avatar

  1. Carbon 4real

    MFAHAM DIRECTOR WA MUVI YA THE TITANIC NA AVATAR

    Anaitwa James Cameron kazaliwa Agosti 16,1954(70) nchini Canada sehem iitwayo Ontario. Kwenye sanaa ambayo alianza kuifanya mwaka 1978 yeye ni mhariri, mwandishi na muongozaji wa filam na tamthlia na mpaka sasa amefanikiwa kuongoza filam nyingi maarufu zinazoendelea kushika kilele ata sasa...
  2. Damaso

    Casting Jake Sully for Avatar series on Netflix

    1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10.
  3. Damaso

    Next Avatar Last Airbender Casting

    Hawa ni baadhi ya watu ambao wanaweza kucheza character ya Avatar Aang kwenye filamu za Avatar ATLA, Je kwako yupi anafaa zaidi? 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. This is parody don't take it seriously 😀
  4. LIKUD

    Naomba kuitambulisha Avatar yangu mpya ya mwaka 2025

    Mabibi na mabwana napenda kuitambulisha kwenu Avatar yangu mpya ambayo nitaitumia kwa mwaka 2025 nakuendelea. Haki zote zimehifadhiwa hairuhusiwi kutumia Avatar hii mahali popote pale bila idhini yangu.
  5. milele amina

    Ninatangaza kuuza Avatar yangu!

    Karibuni! Niwatakie Heri ya mwaka mpya 2025
  6. Ghayo TheMongo Barbarian

    Avatar yangu ndio Avatar yenye mvuto Zaidi Jf

    Mzuka Wana jamvi. Yerereeee rereeeeee!!!! 1. Imekaa kinyamwezi 2. Iko really 3. Toka nijiungeJf sijawahi kuibadilisha 4. Ina vitamin zote 5. Sina haja kutongoza humu mademu automatically wananizimia jinsi nilivyo hensamu 6. Ongezeeni nyinyi wadau Hahahahaha!!! unyama sanaaa
  7. Mshamba wa kusini

    Avatar ya member gani ulikuwa unaiangalia juu juu lakini baada ya kuiview ukaielewa vizuri

    Kuna baadhi ya avatar nilikuwa naziangaliaga juu juu lakini baada ya kuzifungua nilizielewa vizuri mfano avatar ya Tindo huyu yeye ameweka kifaa cha ujenzi mimi siku zote nilikuwa sielewi mpaka nilipo amua kuiview Mahondaw huyu nilikuwa sielewi ni nini kumbe ni shape ya mwanamke Meneja wa...
  8. E

    Nini sababu/chanzo/lengo la kutumia ID/ avatar unayotumia hapa jukwaani?

    Itifaki imezingatiwa, Wakuu, binafsi chanzo cha kutumia id-enter passcode ni shemeji/wifi/mtoto/mjukuu wenu, simu niliijaza pass words mpaka akitaka kufungua app yoyote inamdai aingize codes, Baada ya kukuta na camera ya simu inamuhitaji code, alishindwa kujifotoa na kunipa jina zuri kama hili...
  9. YE67NBE

    Wanaume mnaotongoza wanawake kwa kigezo cha avatar mnaenda kupigwa na kitu kizito kichwani

    Wakuu za sahizi, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nipo hapa nacheka kaa fala kwa kweli. Hii ni baada ya kuona baadhi ya wanaume wanadatishwa kwa avatar za wanawake humu ndani bila kuangalia uhalisia. Asee nyie watu mnaenda kupigwa huko na vitu vizito watu mpaka mnaotana aseee 😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huwezi kuwa serious, kabisa...
  10. Kilimbatz

    Ukiacha kwenye cinema wapi naweza kuangalia muvi ya avatar?

    Kwa sasa nipo bush na sina uhakika wa kurudi town hivi karibuni Je kuna yakuniwezesha kuangalia muvi hii?
  11. Madingi ya Mbinguni

    Avatar ya tapaiko na mkeho

    Kuna watu wananifwata inbox kwasababu ya hiyo avatar. Please stop that mimi ni janadume lenye madevu mengi hiyo avatar ni manzi angu.
  12. Richmoto Kushmoto

    Avatar the Last Airbender Part 2 naipataje?

    Morning guys hii movie nimekuwa nikiitafuta kwa muda mrefu bila mafanikio huu ni mwendelezo wa avatar the last airbender part 1 hii ni part 2 Naweza ipata kwa website wazee mnipe muongozo
  13. Da'Vinci

    Box Office battle: Avatar Vs Avengers

    Wapenzi wa movie😅😅😅 Tulishachotwa akili kweli na hawa watengenezaji wa muvi. Hivi lini bongo movie tutafika huku..walishawahi kupata hata Tsh 10Mil???. Issue Ipo hivi.... Muvi ya Avatar ilitoka 2009 ikashika rekodi ya kua muvi iliyoingiza pesa nyingi zaidi duniani baada ya kuvunja rekodi za...
  14. Miguel Alvarez

    Msaada namna gani naweza kubadili avatar

    Naomba msaada wakuu,ni.namna gani naweza kubadili avatar..?
  15. Mwamuzi wa Tanzania

    Avatar yangu ina ujumbe mzito

    Hii avatar yangu naweza kusema ndio avatar ya mwaka 2020/2021.
  16. D

    Natafuta kazi

    Naitwa Irene ,nimuhitimu form six naishi dar natafuta kazi wapendwa any one atakae sikia any updates nsaidie kunijulisha ,available 0755245221
Back
Top Bottom