Search results

  1. Investigation Unit

    Kubenea ahoji: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow? Yeye (Kafulila) amchana kwa hoja nzito Saba

    Na. David Kafulila NIMELAZIMIKA kushika kalamu ikiwa ni baada ya kusukumwa na andiko la ndugu na jamaa yangu wa miongo mingi na aliyepata kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe Saed Swedi Kubenea. Mhe Saed Kubenea amejadili kuhusu mradi wetu wa BRT...
  2. Investigation Unit

    Zambia inaangamia kwa Kimeta. Waziri Ulega hakikisheni mnachukua tahadhari zote huko Rukwa, Songwe na Mbeya

    Moja kwa Moja kwenye mada, Hapana Nakonde Zambia hali ni mbaya, Ugonjwa wa Kimeta unapukutisha watu na mifugo, Watu wanaopenda kulà nyama na wanaoishi mikoa ya Rukwa,Mbeya na Songwe kuweni makini sana na ugonjwa huu unaua tena kwa kasi zaidi ya Korona. Ukila nyama ya mnyama mwenye ugonjwa...
  3. Investigation Unit

    Huyu huenda kweli akawa ni mwana wa Mungu aliye hai angalia Mayele, Dkt Biteko, Chalamila, Dkt Mwigulu, Dkt Samia, Dkt Tulia hata Paul Makonda

    Habari Tanzania, Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer. Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es...
  4. Investigation Unit

    Sasa kwenda Bukoba ni TZS 100K kutoka TZS 65K, LATRA mnafahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wenzenu?

    Haraka haraka twendeni kwenye hoja, LATRA wamepandisha bei za mabasi kwa wastani wa TZS 15 kwa Kila kilometa hasa kwa safari za Mikoani, Mfano kutoka Dar es Salaam mpaka Bukoba ni sawa na 1,380 kilometa na kilometa moja kwa mabasi mazuri kidogo itakuwa TZS 67.84 Fanya hivi, 1,380km X TZS...
Back
Top Bottom