Nataka kufanya KAZI ya online, wanahitaji wanilipe kwa paypal au Debt card.
Kwa PayPal hawaruhusu kupokea Hela ila kutuma tu kwa Tanzania.
Nikijaribu kuingiza details za Debt VISA card yangu nayo wanasema haijaidhinishwa kupokea pesa kutoka nje. Je nifanyeje?
Kama wametumia used engine huo sio ubunifu ni ujuzi tu umetumika kuunganisha vipuli kadhaa ambavyo vimetengenezwa na watu wengine
Kama wakisema wamebuni shape mpya ya bodi ya gari pia sawa.
Tunahitaji ubunifu mpya unaotatua matatizo Katika jamii
asante kwa maoni yako
1. Kwa sasa hatuna machimbo ya asbestos Tanzania ila tulitumia bidhaa mbalimbali ambazo zilitengenezwa kwa absestos kwa miaka mingi iliyopita
2. Tanzania na dunia kwa ujumla inahitaji tafiti nyingi kwa matatizo mengi yanayotukabili na tafiti hizi zinahitaji hela hivyo...
Daah
and 100 others unatisha
nimeona kwenye likes and 100 other nikafikiri post imepata likes 100+
heee nikabofya niwaone hao 100 others mara inaleta and 100 others mwenyewe😂😂
Habari
naomba kura na like yako katika thread yangu tafadhali
sehemu ya kupiga kura ipo kabla ya comments kwenye alama ya " v " iliyogeuka
pia naomba maoni yako kuhusu hii thread
Bofya link hapa kusoma hiyo thread...
Kwa kupitia tafiti zenu matatizo yatokanayo asbestos yapo kwa ukubwa gani hapa Tanzania?
Kuna hii makala nimeandika kuhusu asbestos naomba maoni na kura zenu tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.