jamiiforums

About Jamii Forums
logox.png

JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.

JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.


Focus Areas
  • Amplification of Citizen Voices
  • Access to the Right Information
  • Data Privacy and Protection
  • Digital Rights Advocacy
  • Promotion of Stories of Change
  1. mcTobby

    Zamani nilipoifahamu JamiiForums, Nilijua ni mtandao wa CHADEMA.

    Mwishoni mwa utawala wa Jk awamu ya pili, ndio nipo o level nilijua JF ni ya chadema. Kipindi hicho hoja nasikia zilikuwa za moto ile mbaya. Mpaka maafisa wa serikali nasikia walikuwa hawataki kuusikia kutokana na uozo wao kuanikwa humu. Sasa automatically nikajua this forum na belongs to...
  2. GENTAMYCINE

    Wanaume JamiiForums nadhani tumeshapata Somo Kubwa na la kutosha kupitia yaliyokuwa Mahusiono ya 'Ki - Ndumilakuwili' ya Haji Manara na Zaylisa

    Ni kwamba...... 1. Hata siku moja usije Kumuamini 100% kiumbe kiitwacho Mwanamke 2. Hata siku moja usipende Kujimaliza 100% kwa Mwanamke / Mkeo . Hata siku moja ukiwa katika Public usipende sana kumtambia Mkeo wa Watu kwani hawa Hawatabiriki 4. Hata siku moja usiyaamini maneno matamu matamu...
  3. GENTAMYCINE

    Hii nguvu Kubwa mnayoitumia wana Simba SC wa JamiiForums Kunisema leo mngeitumia kuondokana na Umasikini wenu mkubwa mlionao ingewasaidia mno

    Katika upigaji wa Penati hata Timu ya Wendawazimu na Wapumbavu inaweza Kushinda kwani Kikubwa ni Bahati na Wengine bahati hiyo hiyo huwa hawana Ndani hadi Kuwakimbia pia Wababe wao wa Kudumu kwa sababu za Kitoto na Kipuuzi.
  4. Waufukweni

    Adam Mchomvu afunguka alivyopikwa humu Jukwaani akimtambulisha Mkurugenzi wa JamiiForums Jahazini

    Wakuu 🤣 Mtangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu asimulia alivyopikwa humu Jukwaani (JamiiForums) wakati akimtambulisha Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa JamiiForums, Maxence Melo kwenye kipindi chao cha Jahazi
  5. P

    Hakika JamiiForums ni Kisima na Taswira Halisi ya Watanzania Wengi

    Kiukweli nimekuwa mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali hapa jukwaani,nilichojifunza Mosi: Ikiletwa hoja inayolinda maslahi ya Tanzania,Wengi huungana kutetea maslahi ya nchi bila kujali itikadi, hapa ndipo wachache huwabagua waliowengi kwa kuwaita wenzao wapinzani. Pili: Inapoletwa hoja...
  6. holoholo

    Watanzania tutumie JamiiForums badala ya Facebook, TikTok, Instagram na mitandao mingine ya Kijamii

    Wakuu, JamiiForums ni jukwaa la watanzania wote, ambapo ndani yake unapata kila kitu tena kwa ubora na weredi wa hali ya juu ikiwemo habari, burudani, michezo, mapishi, siasa, uchumi, lugha,nk JamiiForums faida zake ni nyingi sana kama vile ina'save' data/bando ukilinganisha na mitandao...
  7. H

    Natafuta kazi wana JamiiForums. Nina elimu ya astashahada katika fani ya manunuzi yaani

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Mkazi wa Kigamboni. Nina elimu ya astashahada katika fani ya manunuzi yaani [ procurement, logistics and supply chain management] Kutokana na changamoto za kimaisha imenibidi kutafuta kazi na siyo kuajiliwa tenah, hivyo nilikuwa naomba kazi, mwenye...
  8. KING MIDAS

    Pascal Mayalla wacha kuhadaa umma kwa kujiita 'mwakilishi wa JamiiForums' kwenye midahalo ya kisiasa. JF haina chama ila watumiaji wake wana vyama

    Pascal Mayalla mara nyingi kwenye midahalo ya kisiasa umekuwa ukijitambulisha kwamba wewe ni mwakilishi wa JamiiForums. JamiiForums ipi unayoiwakilisha, ilihali wewe ni kada wa CCM? Je, JamiiForums, ina mrengo wowote wa kisiasa? Kama unaenda kwenye midahalo hiyo, jitambuloshe kwa jina la...
  9. Waufukweni

    Pre GE2025 DSM Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

    Mwandishi wa Habari Pascal Mayalla amshauri Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu kutembelea jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati.
  10. GENTAMYCINE

    Haya wale Wagumba Tukuka JamiiForums mmepewa Mbinu ya bure hii ichukueni upesi tafadhali ili muijaze dunia

    "Kama unataka mtoto unaweza kukaa siku 14 wewe na mwenza wako bila kukutana na huwa unatakiwa kuanza kuhesabu siku ya kwanza ambayo mke wako ataanza mzunguko wake wa mwezi huku wewe Baba ukijitunza kwa siku zote hizo ili mbegu zako ziwe nyingi na zenye nguvu" Dkt. Nathanael Mtinangi, Daktari...
  11. GENTAMYCINE

    Hivi ninayeliona hili kwa Haji Manara na Mkewe Zaylisa ni Mimi peke yangu tu hapa JamiiForums au tuko wengi?

