misemo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ghayo TheMongo Barbarian

    Uzi wa kutupia Nicknames maarufu za wana Jf na Misemo maarufu hapa Jf

    Mzuka Wana jamvi, yerereeeeeerreereerreereyere!!!!! Bila kupoteza muda. Baadhi ya Nicknames @Magahayo = The Mongolian Savage, Mgerasi , Semenya aka Mabange GENTAMYCINE = Popoma Mshana Jr = Mlozi Eli Cohen = EliNyahu Cohen , Jasusi wa Mossad Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah = Chawaz Gang...
  2. holoholo

    Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kikrisito

    Tumsifu Yesu kristo, Bwana Yesu asifiwe❤️ Ndugu zangu wakristo,huu ni Uzi maalumu kwa kuleta nukuu,kifungu,mstari wa Bible kwa njia ya picture
  3. Equation x

    Hii misemo ya kijamaa imepotelea wapi ndugu zangu?

    Maisha ya zamani ilikuwa raha tupu:- ''Ingia bandani kamata kuku wawili tuchinje'' ''Ingia shambani vunja mahindi tuje tuchome'' ''Chemsha kahawa hapo jikoni ulete tunywe huku ukinihabarisha habari za huko nyumbani'' ''Hadithi hii inatufundisha nini wajukuu zangu?'' Nyakati hizi huwezi...
  4. Mtoa Taarifa

    Hii ndio misemo Bora iliyobamba zaidi kwa mwaka 2024, upi ulitembea nao sana?

    Ubaya Ubwela Gusa achia Twende kwao Sicheki na Wowote Ninge comment ila Mwanasheria wangu yupo likizo We huogopi..! Yanga hii unaifungaje? Mtoto Kautaka Naijua hiyo Kipengele uje nacho wewe tajiri Watoto wa 2000 Ukija bila gadi nitagawa wastani kwa idadi Kamdomo Mambo kwa ushahidi Na hapa ipo...
  5. S

    Mkumbushe Mjomba Wako wa Miaka ya 80 Asikariri Misemo, Nyakati Zinabadilika. Ule Msemo wa 'Nyumba ni Choo', Wapangaji Wanauzingatia Kuliko Mwenye Nyu

    Mkumbushe Mjomba Wako wa Miaka ya 80 Asikariri Misemo, Nyakati Zinabadilika. Ule Msemo wa 'Nyumba ni Choo', Wapangaji Wanauzingatia Kuliko Mwenye Nyumba. 💫💫💫💫💫 © Mwl. Makungu Ms 0743781910 Binamu, mwambie mjomba kuwa, misemo yao siyo ya kwetu. Maana nyakati zao ziliishia kwao hazipo...
  6. jangos

    Ushasikia msemo gani kitaa ukakuacha mdomo wazi?

    Natumai mu wazima. Nakumbuka way back nikiwa kwenye harakat zangu... Kuna baharia aliniita na kuniuliza ishu Fulani, nilmjibu kavu akanambia "chora". Nikawa nashangaa tu kumbe maana yake ilkuwa "nisepe"😂😂 Vipi we ushasikia msemo gani kitaa ukakuacha mdomo waz??
  7. Mnyamahodzo

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Nimekuwa napenda sana kusoma misemo mbali mbali katika magari hasa mabasi ya abiria na yale ya mizigo. Ndipo nilipoamua kuwauliza madereva, nani anayetaka maneno hayo yaandikwe? Majibu yao ni kuwa, wapo matajiri wanataka semi hizo ziandikwe, wakati mwingine ni madereva wenyewe huwa ndiyo...
  8. M

    Maskini aliyeridhika hujibembeleza kwa misemo inayomkandamiza zaidi

    Maskini aliyeridhika hujibembeleza kwa misemo inayomkandamiza zaidi 😔 1. Maisha sio vita 2. Maisha ndio haya haya tu 3. Pesa hainunui furaha. 4. Utajiri ni dhambi. 5. Kila tajiri ana ushirikina. 6. Pesa sio kila kitu. 7. Mapenzi ni upendo pesa ni ziada tu 8. Utajiri unatesa sana bora hata usiwe...
  9. M

    Maskini aliyeridhika hujimbeleleza kwa misemo inayomkandamiza zaidi

    Umaskini haufai, na kama ukiwa maskini ukaishi kwa misemo kama hii, ni ishara kuwa umeamua kuukubali, na kwa hakika utateseka. Hakuna cha kusema “maisha ndiyo haya haya tu” - kuna mazuri zaidi ya hayo. Acha kujifariji kwa misemo kandamizi kama ifuatayo: 1. Maisha si vita. 2. Maisha ndiyo haya...
  10. Supercomputer

    Misemo gani ya kijinga na kipumbavu watu hutumia kufarijiana?

