The Mapinduzi Cup is a top knockout football tournament in Zanzibar. Mapinduzi meaning Revolution in recognition of the Zanzibar Revolution. The Mapinduzi Cup is a tournament created by the Zanzibar Football Federation to commemorate Zanzibar's Revolution day which is marked annually on 12 January. The first edition of the cup was in 1998. However, the cup is played between Zanzibari clubs together with clubs from Tanzania mainland. Since 2013 clubs from Kenya and Uganda have been invited to take part occasionally.
Along with the Zanzibari Cup and Nyerere Cup, the three tournaments are the three main knockout tournaments in Zanzibar. The maiden edition was won by Jamhuri F.C.
FULL TIME: Zanzibar Heroes ndiyo mabingwa wa MapinduziCup2025
Wametwa Ubingwa Huo Mara Baada Ya Kuibuka Na Ushindi Wa Magoli 2-1 Mara Baada Ya Dakika 90.
Ushindi Huo Unaendelea Kuanikiza Mapinduzi Matukufu Ya Zanzibar
Waamuzi wa Zanzibar wanatia aibu
Inaonekana wanachezesha Kwa maelekezo, yaani wameambiwa Zanzibar laZima afike final
Nimetazama mechi ya Zanzibar na Kenya ila yule mwamzi ni muhuni aisee
Amegawa red card ♦️ mbili , yellow cards 8 Kwa Kenya na kurusha ngumi😂🤣
Zanzibar wakapewa favour za kutosha...
Mashindano ya Mapinduzi Cup yamejikuta katika sitofahamu baada ya Burundi na Uganda Cranes kujiondoa ghafla, kulazimisha mabadiliko ya mfumo wa mashindano. Hali hii inatoa somo muhimu sana: "Ukishindwa kujipanga vyema, unapanga kushindwa vyema."
Awali, Mapinduzi Cup ilitarajiwa kushirikisha...
Zikiwa zimesalia siku mbili michuano ya mapinduzi cup uanze kutumia vumbi huko Zanzibar, timu za Uganda na Burundi zimejiondoa
Sasa zimesalia timu 4 tu ambazo ni Zanzibar heroes, Kilimanjaro stars, Kenya na Burkina Faso
Haya mashindano hayana mvuto tena Bora yafutwe
Zawadi ya million 100 timu...
Mtani amepata pigo lingine, baada ya kichaka alichokuwa anajificha la kuchukua kombe la mapinduzi kucheza na timu za taifa
Tujikumbushe mafanikio ya mtani aliyosomewa kwenye mkutano mkuu ni kama ifuatavyo
1. Bingwa kombe la Mapinduzi 😀
2 Whatsapp channel 😀
3 Kibegi
Mtani Sasa rasmi hatapata...
Wakuu
ZFF wamekuja na mfumo mpya wa Mapinduzi Cup!
Michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa 2025 itashirikisha timu za Taifa na sio vilabu kama ilivyozoeleka ambapo michuano hiyo itachezwa kwa mtindo wa makundi, nusu fainali na fainali itakayopigwa Januari 13, 2025 na mechi zote zitapigwa katika...
Yalikuwa mashindano yenye heshima hivi sasa yamekua mashindano ya kihuni yakiongozwa na marefariii wahuni hatujapata kuona nchi hii.
Upuuzi ulianza mechi ya mlandege kila mtu alishangaa ni kwamba refariiii aliingia na matokeo, fanya ufanyaloo Mlandege ishinde
Tuje mechi ya Simba hii ndio...
Match Day.
Updates...
Mlandege FC ambao ni mabingwa watetezi, watamenyana na Simba Leo Januari 13, 2024 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex mjini Zanzibar, ambapo mchezo wa fainali utaanza kutimua vumbi saa 2:15Usiku.
Fainali iliyopita;
Mlandege ilishinda mabao 2-1 dhidi ya Singida Fountain...
