Wakuu hebu fungukeni ni miaka mingapi upo kwenye biashara na je, umefanikiwa kutoboa kibiashara? Na, ulifanyaje kufika hapo.
Nina kaduka kangu mwaka wa tano huu sioni dalili ya kutoboa japo sijakata tamaa ila changamoto ni nyingi sana ikiwemo madeni na mtaji kiduchu bado napambana. Je, wewe...
Ndugu, habarini.
Naomba mnielekeze kuhusu hii biashara inayohusiana na kutengeneza matofali ya block.
Changamoto
Faida
Tahadhari
Uendeshaji
Mbinu
Mashine na vifaa
Gharama za uendeshaji
Karibuni wajuvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.