Mara kwa mara nimekuwa nikiona hili neno kuwa mnasema mara nyingi Uislam ni Dini ya haki na sometime mmekuwa mkiwaita Dini nyingine Makafiri, hayo maneno yamekuwa ukinitatiza sana
Lakini mimi nachotaka kujua ni kwamba Mababu zetu kabla ya kuja wa Waarabu walikuwa na imani zao na maisha...
Jamaa naona anaimba Pure Swahili Gospel kali sana ni muimbaji mzuri sana na anachonifurahisha ameacha lugha yake ya kinyarwanda kakichagua kiswahili kufikisha ujumbe wake last time nilijua ni Mtanzania
https://youtu.be/qI1yCpa4UFE?feature=shared
Mungu ambariki[emoji120]
Upande wa kigamboni Kutokuwa na Stendi ya mabasi ni aibu upande wa stendi ya Daladala zinazoenda Kimbiji,kongowe,mjimwema stendi ni ya tope na chafu ikinyesha mvua ni aibu matope kila kona,
Hakuna stendi maalum mgari na mabajaji yanapaki hovyo na ikinyesha mvua utakimbia aibu sana
Mwarabu kaja na majahazi hapa Kaleta Dini kwa Mwafrika kwao kuowa Dada zetu Africa ni Ruksa ila ukitaka vita nenda kaowe Dada zao wa kiarabu au ingia kwenye mahusiano na Binti wa kiarabu hata muwe Dini moja alafu ndugu zake wajue utaona hiyo shuhuli yake itakavyokuwa nzito[emoji2][emoji2]...
Tokea kipindi cha Jpm Shirika linapata hasara na bado mnanunua ndege mpya kila mwaka CAG anasema shirika lina hasara ya Mabilioni hivi huwa mnashauriwa na nani, Kama Bandari imetushinda tukampa mwekezaji kwa nini hizi biashara msingewaachia wawekezaji nyie mchukue kodi
Mwendokasi wenye Watu...
Moja kati ya watu Ambao nlipinga sana kubinafsishwa kwa Bandari basi mimi ni mmojawao sikupenda kabisa huu mpango, Lakini nilipokaa na kukumbuka kipindi najitafuta nikiwa nafanya Vibarua Bandarini kabla sijapata ajira ya kudumu naona acha hiyo bandari waarabu waichukue wafanyakazi walikuwa...
Mkinga anaitafuta hela kwa watu wote tz ila akiipata yeye huwa ni mwiko kutumia yaani unaweza ukamkuta mkinga kakaa kama maskini ukiambiwa ndani anamiliki mabilioni Utakataa, majamaa wanaishi kama mafukara na hela wanazo na maisha sio ya kudumu, ushahidi ni Mkinga mmoja hapo town alikua...
Ukitaka uwe mtafutaji wa hela halafu uje ulalamike hela huioni wakati inapatikana wewe kuwa kwenye mahusiano ya kudumu na rundo la wanawake, wanawake wa sasa ni chazo kimoja wapo cha kutufilisi wanaume
Kwa usalama wa kipato chako kuwa na mwanamke mmoja kama ni michepuko kwa usalama wako usiweke...
Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na pambano Kali la ngumi Kati ya Ryan Garcia na Devin Haney pambano ambalo Davin aliangushwa chini mara 4 huku akichezea kichapo kikali,
Kumbuka Davin ni bondia ambae amekuwa akibebwa sana hasa katika pambano pake na Lomachenko vasily alipigwa lakini ushindi...
Hii nchi ndio mjue kila kiongozi anaangalia maslahi yake hakuna mtu serious wa kuangalia naslahi ya mtu.
Mtu anapitisha bajeti kununua Ma V8 kwaajili ya kiongozi mmoja mmoja halafu yapo magari mazima wanayaharibu makusudi yanakuja kuuzwa mnada kwa milioni 8 ili zinunuliwe mpya!
Ila Mwendokasi...
Naona nguvu kubwa sana inatumika kuipamba hii awamu kuwa inafanya makubwa, Wasanii wanabebwa na kupewa posho kila kukicha matarumbeta insta Mama anafanya makubwa
Jamani sisi wananchi huku ndio hali tunaijua na sisi ndio tunatakiwa kusifia au kuponda msilazimishe kusifia mambo ambayo hata nyie...
Wanaume wenzangu wa Kikristo moja kati ya zawadi na utam ambao hutakiwa kuukosa hadi unaondoka Dunia hii ni kupata mapenzi ya wanawake wa kiislam wale watu ni balaa lingine linapokuja swala la mahusiano ni watam,haswaa na wanayajua mapenzi ila wengi mmekuwa mkipigwa chini sababu hamjui hizi...
Dereva katoka Gerezani akiwa na hasira gari limejaa milango hadi inataka kupasuka, Akasimama Faya watu wakawa wanamwambia kwa jinsi Gari ilivyojaa sana unatuumiza funga fungua fuata utaratibu sababu gari ni express kama ilivyoandikwa simama manzese kama ilivyo taratibu
Dereva akasimama na...
1. Mtu yoyote ambae anatumia whatsap na kaondoa Blue tick, unapofanya Biashara na mtu kama huyu uwe makini sana kama humfaham hata hela usitume, mara nyingi watu wanaotumia mfumo huu huwa ni watata hata hela usije jaribu kumkopesha.
2. Mtu alieset whatsap yake kwa mfumo wa disappearing message...
Jana nimepanda daladala ile kuingia tu nikakaa siti moja na mdada kumbe yeye ananifaham na mimi nilishamsahau, kumbe niliwahi kufanya nae kazi kipindi flani, akaanza kunichangamkia kwa stori mbili tatu, hapo hapo konda kudai nauli nikamlipia na yeye.
Kumbe bwana yule dada siti ya nyuma alikuwa...
Vijana mmekuwa mstari wa mbele kuisumbua Serikali iwaajiri lakini mkiingia huko mmekuwa ni mizigo kila Sekta hamuwezi kuitumia Elimu mliyonayo kuisaidia nchi
wasomi ambao naona ni Bomu la kwanza na wanaotakiwa kipunguzwa ajira zao ni Wasomi na wataalam wa kilimo hawa ndio namashaka na elimu yao...
Imefika kipindi tu ukifungua App ya jf basi katika mada tano za juu huwezi kosa mada ya kataa ndoa au wanawaka wanaomba sana pesa yaani hoja ya kuwaponda wanawake kuwa ni omba omba huwezi ikosa vijana wanalia lia tu
Jamani mtu ukiwa na hela utajikuta mwenyewe unahonga tu ila pesa ikiwa haipo...
Nishawaambia sana jamani acheni kuliwa hela zenu na hao waganga njaa mnafakamia madawa halafu hamjui madhara yake na mnatapeliwa
Nguvu za kiume zinapatikana Baharini jamani yaani nyama ya samaki na viumbe wengine kama pweza na ngisi supu yake ni tiba namba moja na kusimamisha uume wako...
Tatizo la waarabu ni kupenda fujo alafu watu wakianza kulipiza kisasi wanaanza kulia lia tuoneeni huruma tuoneeni huruma, Inshort waarabu ni wakorofi na Nguvu za kupigana hawana
Ukiangalia hii video baada ya Hamas kuuwa Waisrael 1400, Walivyochukua mateka tu baada ya kuwaingiza Palestina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.