chadema kuzuia uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Halima Mdee: Hoja za CHADEMA kudai Reforms zina uzito mkubwa

    Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee, amesema kuwa hoja za vyama vya upinzani hasa CHADEMA na ACT Wazalendo kuhusu kudai reforms kuwa zina uzito mkubwa. Mdee amesisitiza juu ya usahihi wa CHADEMA kutokusaini kanuni za maadili kwani hakuna kanuni inayoweza kuwa juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Musukuma: CHADEMA waruhusiwe hata kwa mlango wa nyuma, tukutane nao majukwaani

    Mbunge wa Geita Vijijini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kasheku ‘Musukuma’ amesema kwa niaba ya Wabunge wa CCM, hawana hofu na vyama vya upinzani na kwamba wako tayari kukutana nao majukwaani endapo uchaguzi mkuu utafanyika. Akizungumza leo Aprili 16, 2025, Bungeni jijini Dodoma...
  3. Mkweliii

    Pre GE2025 Mwalimu Mbelwa Petro: CHADEMA hawakujiandaa na Uchaguzi zaidi ya kujiotesha ndoto za kuzuia Uchaguzi

    "Kipimo cha utayari wa kitaasisi unaweza kuona katika jinsi vyama hivi viwili vilivyojipanga na uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Wakati Dr. Samia na Dr. Nchimbi wameshaambia Watanzania kuwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu wanakwenda na kauli mbiu ya KAZI NA UTU - TUNASONGA MBELE, CHADEMA...
  4. Waufukweni

    Pre GE2025 Kisheria Chadema wamezuiwa kushiriki kampeni sio uchaguzi

    Wakuu Kumbe kisheria CHADEMA hawajazuiwa kushiriki uchaguzi Hakuna Sheria ya kuwazuia CHADEMA kushiriki Uchaguzi kisa kuto saini Kanuni za Maadili. Kisheria CHADEMA wamezuiwa kushiriki kampeni sio Uchaguzi. Ikumbukwe Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika...
  5. Waufukweni

    Pre GE2025 DSM Rais wa TLS Mwabukusi: Kutosaini kanuni za maadili hakuzuii Chama kushiriki Uchaguzi

    Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, Wakili Boniface Mwabukusi ameeleza kusikitishwa na tafsiri ya sheria inayochukuliwa na Tume huru ya Taifa ya uchaguzi, akisema hakuna sheria inayozuia Chama cha siasa kushiriki uchaguzi kwa kutosaini Kanuni za maadili ya uchaguzi. Kupitia ukurasa...
  6. Waufukweni

    Pre GE2025 Mbunge Nusrat Hanje: Hakuna wa kuzuia Uchaguzi, msiwape umaarufu

    Mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje amesema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuzuia uchaguzi nakudai uchaguzi utafanyika nakuwataka watu kuacha kuwapa kiki Wanaodai wanauwezo wakudhibiti Uchaguzi ujao. Hanje ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 10,2025 bungeni Jijini Dodoma Wakati akichangia Makadirio...
  7. Waufukweni

    Pre GE2025 Salome Makamba Mbunge wa Covid-19 amkaanga Tundu Lissu Bungeni, adai kuzuia Uchaguzi ni Uhaini, aungana na G55

    Mbunge wa Viti Maalum Salome Makamba mmoja kati ya wabunge 19 wa Viti Maalumu CHADEMA amekataa msimamo wa Chama kuzuia Uchaguzi huku akisisitiza kuwaunga mkono kundi la G55 ndani ya Chama hicho.
  8. Waufukweni

    Pre GE2025 Serikali yawaonya wanaotaka kufanya fujo uchaguzi mkuu

    Serikali ya Tanzania imewaonya watu waliojipanga kuleta fujo, kujihusisha na rushwa ama kuleta sitofahamu katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kuwa ipo macho na haitatoa mwanya wa kufanyika hila hizo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George...
  9. R

    Pre GE2025 Polisi watatofautisha vipi waandamanaji na wapiga kura siku ya uchaguzi octoba 2025?

    Hellow! Neno tu "MAANDAMANO SIKU YA UCHAGUZI" ni taharuki tosha. Pale kariakoo, polisi walijaribu kushawishi wafanyabiashara wafungue maduka, haikuwezekana sababu ya hofu ya fujo na hofu ya usalama na hofu ya mwitikio mdogo wa wateja. Saaa nimekaa hapa nauliza hawa polisi wetu ambao huwa...
  10. Waufukweni

    Pre GE2025 Lissu: Uchaguzi hautafanyika wananchi mkakubaliana na msimamo wetu mkaandamana siku ya uchaguzi

