Na. David Kafulila
NIMELAZIMIKA kushika kalamu ikiwa ni baada ya kusukumwa na andiko la ndugu na jamaa yangu wa miongo mingi na aliyepata kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe Saed Swedi Kubenea.
Mhe Saed Kubenea amejadili kuhusu mradi wetu wa BRT...
Moja kwa Moja kwenye mada,
Hapana Nakonde Zambia hali ni mbaya, Ugonjwa wa Kimeta unapukutisha watu na mifugo,
Watu wanaopenda kulà nyama na wanaoishi mikoa ya Rukwa,Mbeya na Songwe kuweni makini sana na ugonjwa huu unaua tena kwa kasi zaidi ya Korona.
Ukila nyama ya mnyama mwenye ugonjwa...
Habari Tanzania,
Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.
Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es...
Haraka haraka twendeni kwenye hoja,
LATRA wamepandisha bei za mabasi kwa wastani wa TZS 15 kwa Kila kilometa hasa kwa safari za Mikoani,
Mfano kutoka Dar es Salaam mpaka Bukoba ni sawa na 1,380 kilometa na kilometa moja kwa mabasi mazuri kidogo itakuwa TZS 67.84
Fanya hivi,
1,380km X TZS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.