Kwa wale watumiaji wa mayai Kwa lengo la kupata protein wameshasikia mengi kuhusu tetesi za madhara ya mayai ya kisasa na hata Wataalamu wa Lishe wanakiri ya kuku wa kienyeji ni bora zaidi.
Lakini nyumba nyingi na maduka mengi utakuta tray za mayai ya kisasa ni mengi zaidi na biashara yake...
Wakuu habari za muda huu, kama kichwa kinavo someka hapo juu.
Siku hizi kumekuwa na matumizi makubwa sana ya hii bidhaa.
Ila kutokana na jinsi yanavyo zalishwa nimepata kigugumizi kidogo kuhusu lishe tunayopata kutokana na matumizi ya hayo mayai.
Sasa je kuna Nutrient zozote kweli au ni...
Nahitaji mfugaji anayeweza kuzalisha mayai zaidi ya trei 100 kwa wiki.
Nanunua trei 100 kila wiki.
Bei isizidi 6000/= kwa trei moja.
Mawasiliano:call/whatsapp 0674574112.
Email: ngatungaa37@gmail.com
Kiini cha njano,kuku wanapewa majani kila siku, hatutumii carophyl yellow kuongeza unjano
Bei ya elfu 6800(kuanzia trei 10)
Oysterbay karibu na ccbrt
0738832076
Bei inapanda na kushuka,kwa hiyo inapobadilika nabadilisha pia katika tangazo humu...hakuna sehemu ya ku edit title ya tangazo.
Wakuu kwema,
Niko interested kujua bei ya mayai ya kisasa hapo Dodoma ikoje?
Huwa inapanda na kushuka?
Je, ceiling price na floor price za hayo mayai zikoje?
Habari ndugu zangu.. Kama kuna mtu anauza mayai ya kuku wa kisasa na yupo Dar naomba tuwasiliane. Nahitaji tray zaidi ya 300..
Nitafurahi sana kama nitapata fursa ya kukutana na huyo mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.