samsung

  1. CHURADUME

    MSAADA SAMSUNG A21 SIMPLE CHARGING WAY

    Nmeletewa samsung a21 simple haichaji mime chunguza nikagundua charging ic ndio shida kuipata ikawa ngumu ikabidi niunge battry direct lakini changamoto ni kuwa batty inachajiwa ila simu haionyeshi chaji mpaka udisconnect battery na urudishe ndio unaona limefikia wapi ila ukiiacha inatumika...
  2. P

    Phone4Sale Samsung S10+

    Samsung S10+ ⭕️Ram 8GB ⭕️storage 128Gb ⭕️Clean 💰bei 320,000/= Ubungo Darajani 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣6️⃣8️⃣
  3. Llio 002

    Samsung galaxy a55 inauzwa

    Habari wana jamii Forum ninauza simu yangu Samsung galaxy a55 ni simu kali na latest kwa series za A Samsung Galaxy a55 Gb 256 Ram 12 5g network Bei Tshs 900,000/= 0625 557 395 Dar Es salaam Karibuni sana
  4. Mad Max

    Samsung wamezindua simu tatu za Galaxy S25 series!

    Wapenzi na wadau wa Samsung. Jana usiku Wakorea walitoa vitu vyao vutatu vya mwaka 2025, Samsung Galaxy S25, S25+ na S25 Ultra. Ya kuongea ni machache kwasababu ni upgrade ndogo kutoka S24 series. Samsung pia walituonesha Galaxy S25 Slim aka S25 Edge ambayo itazinduliwa hivi karibuni...
  5. Kyatile

    Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

    Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata. Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa...
  6. P

    Phone4Sale Samsung A05

    Samsung A05 Storage 128gb Clean haina kipengele Storage 128Gb Bei, unalip bei gan tajriri 0769503968️⃣ Ubungo darajani
  7. Pdidy

    Fundi nzuri WA Samsung JAMAN simu imepasuka na wino umevuja naogopa Hawa chovya chovya

    Wale mnaojua fundi nzuri WA Samsung kawe. Ama mwenge ama kariakoo Naomba tuambiane Mwanangu kashika simu asbh kaamua kuvuka na chake Kioo kwishnaaa Winoo. Hioo Samsung a03 Sijui sh ngapi sio kwa kutishiwa na watu hivi oohh
  8. Andazi

    Samsung A04e 64gb for sale only 100k

    Wakuu nauza simu hiyo gb64 ram 3gb used nimeitumia miezi kadhaa
  9. MT255

    Samsung s24 ultra full box bei 1.9m

    KIMFAACHO MTU CHAKE NAUZA SAMSUNG S24 ULTRA FULL BOX STORAGE 512GB RAM 12GB NIMETUMIA MWEZI TU BIASHARA POPOTE TUNAUZIANA BEI 1.9M KWA MUHITAJI PM
  10. K

    Natafuta vioo vya samsung

    Wakubwa, natafuta mahali panapatikana spea za Samsung S10,S9,. Shida ni kioo tu
  11. K

    Samsung A22 ipoje wakuu msaada

    Naombeni msaada wakuu kufahamu Samsung A22 Upande wa Camera Na kukaa na chaji
  12. Mr. Purpose

    Computer4Sale Laptop aina ya Samsung inauzwa

    Laptop Inauzwa Ni SAMSUNG LAPTOP RAM 4 GB Processor 2.4GHz HDD 360GB Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4 Bei ni 260,000 Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho. Mawasiliano 0752026992
  13. P

    Phone4Sale Samsung A05S

    Samsung A05s ♦️Ram 6Gb ♦️Storage 128Gb ♦️Clean 💰Bei 250,000/= 📍Ubungo flyover ☎️0769503968
  14. Abuu95Kiago

    Phone4Sale SAMSUNG GALAXY 14

    AVAILABLE BRAND NEW 𝗚𝗔𝗟𝗔𝗫𝗬 𝗔𝟭𝟰 𝟭𝟮𝟴𝗚𝗕 | 𝟲𝗚𝗕📱 🔗Brand New 🔗Mixed Colors 🔗Dual Sim ✔️ ✨𝗧𝗦𝗛 𝟯𝟭𝟬,𝟬𝟬𝟬/= 💰 📍Kariakoo, Magila & Likoma,Opposite KKKT DMP Call / Text +255 714 981607 ☎️ 24 Months Limited Warranty ✅
  15. Msaga_sumu

    Samsung note 10+ on sales

    njoo na 350,000 tu chap ngoma nzima na uzima wake Ram 8 GB 265 5000 mAh 5G Wireless charge nk 0674793564
  16. Teknolojia ni Yetu sote

    Samsung zimedukuliwa

    𝗦𝗮𝗺𝘀𝘂𝗻𝗴 𝘇𝗶𝗺𝗲𝗱𝘂𝗸𝘂𝗹𝗶𝘄𝗮 Watumiaji wa simu za Samsung Galaxy mifumo Yao imedukuliwa na kusababisha changamoto kwa watumiaji wake. Processor ya Samsung Exynos imedukuliwa na wadukuzi na kuweka code zao ambazo zinaendesha mifumo ya Samsung kupitia jarida la Google security export ilisema. Kirusi...
  17. L

    DOKEZO Msaada kuhusu simu za Samsung

    Habari ndugu zangu? Nisaidieni kujua ni simu gani nzuri kati ya Samsung S series na Note series na vipi kati ya S10+ na Note 10+ ipi ni nzui?
  18. M

    Msaada namna ya kupata ussd l/mmi code za Samsung Z fold 2

    Kwa wataalam sinu tajwa hapo juu siwezi ingia menu ya huduma mtandao husika mfano mpesa huduma za voda inaandika error na inakubali kuangalia salio pekee
  19. S

    Jipatie vioo vya Samsung na chaja original kwa bei nafuu

    Habari wana Jf Je unateseka na simu yako sababu ya kioo? usikate tamaaa suluhisho limepatikana. Je bado unateseka na chaja yako kuharibika mara kwa mara. Sasa agiza na mi china kifaa original kwa bei nafuu hutojutia. Napatikana Goba-Dar es Salaam, Tanzania Nicheki whatsap no +255 622818217
  20. Andazi

    Phone4Sale Naunza simu yangu aina ya Samsung Galaxy 04e

    Ndio simu ambayo natumia kulogin huku na kupost huko na huko ina 64GB ndani na 3GB of ram android 14 na Oneui 6.1 Ni yangu 100% na utakapo inunua palepale ndio nitatoa Samsung Account as proof ya kuwa mmiliki wake Ninashida na 180k tu Ipo good condition na nimeitumie for long time, nitaweka...
Back
Top Bottom