Search results

  1. karimtoo

    Wauza smartphone tukutane hapa

    kwa mwenye uhitaji wa simu nauza windows phone nokia lumia 1520, internal 32GB RAM 4GB na ina 4G Nauza shilingi 550k ni PM mwenye kuhiitaji au piga 0789120179 simu ipo katika hali nzuri
  2. karimtoo

    LG G2 inashindwa kusoma 3G na H+

    hata mi hivyohivyo ila kwa chip ya halotel yan haisomi 3G au H+ ila tigo iko fresh sasa sijui tatizo ni nini natumia lumia 1520
  3. karimtoo

    Ukipata Changudoa huwezi acha, watu wanajua jaman acheni kabisa

    hahahaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka kwa saut mpaka watu wamenishangaa
  4. karimtoo

    Niuzie lumia kwa 200,000

    utaniuzia lumia aina gani iwe katika hali nzur bei 200000
  5. karimtoo

    Nampenda Tatty

    Hahahaaaaaaaaaaaaaa Mnampigia upatu member alaf uyo aliyenae
  6. karimtoo

    Ambrose Lijuakali, Messi mpya wa CHADEMA Bunge la 11

    Kilombero ilikua ni ngome tata sana ya ccm Jamaa namsifu sana uadilifu na nguvu zimemueka pale
  7. karimtoo

    KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2018, Novemba 17 2015: Algeria vs Tanzania

    Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa Kipigo chake leo Mkuu umeniacha hoi sana
  8. karimtoo

    Wanawake wana hulka kubwa ya kuchepuka kuliko wanaume

    Jaman hawa wanawake ni pasua kichwa kwa kwel Nilichokiona ni kua wanawake wana ile hulka zaid kua na na mwanaume zaid ya mmoja kuliko wanaume wafanyavyo kwa wasichana ila tu hulka zao zinazimwa kutokana na uoga na kua chini ya mtu au mamlaka fulan kila mara Hakika napata shida kuamini mwanamke...
  9. karimtoo

    Controversial Cure For AIDS Discovered

    asante kwa majibu yako mazuri yenye mshiko na kuridhisha kama sijakusoma vibaya ulisema HIV haviambukizwi kwa njia ya damu na vimiminika vyovyote vya mwili sasa mtu anapopima na anapokutwa na HIV huwa vinatoka wap au iweje HIV iwe kwa mtu ikiwa mwanzo hakuwa navyo
  10. karimtoo

    Controversial Cure For AIDS Discovered

    unaweza kuniambia nini maana ya jina lako na hicho unachojaribu kutuaminisha
  11. karimtoo

    Fanya yako yanayo kukabiri!

    karibu sana mkuu
Back
Top Bottom