Kuna wakati mtaani kulikuwa na msemo wa "Mapinduzi ya Zanzibar" kumaanisha mambo yanayotokea yasiyoeleweka au yanayochanganya kiasi cha kuvuruga akili za watu. Tumeona katika nusu fainali hii ya Simba vs Singida maana halisi ya msemo huo.
Tukianzia, dakika za nyongeza zilitajwa 8 halafu...
Baada ya Mlandege kupita jana na Simba kupita leo nusu fainali, sasa ndipo naelewa ni kwanini timu ya Yanga haikuyapa UMUHIMU MASHINDANO Haya.
Yanga mliona mbali sana
Baada ya APR kunyimwa goli lililoonekana ni halali likifungwa na mchezaji Shiboub aliyewahi kuchezea Simba Sports. Baada ya mechi kocha wa APR alilalamika kubebwa waziwazi kwa timu ya nyumbani Mlandege jambo ambalo si la kiuanamichezo na kwa kuzingatia heshima ya mashindano hayo yanayoshirikisha...
Leo saa 2:15 usiku ni Singida Fountain Gate dhidi ya Simba SC katika mtanange wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayopigwa leo 10.01.2024.
Tayari timu ya Mlandege kutokea Zanzibar imeshatangulia fainali.
Je, unaipa nafasi timu gani kuifata Mlandege?
Kikosi cha Simba kinachoanza
Kikosi...
Mashindano ni mengi sana kwa wachezaji walewale. Ligi, FA, CECAFA, Caf champions, AFCON na mechi za kirafiki zote hizi ni muhimu na zina uwezo wa kuzalisha majeruhi kwenye timu yako. Haya mashindano ya Mapinduzi ni muhimu sana kisiasa lakini ratiba yake inaning'inia tu na malengo yake ni hadi...
yanga ilianzishwa mnamo mwaka 1935 na inasemekana ndo klabu kongwe na yenye mafanikio zaidi hapa nchini. klabu hii ilianzishwa na wazalendo halisi wa nchi hii waliokuwa wakiji shughulisha na uchuuzi wa nazi na samaki na muda wao wa jioni ulipofika walikuwa wakijumuika pamoja kusakata kabumbu na...
Kila timu inayo mipango yake na kupanga ni kuchagua, ndio maana Kuna timu zimeenda kushiriki mapinduzi na vikosi vyao vyote vya kwanza na Kuna timu zimeenda kushiriki na mchanganyiko wa vijana wa U20 pamoja na wachezaji wa vikosi vya pili iyo yote ni mipango
Yanga mipango yake ni ligi kuu, ligi...
Match Day
Simba SC Vs Jamhuri SC
Mapinduzi Cup
New Amaan Complex
Robo Fainali
08.01.2024
Mchuano huu ni kwa ajili ya mchezo wa soka uliosubiriwa kwa hamu huku robo fainali ya nne ikiendelea leo saa 2:15 Usiku kwa kuwakutanisha Simba SC dhidi ya Jamhuri FC katika Uwanja wa Amaan.
Mchezo...
Match Day.
Simba Vs APR
Msimamo wa Kundi B Ulivyo.
Hii nimetengeneza mwenyewe, hivyo kama kuna error tujuzane.
Hapa Simba tunahitaji tu Draw yoyote ili tuweze kuingia robo fainali.
APR anahitaji kutufunga Goli 4 - 0 ili aweze kuingia robo.
Kitu ambacho hakiwezekani.
Akipata huo ushindi...
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #mapinduzicup
⚽️ Young Africans SC Vs KVZ FC
📆 04.01.2024
🏟 Amaan, Zanzibar
🕖 2:15 Usiku
Ni Match ya Round ya Tatu.
Yanga Tayari ameshaingia Robo fainali,
Mechi inachezwa kukamilisha ratiba tu.
Tunategemea kupata burudani kweli kweli kutoka kwa Wananchi.
KIKOSI CHA YANGA...
Match Day
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
All the Best Mnyama
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.