jackline

A jackline is a rope, wire or webbing strung from a ship's bow to stern to which a safety harness can be tethered, allowing a crewmember to move about the deck safely when there is risk of falling or being swept overboard. At sea, falling overboard is one of the leading causes of death in boating; fastening oneself to the ship with a safety harness tethered to a jackline reduces this risk.Generally, the jacklines are run from the bow to the stern on both the port and starboard side of a ship. Jack lines are used in heavy weather and in periods of reduced visibility, i.e. fog or at night.
Jacklines may be rigged temporarily when bad weather is expected, or, especially on sailboats heading offshore, they may be left in place all the time and used as necessary. They are usually attached to strong padeye or cleat fittings at both ends of the boat, allowing the crewmember to move fore and aft by sliding their harness' clip along the line. Jacklines may be made of wire or low-stretch rope. More recently, sailors are using high strength nylon webbing. The reason is that flat webbing does not roll under foot while working on deck and there is less chance to confuse it with other lines in difficult conditions. This reduces the hazard that can be created by using rope.

A jackline is also a rope installed in the luff of a mainsail to allow the luff slides to migrate horizontally away from the mast when the sail is reefed. By allowing the slides to migrate, more space is left in the mast track for the upper luff slides to descend, making the operation easier.

View More On Wikipedia.org
  1. Melubo Letema

    Mwanariadha Jackline Sakilu Ashinda Tuzo za TASWA kwa Mwezi Februari, 2024

    Mwanariadha wa Kimataifa, Staff Sergeant (SSgt) Jackline Juma Sakilu wa JWTZ, amechaguliwa kuwa Mwanamichezo Bora wa Tanzania kwa mwezi Februari , 2024 katika tuzo zinazotolewa na chama Cha Waandishi wa habari za Michezo Tanzania (TASWA). Kushoto : Jackline Sakilu na Alphonce Simbu TUKUMBUKE...
  2. Melubo Letema

    Alphonce Simbu na Jackline Sakilu Wang’ra Shanghai Marathon huko China.

    Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania Alphonce Felix Simbu ashika nafasi ya Pili kwa muda wa Saa mbili na Dakika tano na sekunde Thelathini na Tisa (2:05:39) na kuwa muda wake mzuri (PB) yaani (Personal Best). Huku Mwanariadha Jackline Sakilu akishika nafasi ya Nane kwa muda wa saa mbili na...
  3. chiembe

    Kama Jackline Ntuyabalile angeachiwa IPP Media, ingekuwa imeshakufa, anajipost muda wote yuko Dubai kumbi za starehe

    Kweli mahakama inaona mbali, kama wangekubali huyu dada awe msimamizi wa mirathi na amiliki IPP Media, angekuwa ameshaimaliza. Muda wote yuko mahotelini Dubai, kwa asiyemjua anaweza kudhani anafanya kazi ya uhudumu hotelini. Haijulikani anakaa na watoto wake saa ngapi.
  4. Mwachiluwi

    Tetesi: Richi Mitindo na Jackline Wopler wameachana

    Kuna taarifa za chini chini richi kaachwa na Jack sababu kila mtu kashindwa kuwa mvumilivu kwa mwezie. Sasa mwazo Jack alikuwa anahisi kama mumewe ana videmu uko nje akaanza vizia simu ya mumewe akaja kukutana wanaitana bby na mwanaume mwezie hakuamini. Alijaribu kuvumilia akashindwa akaenda...
  5. Stephano Mgendanyi

    Jackline Ngonyani: Nashauri mchakato wa Twiga Cement kuinunua Tanga Cement uanze upya

    Mhe. Jackline Ngonyani, Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Mhe. Jackline Ngonyani, Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma tarehe 04 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement wakati wa kuwasilishwa kwa hoja ya bajeti ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara iliyosomwa na...
  6. Replica

    Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

    Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi. Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo...
  7. Kalpana

    Jacqueline Wolper afanyiwa 'send off'

    Jacqueline afanyiwa 'send off' akiwa katika maandalizi ya ndoa hapo baadaye. Dada huyo wa watoto wawili aliingia ukumbini ndani ya gauni jeusi refu. Kila la heri, watu wanatafuta ndoa hawapati ila huyu umri umeenda ila ndiyo bahati kama zote.
  8. J

    SoC02 Umuhimu wa Afya ya Akili

    Taifa na wananchi kwa ujumla tunatakiwa kujua na kuelewa umuhimu wa afya ya akili kwa kila mmoja wetu ....hii itasaidia kupunguza mangonjwa mengi yasioambukizwa na kupunguza idadi ya vifo vinavyotokana na kujiua . --- “Jamani, nini hiki tena kila siku kujiua na mauaji yamezidi sana!” ilisikika...
Back
Top Bottom