Search results

  1. Just Distinctions

    Deni la Taifa Zanzibar Laongezeka Kwa asilimia 609.3% ndani ya Miaka 4 kutoka Bilioni 155.8 Hadi Trilioni 1.1

    Watueleze kwenye bajeti yao wanalipa sh ngapi kwa mwaka hayo madeni? Maana tumeona bara wanalipa kiasi gani, lakini je wao si wana bajeti yao
  2. Just Distinctions

    Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

    1,2 na 3 umepatia sana ila huko kwingineko sio kivilee
  3. Just Distinctions

    Familia yangu huiambii chochote kuhusu kituo cha runinga cha Cheka Plus

    Sema wapunguze mziki afu waweke vichekesho vya kutosha Sijajua wana rights gani na matukio yao yaliyopita ila hata wakirusha yale itakuwa fresh wakati tunasikilizia content mpya
  4. Just Distinctions

    Familia yangu huiambii chochote kuhusu kituo cha runinga cha Cheka Plus

    We jamaa mwanasheria wako ni nani, ni-connect naye😂😂
  5. Just Distinctions

    DP World yakabidhiwa rasmi Bandari ya Dar es Salaam

    Kwani mwanzo na sasa tofauti ni ipi katika baadhi ya vipengele ikiwemo bei ya kupakua, utunzaji na gharama zake??
  6. Just Distinctions

    Je ni kweli miwa inayooteshwa pembeni ya bafu ina madhara yoyote?

    Miwa ya bafuni au sehemu yenye mbolea nyingi huwa na chumvi na sio mitamu kivile, kuhusu madhara sina hakika labda mtaalamu atujuze
  7. Just Distinctions

    Netanyahu awatesa wapalestina, aitesa Marekani, Israel na dunia yote. Mwisho wake utakuwa funzo kwa binadamu

    Watu wengine sijui huwa mnawaza nini maana sisemi pumba ila kuna ushabiki usio na maana, hivi unajua idadi ya waliopoteza maisha wakati wa hitler??? Au ndio unaandika tuili kujustify kile ambacho akili yako inakutuma Unaweza kujenga hoja bila kubaka takwimu na utaeleweka tu
  8. Just Distinctions

    PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

    Ukiona kipengele jaribu kucheki nadawa za kichina au wakorea, wale jamaa sio poa dawa zao zile za asili lakini zimewekwa kisasa huwa zina ufanisi kwenye vitu vingi
  9. Just Distinctions

    Tafsiri ya movie ya Sisu na somo la kujifunza - by Wapekee

    Ni mojawapo ya movie bora sana, hii ilinifanya niache kudharau majina madogo kwenye filamu, mwanzo ilikuwa kabla ya kupakua lazima niangalie kwanza producer nani Nikikuta majina makubwa sijui zile universal au marvel ndio nashusha Ila sasa hivi na nacheki tu content. Hiyo movie na ile ya good...
  10. Just Distinctions

    Patrick Nyembera unakerwa na elimu kuhusu ndondi aliyo nayo Aidan Mlimila?

    Nilisikiliza na kufuatilia vizuri pambano hilo, we umeweka katika namna ambayo sidhani ilikuwa na utata bali ilikuwa katika kuchagiza tu na vionjo vya hapa na pale kitu ambacho ni kawaida na sio name calling Kipengele nilichoona kilikuwa ni kuonesha mahaba ya wazi kwa yule Matumla hapo ndio...
  11. Just Distinctions

    UZUSHI Mboga za majani aina ya Chainizi husababisha upungufu wa Nguvu za kiume

    Sijajua ni nini ila hiyo mboga nikikutana nayo naitandika bila wasi
  12. Just Distinctions

    Unashauri 2025 Mbunge wa jimbo gani ajizuie kugombea tena kiti hicho kuepuka fedheha ya kushindwa?

    Luhaga Mpina na sio kwa sababu ya utendaji, kwenye hiko kipengele yupo vizuri tu, sema kwenye mambo ya duniani🤣🤣
  13. Just Distinctions

    Sipendi Morning Glory

    Hivi wale wa kupiga selfie nao wana morning glory🤣🤣
  14. Just Distinctions

    Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

    Ndio utabaki hivyo hivyo ila ipo wazi
  15. Just Distinctions

    Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

    Ndio utajua hujui, ulishaambiwa watalipa kisasi sasa usiwe kama kubwa jinga kutojiongeza kwa vitu vidogo Haihitaji degree kuelewa
  16. Just Distinctions

    Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

    Israel alisema ni lazima atalipiza kisasi dhidi ya mashambulizi ya Iran maana asipofanya hivyo ni ishara ya Unyonge, hakusema lini na wapi, tunashangaa tu ukungu huo
  17. Just Distinctions

    Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

    Usisubiri kuungana dhidi ya nchi moja we tuma kitu, halafu tusikilizie ukungu unavyotanda Kama mapambio na vilio havijasikika mahali fulani
Back
Top Bottom