Wanajamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi.
Swali je tumepata faida gani toka mfumo wa vyama vingi?
PIA SOMA
- Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, sawa na Tanzania...