mradi wa dmdp

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshobaa

    DOKEZO Ni kitu gani kinakwamisha awamu ya pili ya mradi wa DMDP wakati fedha zilishatolewa na Waziri?

    Wakuu salaam, Nadhani sasa ifike mahali sisi wananchi tuache kudanganywa kwa ahadi hewa. Tumesha kuwa watu wazima sasa, sio watoto. Huu mradi sote tulishuhudia utiaji saini wake na Mh. Mchengerwa mwaka jana, mwezi Oktoba, na kuahidi utekelezaji wake ufanyike mara moja. Naomba kuuliza, ni...
  2. Mshobaa

    Kuanza rasmi kwa mradi wa DMDP phase 2

    Wakuu hivi huu mradi kuna mwenye taarifa ya utekelezaji wake? Mwanzoni mwa mwaka huu tuliambiwa Serikali imesaini mkopo wa mabilioni kwa ajili ya kujenga miundombinu katika jiji la Dar es Salaam ambapo utekelezaji wake ungeanza mwezi june 2024 lakini hadi sasa tunaenda August bila dalili ya...
Back
Top Bottom