    I) Leo kwangu kesho kwake ii) Aliyempa yeye ndo aliyeninyima mimi iii) Kama ipo ipo tu Ongezea na wewe
  11. MamaSamia2025

    Hii ni misemo ambayo inamrahisishia shetani kazi yake

    Kimsingi shetani yuko smart sana kiasi kwamba kumzidi ni ngumu. Hutumia binadamu wenyewe kufanikisha mambo yake. 1. "Fuata ninachosema usifuate matendo yangu" Hii mara nyingi ni kisingizio kinachotolewa na baadhi ya viongozi wa dini au watu wengine waliojipambanua kama wenye maadili bora. 2...
  12. S

    Mkumbushe Mjomba Wako wa Miaka ya 80 Asikariri Misemo Nyakati Zinabadilika

    Mkumbushe Mjomba Wako wa Miaka ya 80 Asikariri Misemo, Nyakati Zinabadilika. Ule Msemo wa 'Nyumba ni Choo', Wapangaji Wanauzingatia Kuliko Mwenye Nyumba. 💫💫💫💫💫 © Mwl. Makungu Ms 0743781910 Binamu, mwambie mjomba kuwa, misemo yao siyo ya kwetu. Maana nyakati zao ziliishia kwao hazipo...
  13. P

    Misemo iliyobamba na kuacha gumzo, tupia unaokumbuka

    Wakuu, Kuna vimesemo na vijimaneno huwa vinazuka na kubamba na kisha kupotea baada ya muda. Unakumbuka msemo gani uliobamba sana na kusepa na kijiji? Tupia hapa na watoto 2000 wapate vya kusimulia. Si mbaya ukaeelezea kwa kifupi msemo ambao unaona sio maarufu kwa wengi, utuambie ulitokea hapi...
  14. raiswenu

    Misemo ya kikwetu yenye Hekima ndani yake

    Nianze na misemo ya kisukuma na maana zake 1. Chujaga mhela utizaguchuja nhola Bora umkose nyati atakuhurumia kuliko kukosea kuoa. 2. Kushema Chonja kubundala Huu ni sawa ule msemo mtaka cha uvunguni sharti uiname. 3. Gw'ana nongu akalyaga na kabisile Mtoto mwema huweza kupewa ale...
  15. D

    Kesi ya mke wa bilionea Msuya imenifanya nikumbuke misemo na nahau zifuatazo

    Hii ndiyo misemo unayoweza kuikumbuka dhidi ya ushindi wa mke wa bilionea! 1. Anaye cheka mwishoni hucheka sana 2. Tamaa mbele mauti nyuma 3. Mchuma janga hula na nduguze 4. Heri kumwagwa kuliko kumiminwa 5. Haiwi imekwisha hadi iishe 6. Ghafula bin vuu 7. Ukitaka kuruka agana na nyonga 8. Leo...
  16. I am Groot

    Misemo iliyotrendi 2023: Ni msemo gani uliibuka mwaka huu ukakufurahisha au kukukasirisha?

    Muda umeenda, mwaka unaenda kuisha; ni asilimia 95% mpaka sasa ya mwaka tumeikata tayari. Misemo ni vimbwanga mbalimbali vimeibuka. Je, ni msemo gani uliibuka mwaka huu ukakugusa kwa namna yoyote? ~ "Mama anaupiga mwingi"🥲
  17. BRN

    Uzi maalumu wa Misemo ya Yanga baada ya kufungwa na Simba na kupoteza Ngao ya Hisani

    Tarehe 13/08/2023 timu za mpira wa miguu za Tanzania Bara za Simba na Yanga zilipambana kwenye fainali ya kugombea Ngao ya Hisani. Mechi hiyo ambayo timu ya Yanga ilifungwa goli tatu na kujifanya Simba kutawazwa kuwa Mabingwa wa Ngao hiyo ambayo hufungua msimu wa Ligi Kuu ya msimu 2023/2024...
Back
Top Bottom