Hiyo ni kawaida sana katika lugha ambazo huzungumzwa na watu wengi waliotawanyika kwenye eneo kubwa kimakazi.
Hiyo hali inaitwa lahaja.
Hata Kiswahili cha Mombasa kina tofauti na Kiswahili cha Nairobi na sehemu zingine za Kenya.
Hata Kisukuma nacho kina lahaja zake.
Kinyantuzu [Kisukuma cha...
Utaandika magazeti yote leo lakini maswali yangu mawili tu yamekutoa kwenye reli na kuanza personal attacks 🤣 na kuninukuu mara mbilimbili. Dalili za mtu aliyeshindwa hoja.
Yajibu basi yale maswali yangu mawili.
I got you exactly where I want you!
Haya, tell me…..what kind of takedown defenses are they taught in their advanced mixed martial arts training?
What types of submissions are they taught?
Special forces hawana advanced skills za mixed martial arts.
Mixed martial arts kwenye special forces ni supplemental tu.
Sijawahi kuona advanced training [ya hand to hand combat] ile kwa special forces.
Hakuna tofauti yoyote ya mixed martial arts training wanayopata special forces na vikosi...
Basic training ni kwenye hand to hand combat.
Hawana skills za kuweza kulinganisha na amateur fighters wala professional fighters.
Ni wapi hao special forces huwa wanapigana kikweli kweli? Ni kwenye mashindano gani?
Halafu unadhani ni nani huwa anawapa hao special forces hizo hand to hand...
Tanzania hakuna elite mixed martial artists.
Hata mabondia elite Tanzania hatuna.
Ila kwa viwango vya Kitanzania, si ajabu kuna posers mnaowaona ni wa maana sana ilhali hakuna kitu.
Heck, hata jeshi la Tanzania ni la 6 kwa ubora duniani 🤣.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.