A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).
https://youtu.be/e2PsmMlSP5s?si=9kcGRMlCdNEIXk6A
Asantee sana kwa kutupa album kalii ya hurry up tomorrow hapa tunasubiria movie yetu sasa ya hurry up tomorrow happy birthday Ethiopia finest
https://youtu.be/ljxYE-aJD3A?si=HsztdoldHBJpglZk
Je nyimbo gani kalii unayo ikubali kutoka kwa the Weeknd?
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.
Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.
Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake...
Wadau hamjamboni nyote?
Siku ya furaha,siku ya kukumbukwa
HAPPY BIRTHDAY SAFARI LARGER
Tarehe 4 Februari 1977 siku kama ya leo bia ya SAFARI LAGER ilizinduliwa na kampuni ya bia Tanzania Breweries katika mikoa ya Arusha na Dar es Salaam. Sherehe za uzinduzi zilifanyika New Africa hotel...
Utangulizi
Katika kipindi hiki cha kisiasa, ni muhimu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa makini na maamuzi yake, hasa katika kumchagua Nchimbi kuwa Makamu wa Rais kuelekea mwaka 2030.
Hatari hii inaonekana wazi kwa sababu inawezekana kwamba tunajenga msingi wa Rais wa mwaka 2030 hadi...
Nakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo.
Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....."
Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa...
Ebhana Good Morning JamiiForum People, Hope y'all had a blasting Week
I thank god leo naingia Robo Karne, I haven't experienced it all ila it's a pleasure to be part of the journey, Witnessing the goods and bads zinazotokea duniani kwetu, I personally would love to thank kila mmoja humu, in one...
He won the Premier League 13 of his 21 seasons in charge including two three-peats.
He was a two-time champion of Europe.
Five FA Cups and four League Cups.
It's legendary former Manchester United manager Sir Alex Ferguson's birthday 👑
Inafikirisha sana, dunia nzima ipo katika shamrashamra za birthday ya Yesu Kristo, hawa ndugu zetu vyura wanaharibu mood yetu kwa kujaa malalamiko yasiyo na kichwa wala mguu.
Ukiwauliza wanalalamika nini hawana jibu la kueleweka. Mara refa, mara analalamikiwa mchezaji wa JKT, wanamlaumu hadi...
Tunapoadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania, tujikumbushe maneno ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kuhusu Muungano wa Tanzania.
Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store
Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu!
I am reverently writing you a birthday wish, my Heart is overflowing with emotional goose bumps of gratitude!
Dear Madame speaker and president of IPU! You’re the most loving, caring, enduring, encouraging, forgiving, considerate...
Mfanyabiashara maarufu nchini Ghalib Said Mohamed ( GSM) akisherehekea Siku yake ya kuzaliwa ametoa tsh million 60 kujengea dispensary ya Kibaigwa wilayani Kongwa mkoani Dodoma ambako ni makao makuu ya Nchi
Source: Ayo TV
Mungu wa Mbinguni mbariki GSM 🌹
Miaka ishirini imepita tangu kuachiliwa kwa GTA San Andreas, moja ya michezo inayopendwa na kuheshimiwa zaidi katika tasnia ya michezo ya kielektroniki. GTA San Andreas ilibadilisha standard ya Video games, ikichanganya uhalisia wa dunia, hadithi ya kusisimua, na uhuru wa kuchunguza mazingira...
Happy Birthday to the one super lady!
🎉 You're the perfect mix of brilliance, strength, and fun. Keep being amazing, because you're simply unstoppable!
Hongera sana financial services 🎂 🍾 🥂
New Certified accountant in town!!
Proud of you 👏 👏 👏
Tuungane pamoja kumtakia heri na fanaka💐 💐
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, alimzawadia Diamond Platnumz KEKI kwenye kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake hapo jana Oktoba 2 na kula pamoja diko la birthday nyumbani kwa Staa huyo wa Bongo Fleva.
Diamond alishukuru Waziri kwa heshima hiyo na kutoboa siri kuwa Waziri alihusika kupendekeza wimbo...
Jeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.
Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.
Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah...
Kila mtu ana namna tofauti ya kusherehekea birthday yake
1. Unapiga magoti na kumshukru Mungu
2. Unaalika jamaa na marafiki katika hafla
3. Unaenda bar kupata kinywaji
4 keki laZima ihusike
5. Unawapigia wazazi na kuwatumia zawadi
6. laZima uchinje mnyama
7. Unafunga na kuomba Mungu
8.unatoa...
Hahahaaaa😂😂
Mambo mengine inabidi tu ucheke hata kama yanasikitisha.
Hapa mtaani Kwangu Jijini Dar nimekutana na Mwanadada akihangaikia matibabu yake baada ya kushindwa kuongea na kutamka vizuri kunakoambatana na maumivu makali kooni.
Baada ya kuhojiwa na marafiki zake amekiri kuwa alipiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.