mayai ya kisasa

  1. ndege JOHN

    Kipi kinakufanya utumie mayai ya kisasa na sio ya kienyeji?

    Kwa wale watumiaji wa mayai Kwa lengo la kupata protein wameshasikia mengi kuhusu tetesi za madhara ya mayai ya kisasa na hata Wataalamu wa Lishe wanakiri ya kuku wa kienyeji ni bora zaidi. Lakini nyumba nyingi na maduka mengi utakuta tray za mayai ya kisasa ni mengi zaidi na biashara yake...
  2. Spacefox

    Gumzo: Mayai ya kisasa yana manufaa kwa afya ya mtumiaji?

    Wakuu habari za muda huu, kama kichwa kinavo someka hapo juu. Siku hizi kumekuwa na matumizi makubwa sana ya hii bidhaa. Ila kutokana na jinsi yanavyo zalishwa nimepata kigugumizi kidogo kuhusu lishe tunayopata kutokana na matumizi ya hayo mayai. Sasa je kuna Nutrient zozote kweli au ni...
  3. Ngatunga1

    Natafuta Mayai ya kisasa

    Nahitaji mfugaji anayeweza kuzalisha mayai zaidi ya trei 100 kwa wiki. Nanunua trei 100 kila wiki. Bei isizidi 6000/= kwa trei moja. Mawasiliano:call/whatsapp 0674574112. Email: ngatungaa37@gmail.com
  4. Organic mts garden

    Mayai ya kisasa yanapatikana Oysterbay, Dar es Salaam

    Kiini cha njano,kuku wanapewa majani kila siku, hatutumii carophyl yellow kuongeza unjano Bei ya elfu 6800(kuanzia trei 10) Oysterbay karibu na ccbrt 0738832076 Bei inapanda na kushuka,kwa hiyo inapobadilika nabadilisha pia katika tangazo humu...hakuna sehemu ya ku edit title ya tangazo.
  5. Extrovert

    Mnanunuaje mayai huko Dodoma? Bei ya mayai ya kisasa

    Wakuu kwema, Niko interested kujua bei ya mayai ya kisasa hapo Dodoma ikoje? Huwa inapanda na kushuka? Je, ceiling price na floor price za hayo mayai zikoje?
  6. Political stability

    Natafuta mayai ya kisasa

    Natafuta mfugaji, anae uza mayai ya kisasa, kwa bei ya jumla, Mimi nipo Dar, Kimara. Nicheki WhatsApp 0654171555
  7. N

    Nahitaji mayai ya kisasa kwa bei ya jumla

    Habari, Nahitaji mtu ambaye anauza mayai kwa Bei ya jumla. Nipo Dar es salaam. Nahitaji kufungua duka la mayai
  8. B

    Natafuta mtu anayeuza mayai ya kisasa kwa Dar es Salaam

    Habari ndugu zangu.. Kama kuna mtu anauza mayai ya kuku wa kisasa na yupo Dar naomba tuwasiliane. Nahitaji tray zaidi ya 300.. Nitafurahi sana kama nitapata fursa ya kukutana na huyo mtu
Back
Top Bottom