siasa chafu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Naomba, tujaribu kuja na majibu ya shida za nchi hii na sio siasa chafu kutuendesha

    Nimesoma bandiko kuhusu china kufungua mtambo wa matumizi ya Thorium kutengeneza clean energy na kupunguza matumizi ya Uranium ambayo inatoa hewa chafu. Ikumbukwe nchi ya machawa na wanafiki haiwezi kuwaza maendeleo ya sayansi bali huwaza kuchafuana kisiasa na kusahau mambo muhimu katika kuleta...
  2. J

    SIASA CHAFU DHIDI MWIGULU NI UOGA WA 2030

    SIASA CHAFU DHIDI YA MWIGULU NI UOGA WA 2030. Katika kila zama za siasa, kuna wanasiasa wachache wenye dira, msimamo, na rekodi safi ambao wanapopata umaarufu na kuwa tishio kwa wapinzani wao, huanza kushambuliwa kwa propaganda chafu, uvumi na hila ili kuwaharibia taswira yao kwa umma. Leo hii...
  3. Lord denning

    Orania, Afrika Kusini: Kielelezo sahihi namna Ubinafsi, Rushwa na Siasa chafu zinavyoathili Maendeleo ya Waafrika na Usahihi wa sera za CHADEMA

    Amani iwe nanyi Wanabodi. Kila siku huwa nasema, mchawi katika maendeleo ya kweli kwa mwafrika ni akili. Sio rasilimali wala nguvukazi. Kati ya vitu ambavyo siku nikifika mbinguni nitakuja kumuuliza Mungu nikipata nafasi ni swali " Aliweka nini kwenye akili ya Mwafrika ikiwemo sisi Watanzania...
  4. Cute Wife

    Pre GE2025 ACT Wazalendo: Badala ya kuzalisha wataalamu tunazalisha chawa

    Wakuu, "CCM imetufika pabaya leo watumishi wa umma wanashindana kujikweza ndio maana badala ya kuzalisha taifa la watalaam leo tuna taifa la 'chawa' na sasa hivi wamepita uchawa wamekuwa mende maana angalau chama akikaa kichwani ukinyoa nywele hadithi imekwisha, mende wanaingia kwenye vyoo...
  5. G

    Siasa chafu za CCM na usalama wa Waandishi wa Habari

    Baada ya wapinzani, kundi jingine linaloonekana kuteswa na kutaabishwa na ccm, ni hili la waandishi wa habari. 1. Daudi Mwangosi aliuawa na polisi alipokuwa akiripoti maandamano ya chadema. 2. Azory Gwanda alipotezwa na hajulikani alipo sababu ikisemekana ni kuandika habari za uchunguzi kuhusu...
  6. Mkalukungone mwamba

    Waandamanaji wa Bangladesh walivamia makazi ya Waziri Mkuu

    Bangladesh iko kwenye kipindi cha kihistoria baada ya waziri mkuu wake wa miaka 15 kukimbia nchi katikati ya hasira za Umma. Wiki kadhaa za maandamano dhidi ya Serikali zimesababisha waziri mkuu Sheikh Hasina kujiuzulu, kukimbia nchi, na serikali ya muda inatarajiwa kuundwa. Baada ya Bi Sheikh...
  7. B

    Siasa ni Sayansi, hatimaye Rais Samia ameiteka mioyo ya Wafuasi wa Hayati Magufuli

    Kuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu. Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furaha in Vain (bure tupu) Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa temporary pleasure ili mwanaharamu apite...
  8. G

    Mbowe anapaswa kukemewa na kila mpenda demokrasia, anaibomoa CHADEMA

    Ni kweli kafanya kazi kubwa sana kuimarisha na kuijenga chadema. Amepambana sana, apewe mauaji yake. Hata hivyo, Mbowe ana madhaifu makubwa katika uongozi wake ambayo sasa yamekomaa na kuanza kutoa harufu mbaya mpk akina Msigwa wameshindwa kuivumilia. Madhaifu hayo nitayaeleza hapa chini. 1...
  9. R

    KUMBUKIZI: Nape hasimamii lolote zaidi ya tumbo lake, anaweza kufanya lolote akipata wa kumpa cha kutupa tumboni!

    Msikilize baada ya kuona tumbo lake lina njaa, huyu atafanya lolote akipata mtu wa kumpa cha kutupa tumboni!
Back
Top Bottom