Tafuta hela iwe mlizi wako usitafute hela kwa kupata wanawake wazuri. Ukiwa na hela ina kupatia heshima kwenye familia na jamii. Ukiwa na hela ukiumwa inakuwa rahisi kwako kupata matibabu mazuri. Tafuta hela ikupe mke mwema sio mke mzuri, unaweza kuwa na mke mzuri wa sura na umbo lakini akawa...
Unajua sisi binaadamu shukran zero kabisa kwa anae tufanyia wema. Wengi wetu umaskini unafanya kupunguza imani, sasa unajiona upo kwenye shida tokea mtoto mpaka mtu mzima shida inazidi unaomba mpaka koo inaota fangasi. Hakuna nafuu unamuona Ally Mpemba anakula batwaa na ka Range aahh mamaee🥲...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.