samsung

  1. COLTAN

    Msaada Katika Samsung A15

    Habarini. Natumia Samsung A15 Nikimpigia MTU Mimi Nina Msikia Ila yeye hanisikii nifanyeje? Ili aweze kinisikia nitakae mpigia?
  2. R

    Anayekopesha Samsung S25 Ultra, non active, isiyozidi 3m. Aje inbox. Downpayment 1m. Iliyobakia 500K kila mwezi. Uhakika. Narudia tena Uhakika.

    Kama heading inavyo dadavua. Nicheki Inbox. Niko Dar. Ilala. Specs: Black or Grey 12/16GB Ram, 256GB Storage Non active. Warranty isikosekane Pia.
  3. BUMIJA

    Nimeipenda Samsung A 15

    Wasalaam wadau. Mimi sitangazi biashara ila wadau hii simu inakaa na chaji na ipo Faster mtandaoni. Ni simu gani nyingine ambayo unaiona ni nzuri mno tushee mawazo maana zamani nilikua najinunulia tu. Hii itatupa experience maana maisha yetu kwa sasa bila smartphone hucheki. Ukienda nyumbani...
  4. Dalton elijah

    TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Han Jong-Hee Amefariki Dunia

    Mkurugenzi Mtendaji Samsung Electronics Han Jong-Hee aAmefariki kutokana na mshtuko wa moyo siku ya Jumanne,hiini kulingana na msemaji wa kampuni kubwa ya teknolojia ya Korea Kusini. Han alikuwa na umri wa miaka 63. Alizaliwa mwaka wa 1962, Han alikuwa amesimamia biashara za kampuni hiyo za...
  5. K

    SAMSUNG GALAXY NOTE 20 ULTRA

    Simu imenunuliwa mpya imetumika wiki mbili tuu. RAM: 12GB ROM: 256GB BEI: 600,000Tsh LOCATION: AIRPORT DSM PHONE: 0686210608 & 0748474936 ~KARIBUNI SANA~
  6. K

    Phone4Sale Samsung Galaxy S20 ULTRA ipo sokoni

    Simu imenunuliwa mpya imetumika wiki mbili tuu. RAM: 12GB ROM: 256GB BEI: 600,000Tsh LOCATION: AIRPORT DSM PHONE: 0686210608 & 0748474936 ~KARIBUNI SANA~
  7. Mike400

    Nauza simu Samsung ao5 ram4..gb 128

    Habari za majukumu wakuu . Kama kichwa kinavyojieleza nauza simu yangu Samsung ao5 ina ram 4 .. memory ni gb 128 .. battery 5000 mah .. clean as new .. Bei 210k .. Mteja serious..0684 56 25 23 Unapata charge original..pamoja na earphones
  8. N

    Nauza simusamsung s21 + 5gram 8 gbstorage 256bei 450,000 maongezi yapo 4 nipo darhaina kipengele labda aje nacho mteja

    Nauza Simu SAMSUNG S21 + 5G RAM 8 GB STORAGE 256 BEI 450,000 INA MIEZI 4 NIPO DAR HAINA KIPENGELE LABDA AJE NACHO MTEJA. MAWASILIANO 0688601539
  9. luckWill

    Brand New samsung S25 ultra for sale

    Karibu ujipatie Quick Deal Samsung S25 ultra ⚙️256GB - 3,300,000/= ⚙️512GB - 3,500,000/= Top Up Allowed Special offer S24 ultra > S25 ultra lipia 1,900,000/= tu Mobille - 0750240240 Whatsapp - 0768866186
  10. E

    Phone4Sale Nauza Brand New Samsung S24 Plain

    Brand New Samsung Galaxy S24 128GB ni 1,650,000/- 256GB ni 1,800,000/- CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404
  11. CHURADUME

    MSAADA SAMSUNG A21 SIMPLE CHARGING WAY

    Nmeletewa samsung a21 simple haichaji mime chunguza nikagundua charging ic ndio shida kuipata ikawa ngumu ikabidi niunge battry direct lakini changamoto ni kuwa batty inachajiwa ila simu haionyeshi chaji mpaka udisconnect battery na urudishe ndio unaona limefikia wapi ila ukiiacha inatumika...
  12. P

    Phone4Sale Samsung S10+

    Samsung S10+ ⭕️Ram 8GB ⭕️storage 128Gb ⭕️Clean 💰bei 320,000/= Ubungo Darajani 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣6️⃣8️⃣
  13. Llio 002

    Samsung galaxy a55 inauzwa

    Habari wana jamii Forum ninauza simu yangu Samsung galaxy a55 ni simu kali na latest kwa series za A Samsung Galaxy a55 Gb 256 Ram 12 5g network Bei Tshs 900,000/= 0625 557 395 Dar Es salaam Karibuni sana
  14. Mad Max

    Samsung wamezindua simu tatu za Galaxy S25 series!

    Wapenzi na wadau wa Samsung. Jana usiku Wakorea walitoa vitu vyao vutatu vya mwaka 2025, Samsung Galaxy S25, S25+ na S25 Ultra. Ya kuongea ni machache kwasababu ni upgrade ndogo kutoka S24 series. Samsung pia walituonesha Galaxy S25 Slim aka S25 Edge ambayo itazinduliwa hivi karibuni...
  15. Kyatile

    Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

    Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata. Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa...
  16. P

    Phone4Sale Samsung A05

    Samsung A05 Storage 128gb Clean haina kipengele Storage 128Gb Bei, unalip bei gan tajriri 0769503968️⃣ Ubungo darajani
  17. Pdidy

    Fundi nzuri WA Samsung JAMAN simu imepasuka na wino umevuja naogopa Hawa chovya chovya

    Wale mnaojua fundi nzuri WA Samsung kawe. Ama mwenge ama kariakoo Naomba tuambiane Mwanangu kashika simu asbh kaamua kuvuka na chake Kioo kwishnaaa Winoo. Hioo Samsung a03 Sijui sh ngapi sio kwa kutishiwa na watu hivi oohh
  18. Sun Wukong

    Samsung A04e 64gb for sale only 100k

    Wakuu nauza simu hiyo gb64 ram 3gb used nimeitumia miezi kadhaa
  19. MT255

    Samsung s24 ultra full box bei 1.9m

    KIMFAACHO MTU CHAKE NAUZA SAMSUNG S24 ULTRA FULL BOX STORAGE 512GB RAM 12GB NIMETUMIA MWEZI TU BIASHARA POPOTE TUNAUZIANA BEI 1.9M KWA MUHITAJI PM
Back
Top Bottom