john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    John Heche, John Mnyika, Boni Yai, Godbless Lema na wengineo, msikate tamaa, siku hadi siku Watanzania tutazidi kujengeka na UJasiri wa kupinga UONEVU

    Makamanda Msikate tamaa, tuwaunge mkono kwa TONE TONE waweze kuwa na nyenzo angalau ya pesa kufanya haya ya haki wanayoyafanya! Mushkov nimenakili sentensi yako please Erythrocyte
  2. Cute Wife

    Pre GE2025 DSM Heche na wasaidizi wake waachiwa na polisi

    Wakuu, Polisi na serikali ni wakati mwingine tena wa kujitia aibu🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️ ===== Kupitia ukurasa wake wa X John Heche ameandika haya: Usiku huu Mimi na wasaidizi wangu, tumeachiwa na polisi baada ya kututeka na kutushikilia kinyume cha utaratibu kwa mda mrefu. Hakuna kiwango cha...
  3. T

    Pre GE2025 DSM CHADEMA: Hadi sasa, hatujui walipo Heche na Mnyika

    Mkurugenzi wa mawasiliano CHADEMA Brenda Rupia ameandika kupitia ukurasa wake wa X kuwa hadi sasa hawafahamu ni wapo alipo John Mnyika na John Heche. Ameandika; "Mpaka sasa, hatujui aliko Katibu Mkuu wetu John Mnyika na John Heche Makamu Mwenyekiti ! Walitekwa waziwazi na maofisa wa maeneo ya...
  4. DITOPILE WAPILI

    Wako wapi John Heche na Mnyika tangu kukamatwa kwao hakuna mrejesho wowote

    Toka Asubuhi tumesikia John Heche na Mnyika wamekamatwa na Polisi, lakini hakuna habari kuonesha wako wapi hadi muda huu.
  5. Cute Wife

    Pre GE2025 DSM Inasemekana Heche akamatwa, apelekwa kituo cha polisi Oysterbay

    Wakuu, Msafara wa Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. @HecheJohn umezuiwa na Jeshi na Polisi muda akiwa maeneo ya Selandar Bridge usiende Mahakama ya Hakimu Mkazi kufuatilia mwenendo wa kesi ya Uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @HecheJohn leo tarehe 24, 2025 na kupelekwa Kituo cha...
  6. Waufukweni

    Pre GE2025 DSM John Heche amtaka Rais Samia kuifuta kesi ya uhaini ya Tundu Lissu

    John Heche amtaka Rais Samia kuifuta kesi ya uhaini ya Tundu Lissu "Pia tunaitaka Serikali, na tunamtaka Rais Samia kwasababu hii Kesi ni yake, aiondoe hii Kesi Mahakamani wamfutie Lissu hii Kesi ya Uhaini kwasababu ni ya uongo, Lissu sio Muhaini, huwezi kufanya Uhaini kwa Raia ambaye hajawahi...
  7. Waufukweni

    Pre GE2025 DSM John Heche awataka Polisi wasifanye fujo, awaita Watanzania kufuatilia kesi ya Tundu Lissu ambayo hukumu ni Kunyongwa hadi Kufa

    Wakuu! Makamu Mwenyekiti Bara John Heche, leo tarehe 23 Aprili 2025 anazungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika Makao Makuu ya Chama kuanzia saa saba mchana, waandishi wote wa habari mnakaribishwa. https://www.youtube.com/live/uw_9B8sK8n8?si=O332MRt1WyWCHk4D "Jambo la...
  8. figganigga

    John Heche afika Ubalozi wa Vatican kutoa pole kufuatia kifo cha Papa Francisko

    Makamu Mwenyekiti Bara John Heche leo tarehe 23/4/2025 amefika Ubalozi wa Vatican nchini kusaini kitabu cha maombolezo kufuatilia kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko. Heche amepokelewa na, Askofu Mkuu Angelo Accattino, Balozi wa Vatican nchini.
  9. T

    Pre GE2025 DSM Heche kuzungumza na wanahabari kesho

    Wakuu kesho itakuwa fire sana, ngoja tuje kusikia sakata lilikuwaje hada makamu kutoka kukamatwa hadi kuavhiwa kwake mana ni kama movie. === Taarifa iliyochapishwa na Chadema na kurudiwa na Blenda Rupia Mkurugenzi wa mawasiliano Chadema inaeleza "Usiku huu tumempata kwenye simu yake Makamu...
  10. M