    Kila nikiangalia Picha za Matukio mbalimbali ya Haji Manara na Mkewe Zaylisa naona ni kama vile Haji Manara ni Mtumwa Tukuka, analazimisha Kupendwa na Mkewe Zaylisa halafu ananyenyekea kiasi kwamba huenda hata huwa anampigia Magoti Mkewe Zaylisa ili asimuache. Na hata nikimuangalia Mkewe...
  12. Mwamuzi wa Tanzania

    Hatimaye nimeweza kuondokana na addiction ya JamiiForums

    Niliijua JamiiForums 2013 wakati nimemaliza mafunzo ya JKT. Nilikuwa nikifukuzia ajira za majeshi na idara za ulinzi. Sasa wakati naandika jambo google nikajikuta nimeletwa JF. Nilishangaa sana kuona kitu amazing. Kwakweli JF iko vizuri, nikawa napata updates za ajira mbalimbali , taarifa za...
  13. JamiiForums

    JamiiForums imeboresha mwonekano wake kwenye Kurasa za Mitandao ya Kijamii kuwa wa Kisasa na rahisi Kuhakiki maudhui yake

    JamiiForums imeboresha mwonekano kwenye Kurasa za Mitandao ya Kijamii ili kukupa Mwonekano wa Kisasa na rahisi kwenye kuthibitisha Maudhui yake Mwonekano huu mpya unalenga kuwapa wananchi nafasi zaidi ya kushiriki kwenye Mijadala mbalimbali inayoendelea hapa Jukwaani JamiiForums.com na zaidi ya...
  14. Roving Journalist

    Data Privacy Day: JamiiForums kwa kushirikiana na Lawyers Hub kufanya Mjadala kuhusu Sera za Akili Mnemba (AI) Januari 28, 2025

    Ikiwa kesho Januari 28, 2025 ni Siku ya Faragha ya Taarifa Duniani (Data Privacy Day), JamiiForums kwa kushirikiana na Lawyers Hub wameandaa Mjadala wa Sera za Akili Mnemba. Tanzania na Afrika kwa ujumla inashuhudia mapunduzi makubwa ya Teknolojia ikiwemo Teknolojia ya Akili Mnemba ambapo...
  15. GENTAMYCINE

    Dj wa JamiiForums tafadhali Sisi wana Simba SC tulioko hapa JamiiForums tunakuomba utuwekee ule Wimbo wenye Kiitikio cha Wivuuuuuuu........Wivuuuuuuuu

    Nitafurahi sana kwani kwa Kipindi hiki huo Wimbo unavutia sana Kuuimba hasa ukizingatia anayeona Wivu baada ya Wiki Moja na Nusu ijayo atakuwa Mkoani NBC Premier League halafu yule Mkali wa International Games and Competitions akiwa zake ama Afrika Kusini au Ivory Coast akiwa busy Kuwatafutia...
  16. G

    wana jamiiforums mliowahi kufanikiwa hapo awali lakini sasa mmeporomoka, kilitokea nini ?

    Share experience yako, ni makosa gani mliyofanya ? kuna ishara zozote mlizoziona kabla ya kuporomoka ? Mlikabiliana vipi na aibu ya kuporomoka mbele ya jamii ? Kuna watu waliochangia kwenye kuporomoka ? maamuzi gani magumu mlifanya baada ya kuporomoka ? maisha yenu ya sasa yanatofautianaje na...
  17. milele amina

    Nawatakia wana JamiiForums heri na baraka ya mwaka mpya 2025!

    Nawatakia wana JamiiForums na Management, heri na baraka za mwaka mpya 2025! Mwaka huu uwe wa mafanikio, furaha, na amani kwa kila mmoja wetu. Ninawaomba uongozi wa JamiiForums iendelee kutunza siri za wateja. Ni muhimu kwa usalama na faragha yetu sote. Tafadhali hakikisheni kuwa taarifa...
  18. Tate Mkuu

    Nawatakia wana JamiiForums wote heri ya mwaka mpya 2025

    Kwa heshima na taadhima, nichukue nafasi hii ya kipekee kuushukuru uongozi mzima wa jamii forums, wafanyakazi wake wote, na pia wana JamiiForums wenzangu kwa kuwa pamoja kwa mwaka wote huu wa 2024. Natambua fika tumepitia mengi ndani ya mwaka wote huu. Wako ndugu na jamaa zetu wengi kwa namna...
  19. sanalii

    Tuelewane: Hakuna mwenye hati miliki ya Yesu Kristo

    Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive. Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo. Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa...
Back
Top Bottom