aapa

Bari Aapa (Lit: Older Sister)is an urdu language Pakistani telenovela first broadcast in Pakistan by Hum TV. Written by Samira Fazal and directed by Saife Hasan, the telenovela, which premiered on 1 September 2012, was produced by Momina Duraid and ended its run in Pakistan on 16 February 2013 after telecasting 22 episodes. Featuring actors Savera Nadeem, Noman Ejaz, Ayesha Khan, Arjumand Rahim, Sajida Syed, Waqas Khan, Fahad Mirza, Mustafa Changazi, Sarah Khan, Syed Jibran and Madiha Rizvi.

View More On Wikipedia.org
  1. Echolima1

    " Benjamini Netanyahu aapa kulala nao kiulaloulalo magaidi wa Hamas baada ya kuwaua watoto ariel na kafri Bibas na mwili wa mama yao kufichwa

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwashughulikia magaidi wa Hamas kwa vitendo vya vya kinyama kuua watoto Kafri na Ariel Bibas watoto ambao waliwateka nyara Oct 07,2023 wakiwa na Mama yao Shiri Bibas na miili yao kurudishwa wakiwa wamekufa na Hamas kudai walikufa kutokana na...
  2. Beira Boy

    Rais wa DRC CONGO atafuta uungwaji mkono huko Angola, aapa kuingamiza M23

    Amani iwe kwenu wadau Rais wa Kongo ameenda kuonana na rais wa Angola na amemwomba jeshi likasaidie kuwaondoa m23 Na ameapa inyeshe mvua lipige jua lazima awaondoe M23 Kibabe sana Tuendelee kuombea Aman ndugu zangu LONDON BOY
  3. Bams

    Waziri Mkuu wa Israel Aapa Kutumia Nguvu Kubwa Kuwapiga Houthi; Mkuu wa Mossad Ataka Israel Ianze Kuipiga Iran.

    Baada ya shambulio la kombora la Houthi tokea Yemen kutua eneo la wazi, na kujeruhi kiasi watu 16, huku mitambo ya ulinzi wa anga ya Israel ikishindwa kulizuia, jana Jumapili 22 Oktoba 2024, Baraza la vita la Israel lilifanya kikao na kuufikia uamuzi kuwa Houthi wa Yemen wapigwe kwa nguvu kubwa...
  4. Waufukweni

    LGE2024 Fanuel Siyame aapa kuing’oa CCM Momba, CHADEMA kushinda kwa kishindo

    Mtia nia wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Momba kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fanuel Siyame akiwa katika ziara ya kuwanadi wagombea wa Vijiji na Vitongoji wa chama hicho katika mikutano ya Kampeni, ameeleza namna Chama cha Mapinduzi kilivyoshindwa kutekeleza Ilani yake jimboni...
  5. T

    Paul Kagame, aapa kuiongoza Rwanda kwa mhula wa miaka 5

    Baada ya mda mrefu madarakani,akiiongoza nchi ya Rwanda kama raisi, leo tarehe 11 Agosti 2024, majira ya saa tisa na dakika 42, mbele ya jaji mkuu wa mahakama kuu ya Rwanda, Dr. Iyamuremye, Paul Kagame amekula kihapo cha kuiongoza Rwanda tena,kwa kipindi cha miaka 5. Ni sherehe iliyohudhuliwa na...
Back
Top Bottom