    Kuhusu kukamatwa kwa Tundu Lissu na leo John Heche

    Nilichojifunza mimi ni kwamba, kuna mkakati maalumu wa kujaribu kuwanyamazisha viongozi wa CHADEMA. Inawezekana wamepanga kuwakamata viongozi wote wa ngazi ya juu wakiwa na lengo la kupisha kwanza uchaguzi au kudhoofisha upinzani. Nilichojifunza cha pekee ni kwamba, Watanzania bado...
  11. T

    Pre GE2025 DSM Godbless Lema: Heche yupo sawa na mwenye afya njema, kesho ataendelea na mikutano

    Mjumbe wa kamati kuu Chadema, Godblesss Lema ameandika kupitia ukurasa wake wa X kuwa Makamu Mwenyekiti bara John Heche yupo salama na afya njema na kesho ataendelea na mikutano Soma: Pre GE2025 - LHRC: Kukamatwa kwa John Heche sio sawa ni kinyume na haki za binadamu John Heche akamatwa na...
  12. Carlos The Jackal

    Pre GE2025 DSM Polisi yakana kuwashikilia Heche na wenzake! Wasema walikuwa wanazuia fujo kutokana na kutokuwepo uwanja wa mkutano

    Wewe Si wa kusema Eneo la Mkutano wa CDM Lina wafanyabiashara, mara Kuna Wanachama hawakiungi mkono CDM, mara wapo wanao support na blaa blaa blaa za Hovyo hovyo !!. Hayo hukuyajua wakati CCM wanafanya mikutano yao Kariakoo?? Mlishawahi wazuia CCM wasifanye mikutano hapo??. Au CCM ikiwa na...
  13. K

    Rais Samia hawezi kujinasua kukamatwa Heche na kuwekwa gerezani Tundu Lissu

    Tusimumunye Maneno: Rais Samia hawezi kujinasua kukamatwa kwa John Heche na kuwekwa gerezani Lissu . Tusije kujidanganya sijui vyomba vya usalama sijui nini ukweli ndiyo huo. Tofauti na Magufuli ni kwamba huyu Mama anajificha ndani kama vile sio yeye!!! Magufuli alikuwa yuko wazi zaidi kwenye...
  14. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 LHRC: Kukamatwa kwa John Heche sio sawa ni kinyume na haki za binadamu

    Utaratibu wa ukamatwaji wa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. John Heche ni uvunjifu wa haki zabinadamu Kituo cha sheria na haki za binadamu tumeona katika vyombo vya Habari suala linaendelea huko Kariakoo kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti John Heche tumeona namna ambavyo...
  15. Mshana Jr

    Samia sio malaika na Heche sio Shetani!

    Ndugu Watanzania! Tuna taarifa kuwa Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. John Heche alipokwenda kuhutubia Kariakoo. Tumezungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Bara) Mhe Amani Golugwa alisema kuwa wamefika vituo vyote vya Polisi katika Jiji waliambiwa hayupo...
  16. D

    Hii video ya John Heche imewaumiza sana wananchi

    Rais najua japo wengi wanamchukia ila kuna wachache wanapenda,ila Kauli kama hizi zitamfanya kila mtu amuone kama ni katili na mwenye Roho mbaya sana na wananchi kuzidi kumchuikia.
  17. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Heche: Nimekutana na Lissu gerezani, amesema mapambano yaendelee

    Makamu Mwenyeliti wa CHADEMAB(Bara), John Heche amesema kuwa amekutana na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu katika Gereza la Ukonga anakoshikiliwa na kiongozi huyo amewataka wanachana wa chama hicho kuendeleza mapambano. Lissu alikamatwa Aprili 12 wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma na kisha...
  18. M

    John Heche, nakukubali sana kwa kazi ngumu unayoifanya ya ukombozi wa Nchi hii. Naomba kutoa maoni yangu

    Binafsi nakukubali sana kwa kazi ngumu unayoifanya ya ukombozi wa Nchi hii. Naomba kutoa maoni yangu kama ifuatavyo:- 1. Pamoja na kuendelea kutoa Elimu ya No Reforms No election, naomba kiundwe kikosi maalumu kitakachoongoza movement ya kumtoa Tundu Lissu mahabusu. Wakiona tupo kimya sana...
  19. Waufukweni

    Pre GE2025 DSM John Heche: Wote tukutane Kisutu tarehe 24 kwa Tundu Lissu

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche amewataka Wanachama wa Chama hicho na Wananchi kwa ujumla kufika kwa wingi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu siku ambayo Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu atafikishwa Mahakamani April 24 kwa ajili ya kusikiliza...
Back
Top Bottom