mionzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. keikiu

    Miwani ya kuzuia mionzi hatari ya kompyuta, simu na tv

    - Hutakiwi kuikosa miwani hii, miwani hii ni PHOTOCHROMIC, inabadilika na kuwa nyeusi kila unapopigwa na mwanga wa jua na kuweza kukukinga na mwanga mkali wa jua. - Itakukinga na mionzi mikali ya KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV inayopelekea kichwa kuuma chenyewe, Macho kutoa machozi na kuwasha...
  2. Ojuolegbha

    Dkt. Tax ashiriki Hafla ya Kufunga Mafunzo ya Utayari Dhidi ya Dharura za Kemikali na Mionzi

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax, Machi 14, 2024 ameshiriki katika hafla ya kufunga mafunzo ya utayari dhidi ya dharura za kemikali na mionzi, ambapo Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa. Sambamba na Ufungaji...
  3. Stephano Mgendanyi

    Dkt. Ashatu Kijaji azindua Jengo la Mionzi katika Hosipitali ya Wilaya ya Kondoa

    Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa afya katika Halmashauri ya Kondoa pamoja na Halmashauri ya Mji Kondoa kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuwa wananchi hao wanamatumaini makubwa ya kupata huduma kwa haraka na kwa uhakika. Ameyasema...
  4. Ojuolegbha

    Serikali Zanzibar yaiomba Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kudhibiti matumizi salama ya vyanzo vya mionzi nchini

    Serikali Zanzibar yaiomba Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kudhibiti matumizi salama ya vyanzo vya mionzi nchini Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema hayo alipoweka jiwe la msingi la ofisi ya maabara ya Tume hiyo kwa Zanzibar, huko Dunga Zuze, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini...
Back
Top Bottom