simba fc

UPDF Simba FC is a Ugandan football club based in Lugazi. They are the country's Army club. They were a dominant force in the 1970s and 1980s when all the players were serving officers in the Army.

View More On Wikipedia.org
  1. ngara23

    Tathmini fupi mechi ya Constantine fc vs Simba fc

    Nawapongeza watani wamecheza wastani ila mashabiki wa Simba wameona kuwa team Yao ni changa na coach ana mbinu duni mno Mchezo ulikuwa wa upande mmoja Kwa maana ya Constantine fc Constantine fc ni timu ambayo haina mafanikio kwenye mashindano ya kimataifa, Mafanikio Yao ni kuishia second...
  2. THE FIRST BORN

    Baada ya hizi games 4 niseme mapema Lionel Ateba sio aina ya straika Simba inamhitaji. Time will tell

    Habari! Kwa mtu aliemfatilia Jamaa Kwa hizi games zote alizocheza Kwa playing style ya Simba na anavyocheza yeye hafai kabisa na soon mtakuja kukubaliana na Mimi. Ni Mzito Balaa na anachoka Lionel Ateba Hana pumzi 30 Minutes ashachoka anahema Kwa shida anaanguka ovyo kama Rasmus Hojlund wa...
  3. Damaso

    Huna baya MK14 Meddie Kagere

    Took a ride to the end of the lane………Where no one ever goes……. Ended up on a broken train with nobody I know……But the pain and the longing’s the same……. When you’re dyin’……Now I’m lost, and I’m screaming for help alone…. Relax, take it easy! Wengine wanamfahamu kama MK14, au kitu na box! Wapo...
  4. E

    Tetesi: Pitso Masomane kocha mteule SIMBA FC kuanzia leo saa moja kamili

    Kama makolo mmefanikiwa kumsajili kocha huyo hapo juu basi mtakuwa mmetisha, ngoja tusubiri hiyo saa moja tusikie hiyo habali kuu. Pitso Masomane ni kocha wa hadhi ya juu kabisa hapa Africa na atapaisha sana hadhi ya Simba SC
  5. Labani og

    Ushauri: Simba wagomee mechi na Al Ahly

    Jana nilifanya time traveling kuona matukio ya mbele ghafla niliona tarehe 20 October. Mnyama (kolo) aka Simba [emoji250] [emoji250] amekufa Kwa mvua kubwa ya magoli na miamba wa soka Al ahly. Matokeo yalikuwa hivi Al ahly 8 __0 Simba Nb: Makolo mwendo wameumaliza[emoji23][emoji23][emoji23]...
  6. Kabende Msakila

    Azam FC, Simba FC na Yanga SC mnunueni beki wa Mashujaa "Shedrack"

    Huyu beki wa Mashujaa ni balaa - hamutajutia kumsajili katika vilabu vyenu. Ni ushauri tu
  7. N

    Klabu ya Simba yatakiwa kuomba radhi kwa tukio linalodaiwa kudhalilisha watu wenye ualbino kwenye tamasha lao

    Chama cha Watu wenye ualbino Tanzania (TAS) na Kituo cha Sheria na haki za binadamu (LHRC), wamelaani vikali kitendo kinachodaiwa kufanyiwa siku ya Augosti 6, 2023 siku ya 'Simba Day' kumtumia mtu mwenye ualbino mithili ya mtu aliyekuwa katika hali ya nusu utupu na aliyevaa nepi ya mkojo...
  8. C

    Yanga mmeweka heshima kwa nchi

    Kwanza nachukua fursa hii kuwapongeza Yanga pamoja na kwamba kwenye haya mashindano karibia timu zote zilizoshiriki zina hali mbaya ya kushuka daraja kwenye ligi zao. Sio kwamba mmepata mafanikio haya kwa kuwa mna wachezaji wazuri sana hapana, bali ni kujituma kwao ndio kumeleta mafanikio haya...
Back
Top Bottom