Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema inaendelea kutekeleza mikakati ya kupambana na tatizo la udumavu nchini kupitia Mpango kazi Jumuishi wa Lishe wa mwaka 2021/22 – 2025/26.
Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Nancy Hassan Nyalusi, Aprili 16, 2025 Bungeni jijini Dodoma, Naibu...
ULAJI CHAKULA CHA AINA MOJA WATAJWA CHANZO CHA UDUMAVU, SYLVIA SIGULA AHOJI BUNGENI
Serikali imesema kuwa moja ya sababu za udumavu wa watoto katika baadhi ya mikoa nchini ni tabia ya ulaji wa chakula cha aina moja, licha ya mikoa hiyo kuongoza kwa uzalishaji wa mazao ya chakula.
Kauli hiyo...
Kuna shirika moja la kiutafiti liliwahi kufunga mjadala kwa kusema 3/4 au tuseme 75% ya Watanzania ni wendawazimu. Yawezekana ni zaidi ya 75% ila waliogopa tu kusema ukweli.
Mwaka wa uchaguzi mkuu Tanzania kuanzia JANUARI mpaka November kuna mambo mengi sana yanafanyika ambayo yanadhihirisha...
Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa amewataka Watumishi Halmashauri ya Mafinga Mji kuweka agenda ya chakula shuleni.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa kwenye kikao cha kupitia Tathmini ya viashiria vya Mkataba wa Lishe kwa robo ya pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.