birthday

A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).

View More On Wikipedia.org
  1. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Halafu mwanaume unawezaje kwenda photoShop kupiga picha za kupost siku ya Happybirthday yako?

    Ni kweli hainihusu kabisa lakini lazima uambiwe ukweli bana. Mwanaume unatakiwa uwe tofauti na jinsia ya kike bana. Mods ni Vyema na haki sasa mkawaorodhesha watu wenye I'd zaidi ya moja maana tunapata upinzani mkali sana kumbe unashindana na jamaa yuleyule mwenye ID 3 😁 Mkiwaorodhesha...
  2. realMamy

    Happy Birthday to me Realmamy

    Najiombea mafanikio mengi zaidi katika maisha yangu. 🙏
  3. Poppy Hatonn

    Happy Birthday Magige Nyerere

    Leo April 21 ni birthday ya Magige Nyerere mtoto wa tatu Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere. Magige yupo Dar es Salaam sasa hivi. Ni graduate wa UDSM ambapo alipata shahada ya Bsc. Electrical Engineering.
  4. Poppy Hatonn

    Leo April 13 ni birthday ya Mwalimu Nyerere. 103

    Hawa waasisi wa Taifa hili wamekuja wamekwenda. Tuna wajibu wa kudumisha amani waliyotuachia. Kama yupo taahira,punguani,muovu, anayetaka kuvuruga amani ya nchi,bado tuna wajibu wa kudumisha amani ya nchi. Kwamba yupo punguani alitaka kuleta vurugu isiwe kisingizio cha kuleta maafa. Leo hii...
  5. Damaso

    Happy Birthday Steven Seagal! 🎉

    A very happy Birthday Steven Seagal 🎉 What's your favorite film he's starred in?
  6. Smart Finance

    Happy Birthday Aliko DANGOTE - Simba wa Afrika

    Leo ni siku ya kuzaliwa ya Aliko Dangote – bilionea namba moja Afrika na mfano wa kuigwa kwa wawekezaji wadogo. Kupitia safari yake ya kibiashara, tunajifunza kuwa mafanikio makubwa yanaweza kuanzia Kwa hatua ndogo kabisa. Dangote alianza na biashara zake Kwa mkopo, aliaminiwa na kukopeshwa na...
  7. Binti Kimoso

    Happy birthday Taikon Master

    Happy birthday Darling. I'm not good in writing sorry for this. To me wewe ni special gift and I always thanks God to have you🥰🥰. You know how much I love you. Mungu akupe maisha Marefu My Micky My super T. Mwaaah!
  8. Mshana Jr

    Happy birthday Yvonne

    Heri ya Siku ya Kuzaliwa ya Miaka 60 kwa Mwimbaji Mashuhuri wa Afrika Kusini, Mtunzi wa Nyimbo na Mwigizaji Yvonne Chaka Chaka Tunamtakia mwimbaji, mtunzi wa nyimbo wa Afrika Kusini, mwigizaji, mjasiriamali, mfadhili wa kibinadamu, na mwalimu Yvonne Chaka Chaka siku njema ya kuzaliwa leo...
  9. Damaso

    Apigwa na sufuria kisa kukataa kula keki ya birthday

    Mwanamume mmoja huko Kayole, Kenya anayetambulika kama Evans Kidero Okoth anauguza majeraha mabaya kichwani baada ya ugomvi mkali baina yake na muuza bar, anayetambulika kama Mary Angara. Siku ya tukio, Bi Angara alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na alikuwa akiwakarimu vipande vya...
  10. wa stendi

    Video: Birthday kwa mwizi

    Hapa ni maandalizi ya kwenda kukata cake😅
  11. K

    Waliozaliwa Februari 29 hawana birthday mwaka huu!

    Habari Wana JF,Leo ni tarehe 01_03_2025 Siku ya Jumamosi, Kwa wale Wasabato niwatakie Sabato Njema. Nilimsikiliza mwanahistoria mmoja,nae aliniambia hivi,hapo zamani siku zilihesabiwa kuanzia tarehe Moja hadi thelasini,Maana yake miezi yote ilikuwa na siku thelasini.Lakini kutokana na...
  12. Vincenzo Jr

    Happy birthday the Weeknd

    https://youtu.be/e2PsmMlSP5s?si=9kcGRMlCdNEIXk6A Asantee sana kwa kutupa album kalii ya hurry up tomorrow hapa tunasubiria movie yetu sasa ya hurry up tomorrow happy birthday Ethiopia finest https://youtu.be/ljxYE-aJD3A?si=HsztdoldHBJpglZk Je nyimbo gani kalii unayo ikubali kutoka kwa the Weeknd?
  13. Heci

    Nauchukia mwezi February, mwezi wa birthday ya mke wangu, mwezi wa birthday ya CCM, mwezi wa Valentine's Day

    Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January. Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb. Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake...
  14. U

    Happy birthday bia ya safari lager leo umetimiza miaka 48 ya kuzaliwa

    Wadau hamjamboni nyote? Siku ya furaha,siku ya kukumbukwa HAPPY BIRTHDAY SAFARI LARGER Tarehe 4 Februari 1977 siku kama ya leo bia ya SAFARI LAGER ilizinduliwa na kampuni ya bia Tanzania Breweries katika mikoa ya Arusha na Dar es Salaam. Sherehe za uzinduzi zilifanyika New Africa hotel...
  15. milele amina

    Hatari ya CCM Kuchagua Nchimbi Mapema kugombea Umakamu wa Rais

    Utangulizi Katika kipindi hiki cha kisiasa, ni muhimu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa makini na maamuzi yake, hasa katika kumchagua Nchimbi kuwa Makamu wa Rais kuelekea mwaka 2030. Hatari hii inaonekana wazi kwa sababu inawezekana kwamba tunajenga msingi wa Rais wa mwaka 2030 hadi...
  16. S

    Siku ya birthday yake alikejeli: Vitoto vinakufa angali vidogo. Miwili baadae akafa. Huyu nae hata mwaka anaweza asimalize baada ya kukejeli marehemu

    Nakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo. Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....." Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa...
  17. RaJhumoR

    It's My Special Day Today

    Ebhana Good Morning JamiiForum People, Hope y'all had a blasting Week I thank god leo naingia Robo Karne, I haven't experienced it all ila it's a pleasure to be part of the journey, Witnessing the goods and bads zinazotokea duniani kwetu, I personally would love to thank kila mmoja humu, in one...
  18. Manyanza

    Happy birthday Sir Alex Ferguson

    He won the Premier League 13 of his 21 seasons in charge including two three-peats. He was a two-time champion of Europe. Five FA Cups and four League Cups. It's legendary former Manchester United manager Sir Alex Ferguson's birthday 👑
  19. SAYVILLE

    Christmas yote hii halafu mashabiki wa Yanga wamejaa malalamiko

    Inafikirisha sana, dunia nzima ipo katika shamrashamra za birthday ya Yesu Kristo, hawa ndugu zetu vyura wanaharibu mood yetu kwa kujaa malalamiko yasiyo na kichwa wala mguu. Ukiwauliza wanalalamika nini hawana jibu la kueleweka. Mara refa, mara analalamikiwa mchezaji wa JKT, wanamlaumu hadi...
  20. aise

    Happy Birthday In advance kwa Baby Boy wetu

    Ni miaka zaidi ya 2,000 sasa tangia azaliwe! Happy Birth Day kwake in Advance
Back
Top Bottom