoofisha Uislamu kuliko hata mashambulizi yote ya historia kutoka kwa Wakristo waliowahi kuitwa "makafiri," ungeweza kudhani ni mzaha. Lakini leo, kama Mkristo ninayeangalia mwenendo wa ulimwengu, siwezi kupuuza...
Rasi Donald Trump wa Marekani anajaribu kadri iwezekanavyo bidhaa kutoka nje ziwe ghali kiasi kwamba wananchi wake wasizipate kwa urahisi ijapokuwa kwake hazipo.Na kinyume chake.
Mu'az amesimulia: Nimemsikia Mtume wa Allah akisema" Mbaya ni yule anayelundika bidhaa na kuifanya iwe adimu...
Kuna video hipo youtube akisimulia kuhusu alivyo kwenda somalia kuhubiri dini.
Roho za watu zimejivisha dini lakini sivyo ndivyo anavyo sema. Anasimulia alivyo tekwa na al shabab wakamwambia ubaki na ujitolee kusalisha ila mwenzake alimtonya kuwa ukisema mema watatumaliza.
Ilibidi kuanza...
Dini zote zinaegemea juu ya udhaifu wa binadamu wa kufikiria na kukubali hali ya kutokuwepo baada ya kifo. Lakini ni nini hasa kinachotufanya tusikubali wazo la kutoweka bila alama yoyote? Je, ni woga wa kutokuwa na maana, au ni hitaji la kufarijika kwamba kuna mwendelezo wa safari hii baada ya...
Ingawa Mtume Muhammad alileta Uislamu kama dini mpya, ni dhahiri kwamba alihifadhi sehemu kubwa ya mila na desturi za wapagani wa Kikureshi.
Hebu tuangalie Leo baadhi ya Mila na desturi za kipagani alizoziendeleza kwenye dini yake mpya
1. Kuheshimu Jiwe Jeusi (Hajar al-Aswad)
Katika mila za...
Jiwe linaloabudiwa huko Mecca linajulikana kama Al-Hajar al-Aswad (Jiwe Jeusi). Jiwe hili lipo kwenye pembe ya mashariki ya Kaaba, Kaaba ni jengo la pembe nne lenye shuka jeusi na juu limezungushiwa urembo wa rangi ya dhahabu katika Msikiti Mkuu wa Mecca (Masjid al-Haram). Kaaba ni eneo la...
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Magaidi wa ISWAP wakishirikiana na Boko Haram, wote wenye mlengo wa uislamu wavamia kambi ya kijeshi na kufanya maafa kule Nigeria.
Hawa ISWAP sikua nawajua, duh yaani mwezi wao mtukufu ndio huwa na ushetani mara kumi......mpinga Kristo katika ubora wake.
==========================
Suspected...
Hili kanisa katoliki lipewe mauwa yake, unajuwa utandawazi unakuja na mengi sana na kuyafahamu hata yaliyojificha.
Kwa muda mrefu Kanisa katoliki limekuwa likishambuliwa na madhehebu mengine ya kikristo hasa Wasabato na waislamu kwamba wanaabudu sanamu, kumbe hizi rituals zinafanywa na dini...
Hivi ndivyo CCM imetufikisha na kutuharibia nchi.
Ili kuirudisha nchi kwenye misingi na kuwarudisha vijana kwenye sense of life and minds …… REFORM NI LAZIMA NDUGU ZANGU.
REFORM YA constitutional ni LAZIMA…..otherwise in the next 10 years vijana wetu watapata tabu sana.
CCM cares only about...
1. Unasema una mpenda na kumtii Mungu ambae hujawahi kumuona na wala hahitaji chochote kutoka kwako.
Ila
2. Unamchukia mwanadamu asie wa dini yako lakini ameumbwa na Mungu huyo huyo unae muabudu wewe.
Wewe mkristu kwanini uwachukie binadamu wenzako eti kisa sio wa kristu kama wewe?
Wewe...
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki
Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni...
Katika mjadala wa ndoa ya wake wengi, Waislamu mara nyingi hujadili aya ya Qur’an:
"Na mkikhofu kuwa hamtoweza kufanya uadilifu kwa mayatima; basi oeni waliokupendezeni katika wanawake wengine; wawili au watatu au wanne. Lakini mkikhofu kuwa hamtoweza kufanya uadilifu, basi mmoja tu."...
Jamaa ana shamba kubwa sana la bhange. Yaani ndo biashaara kubwa anayofanya huyu jamaa. Of course huwa anaonekana smetmes kabisa kibarghashia..... But hamna lolote huyu jamaa ana fanya mishe mishe zake zile zile na msuba anavuta kinyama.
Najiuliza ilikuwa tu ni hasira ya kufungwa miaka ile au...
Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu
Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi
Wakristo wana hofu wakisikia hivyo
Waislam wana kitengo cha propoganda cha kueneza dini yao. Katika Uislam kuna kitu kinaitwa Taqiya, yaani...
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.