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema siku ya uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, chama hicho kitaitisha maandamano ya kuuzuia uchaguzi usifanyike. Kauli hiyo ya Lissu, inajibu swali kuhusu mbinu ambayo chama hicho itaitumia kuzuia uchaguzi...
  11. Waufukweni

    Pre GE2025 Lema kuanika hadharani majina ya vigogo waliopo nyuma ya pazia sakata la G-55

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amesema anapanga kuweka hadharani majina ya vigogo wanaodaiwa kuwa nyuma ya pazia la sakata la G-55, akibainisha kuwa baadhi yao wamekuwa wakinufaika kifedha kupitia mradi huo huku wengine wakitumika kama...
  12. Waufukweni

    Pre GE2025 Kagera: Viongozi wa Dini wamtaka Tundu Lissu aache Uchochezi, walaani vikali kauli za kuamsha Uasi

    Viongozi wa dini mkoani Kagera wamelaani na kukemea vikali kauli ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lisu aliyoitoa akihamasisha uasi na kuvuruga uchaguzi mkuu ujao. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  13. Mindyou

    Pre GE2025 John Mrema: Mnaofikiri No Reforms No Election ilianza 2024 hamna taarifa sahihi. Mbowe hakuwahi kusema atazuia Uchaguzi

    Wakuu, John Mrema ameendelea kutoa cheche kuhusiana na msimamo wa CHADEMA wa kuzuia Uchaguzi, akisema kuwa agenda ilianza mwaka 2020 January na haikuanza mwaka 2024 kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakipotosha Aliongeza kuwa Mbowe hakuwahi kusema kuwa CHADEMA itazuia Uchaguzi na hivyo...
  14. Waufukweni

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Daftari la Wapiga Kura liandikishwe upya, majina mengi ni 'Marehemu'

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Antiphas Lissu amedai kuwa daftari la wapiga kura lina majina mengi yasiyo halali hivyo kutaka daftari hilo liandikishwe upya.
  15. Lord denning

    Pre GE2025 Sumbawanga yazizima: Wananchi Wamsindikiza Lissu kutoka Uwanjani hadi Hotelini. Polisi washindwa kuzuia maandamo yao

    Sumbawanga leo imezizima. Kila kona ni Lissu. Leo Lissu amefanya mkutano wa aina yake Sumbawanga mjini. Baada ya Wananchi kukoshwa na sera zake pamoja na elimu murua aliyotoa wamefanya maandamano ya kumsindika hadi hotelini alipofikia. Unaambiwa hii haijawahi kutokea kwa historia ya siasa za...
  16. Jimbi

    Pre GE2025 Tundu Lissu anaelezea mabadiliko ya mfumo wa Uchaguzi kwa lugha nyepesi kabisa kueleweka na mtu yeyote

    Bila shaka kila Mwananchi sasa ataelewa maana ya No reforms No election na kuachana na propaganda za serikali hii ya kidhalimu ya CCM. Tundu Lissu anatumia lugha rahisi kabisa kueleweka kwa kila mtu, ni mwendawazimu pekee ndiye atakayeweza KUSHUPAZA SHINGO na kung'ang'ania kushiriki kwenye...
  17. Waufukweni

    Pre GE2025 LGE2024 Rukwa: Lissu amtangaza Mwenyekiti wa Kijiji cha Ntalamila (CHADEMA) kama mshindi, baada ya Tume kutomtangaza

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Antiphas Lissu ameamua kumtangaza aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti katika kijiji cha Ntalamila wilayani Nkasi mkoani Rukwa, ikidai kuwa alishinda katika uchaguzi huo na hakutangazwa Kupata taarifa na matukio yanayojiri...
  18. Waufukweni

    Pre GE2025 Lissu akabidhiwa Mkuki na Wananchi wa Kilando tayari kwa mapambano ya kuzuia Uchaguzi

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amekabidhiwa rasmi mkuki kama ishara ya ujasiri kuelekea katika mapambano yake yakuzuia uchaguzi.
  19. Waufukweni

    Pre GE2025 Makalla: Chadema hawawezi kuzuia uchaguzi, labda Uchaguzi wa Ukoo

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema Chadema hawawezi kuuzuia uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwaka huu, kwani upo kikatiba na sheria. Makalla ameyasema hayo Jumamosi Machi 22, 2025 akizungumza na wanachama wa chama hicho mkoani Simiyu...
  20. Waufukweni

    Pre GE2025 DSM John Heche: Tukishindwa kuzuia Uchaguzi Mkuu, basi CHADEMA hatutashiriki

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema "Msimamo wetu upo wazi, bila mabadiliko hakutakuwa na uchaguzi na hatutashiriki uchaguzi" Pia, Soma John Heche: Tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki. Tutawashirikisha Viongozi wa dini, mashirika ya kimataifa, balozi na NGO's...
Back
Top Bottom