Wakuu salamu kwenu, Heri ya mwaka mpya 2024.
Sasa wakuu, nahitaji kununua oven kwa ajiili ya matumizi ya familia ya watu 6-8.
Ni oven kampuni gani nzuri itanifaa na za ujazo wa litre ngapi?
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tuna mtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.
Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.